Search results

  1. B

    TAMISEMI, Mfumo wa Usajili wa Leseni za Biashara (TAUSI) utarudi lini?

    Habari, Ndugu zangu TAMISEMI habari zenu! Tunapenda kujua kwanini mfumo wa usajili wa leseni za biashara (TAUSI) haufanyi kazi tangu wiki iliyopita kwanini? Lini mfumo huu utarudi na kuanza kufanya kazi tena? Kuna watu wamekwama wanahitaji leseni kwaajiri ya maswala ya kibenk nk, sio kwaajili...
  2. B

    Shule za olevel Tanzania

    Hello habar wadau, naomba kujua ni shule zipi za olevel zenye boarding iwe ya Boys au mchanganyiko hususan Kwa mikoa ya Dodoma na morogoro. Natanguliza shukran za dhati
  3. B

    Kongwa: Mama mwenye mtoto afariki kwenye ajali ya basi la Baraka classic. Ndugu hawajapatikana, mtoto achukuliwa na msamaria

    Ndugu wadau. Kuna Ajali imetokea jana ya basi linalofanya safari zake Dodoma Mtwara liitwalo Baraka classic. Ajali imetokea katika kijiji kiitwacho Pandambili kipo katika wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma. Basi lilipinduka na kuua watu watatu akiwemo mama mmoja aliyekuwa na mtoto apataye umri wa...
  4. B

    Sioni sauti ya Watumishi wa Umma katika Bunge lijalo

    Wamechukua tena,tena 100% ni wao upande wapili hawataingia bungeni hao wachache waliopewa, Kumbukumbu hazionyeshi kama kuna mbunge wa Kati ya hao watakao ingia kama alishawahi kuibana serikali kuhusu maslahi ya wafanyakazi hata kuhoji tu kuhusu watumishi wa umma! Siioni sauti yoyote kuhusu...
  5. B

    Wafanyakazi pitieni hapa!

    SERIKALI YA JPM YABORESHA MASLAHI YA WAFANYAKAZI. Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Walemavu) Jenista Mhagama ameliambia bunge kuwa serikali ya awamu ya 5 imeboresha kwa kiasi kikubwa maslahi ya wafanyakazi nchini. Amesema maslahi ya wafanyakazi yaliboreshwa...
  6. B

    Serikali pesa za elimu bure kwa mwezi Oktoba hadi lini?

    Kuna shule ya secondary naidai pesa kidogo kutokana na kazi niliyowafanyia kwa makubaliano ya kulipwa kupitia fedha za elimu bure pindi zitakapoingizwa kama ulivyo utaratibu, Makubaliano ilikuwa kulipwa kupitia pesa ya elimu bure ya mwezi October itakapoingizwa na serikali kwenye account yao ya...
  7. B

    VITU HIV VIPO KWA KILA MSICHANA WA KITANZANIA

    Ktk maisha yangu nimeshakuwa na mahusiano rasmi na wasichana wapatao kumi hiv, lakini kuna vitu nimekutana navyo kwa kila mmoja na kuamini kila msichana wa kitanzania anavyo, 1:Kutojibiwa baadhi ya sms kwa makusudi 2:kutotokea kwenye miadi/kuchomeshwa mahindi 3:Wao Kupoteza simu au...
  8. B

    Pombe inakomaza na kufubaza sura!

    Nimejiuliza hili jambo kitambo kwa nini wanywaji wengi wa pombe wanakuwa na sura ngumu? Basi juzi rafiki yangu mmoja akaniuliza kama nakunywa pombe,mi nikamwambia kwamba huwa nakunywa pombe tena zile kali hadi nalala baa, Jamaa akaniambia neno moja tu kwamba mi sinywi pombe tena hata kidogo...
  9. B

    Mfahamu mnyama muhanga(aardvark)

    Mhanga pia ujulikana kama ( muhanga) wingi ni wahanga ,majina yake mengine ni fundi-mchanga , kiharara, kukukifuku au loma ( Orycteropus afer jina la kisayansi ) kiingereza huitwa aardvark Ni mnyama apatikanaye barani Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara utampata zaid Afrika Kusini,Ethiopia...
  10. B

    Mtazamo: Laana hutokea haraka zaidi kuliko baraka

    Katika ulimwengu wa kiroho kuna laana na baraka ambapo vyote baadae huonekana/hudhihirika ktk ulimwengu wa kimwili/machoni. Laana inaweza kutoka kwa MUNGU pamoja na baraka pia (biblia:torati 28) Pia laana au baraka inaweza toka kwa wazazi Lakini shetani ni bingwa wa kuwalaani watu...
  11. B

    Mpoto na Sizonje kulikoni siku hizi!

    Ilikuwa ni desturi ktk kila tukio la kitaifa au laaa kumuona Mpoto akitumbuiza na kutunzwa na Sizonje iwe kwenye lile jengo jeupe au pengine! Siku hizi simuoni tena Mpoto akialikwa upande wa utumbuizaji kama ilivyo ada before or after event, au mashairi ya kitendawili yamemchefua Sizonje ndo...
  12. B

    Payroll za mshahara wa mwezi huu hazina mabadiliko yoyote ya mshahara

    Kwa watumishi wa umma umnaosubiria nyongeza ya mshahara serikalini, Payroll kwa ajili ya malipo ya mshahara zimeshatoka na zinaonesha kwamba hakuna kiasi chochote cha nyongeza hata kwa wale wanaotakiwa kupandishwa daraja. Hii ni kwa mujibu wa huku kwetu sijui kwingine. Kwa mujibu wa waziri ni...
  13. B

    NGO'S hatarini kufa kisa kodi

    Tangu serikali ilipoamua kuanza kutoza kodi katika misaada inayotolewa na wahisani ktk ngo's mbalimbali kubwa na ndogo hali hiyo imepokelewa kwa hisia tofauti na wahisani wengi! Wanahoji kwanini kile wanachochangia ktk hali ya kutoa msaada halafu tena kitozwe kodi? Hawataki amount wanayochangia...
  14. B

    Ni kweli kabisa!

    Mithali 29:2 Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi; Bali mwovu atawalapo, watu huugua. Ni kweli kabisa!,neno la MUNGU li hai!
  15. B

    NMB BANK: Yaanza uhakiki wa watumishi wa umma wanaopata mshahara kupitia benki hiyo

    Benki ya nmb nayo imeanza kufanya uhakiki wa watumishi wa umma wote ambao mishahara yao inapitia ktk benki hiyo. Mtumishi unaenda mwenyewe benki unaonyesha kitambulisho cha kazi halafu unapewa fomu,ukishaijaza unaipeleka kwa afisa utumishi akisha saini unairudisha benki Hiyo foleni kwa maafisa...
  16. B

    Tetesi: Waalimu sasa kuanza kupigwa picha pindi wanapoingia darasani

    Katika kuhakikisha kuwa walimu wanaingia darasani kumeandaliwa utaratibu wa kuwapa tablet walimu wakuu na wakuu wa shule ili kumpiga picha kila mwalimu pindi anapoingia darasani ili kuthibitisha kuwa amefundisha! Mara baada ya mwalimu kupigwa picha itatumwa kwenye ofisi za elimu wilaya ili...
  17. B

    Walimu kupangwa moja kwa moja shuleni

    Walimu watakaoajiriwa watapangwa moja kwa moja shuleni na maeneo yenye upungufu' #Waziri mkuu KASSIM MAJALIWA-Bungeni
  18. B

    Bayport Tanzania: Mnataka kunidhulumu? Hamjaniingizia mkopo lakini makato ya mkopo yashaanza

    Bayport Tanzania taasisi ya kifedha inayotoa mikopo, wiki ya tatu sasa tangu niombe mkopo kwenu katika moja ya wilaya za Dodoma na kisha mkanipigia simu kwamba mkopo wangu hauna shida unashughulikiwa utakuwa tayari karibu, chakushangaza hela ya mkopo hamjaniingizia katika akaunti yangu hadi Leo...
  19. B

    Baada ya vyama vya siasa ni vyombo vya habari halafu mitandao ya kijamii itafuata!

    China,Russian,N.Korea na Rwanda ni baadhi ya nchi ambazo zimefanikiwa sana ktk kuondoa nguvu ya vyombo vya habari kutangaza kila habari au hata kuonyesha Yale yasiyopendwa na watawala! '. Iliudhibiti vyama vya siasa ni lazima kuendane na...
  20. B

    Viongozi wa dini wa Tanzania mbona mko kimya?

    Viongozi wa dini wengi kabla ya uchaguzi wanakuwa mstari wa mbele kuhubiri amani kwa watanzania! Uchaguzi unapofanyika na haki za kidemokrasia kukiukwa hawathubutu kusema neno lolote lile ili kutetea haki! Pia wana harakati pamoja na wazee wanaoheshimika nchini nao pia kimyaaa...shameful...
Back
Top Bottom