Kumfatilia mkeo si tatizo na tena inaweza kukusaidia kuepuka na baadhi ya vitu pindi utakapomuonya au kumpa nasaha,kukaa kimya na uhuru wa kupitiliza unapoona kuna upungufu,utaletewa HIV ndani na watoto wa wanaume wenzio,tuwe tu nasubira upatapo taarifa katika kusolve matatizo
Kuna mtu ana s4 galaxy,
Nimefanya test ya sensor kwa *#0*# navyenginevyo inakubali,but nyuma imeandikwa made in china,je kuna mwelewa wa hizi s4,nitaijuaje kama ya orginal,
Msaada please
Ni sawa tu,ukisema siku 9 baada ya M.P ni sawa na kusema siku ya 12 tangu uanze kubleed kwani MP ni kati ya siku 3-5,na kwahesabu hizo ni bwaya kwa kunawatu wanableed hadi 5 plus hizo siku 9 ulizosema inakuwa 14,ambayo ni ovulation kwa hiyo majanga.
Maana siku 9 baada ya kubleed nadhani ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.