Umeonge vema. Kikatoliki ndoa ni tendo la ndoa; bila tendo la ndoa hakuna ndoa. Siku ya ndoa pale kanisani kinachofanyika ni kupata baraka ya ndoa baada ya hapo siku hiyo hiyo ni LAZIMA maharusi wafanye tendo la ndoa ndio ndoa inakuwa imekamilika. Lengo la ndoa ni tendo la ndoa. Kupata watoto ni...
Hizi zama za AI sio za kuumiza kichwa. Wewe ingia chatgpt4 weka inputs zako, ipe command/maelekezo unataka nini iwe ratiba ya shule nzima, iwe orodha ya wafanyakazi na familia zao na wanaolipwa hela fulani; chochote kile. Inarun na kukupa excell sheet within seconds.
Michuano ya dunia ya darts imeanza leo huko Ujerumani June 16 mpaka June 19 itakapoisha.
Ukiacha South Africa hakuna nchi nyingine ya Africa inayoshiriki hili kombe la dunia.
Rai: wizara ya michezo itie mkazo kwenye hii michezo midogo midogo inaweza kututoa kimasomaso, msikazanie soccer tu!
Ni kweli kuna kazi nyingi canada za both skilled na unskilled. Ili uwe na uhakika official website ya goverment ya Canada iko hivi
canada.ca
Canada ni nchi kubwa sana, ya pili hwa ukubwa duniani. Ina majimbo/provinces 10 na territories 3. Kila jimbo lina mamlaka yake. Kuna majimbo ambayo ni...
Wanafunzi wengi haya maneno huwa yanawashinda sana:
Desk wengi wanatamka deksi
Ask wengi wanatamka aksi (nadhani ni tatizo la kubwa la Kibantu, nimeona hata African Americans wengi wabatamka aks pia).
Lecturer wanafunzi vyuoni vwanachapia sana hili neno wanatamka lecture
Determine wengi...
UTT AMIS ni taasisi ya Serikali ya Jamuhuri ya Tanzania chini ya wizara ya Fedha. Ofisi zao zipo. Mawakala wao wapo(CRDB). Pia wakati wa maonesho ya sabasaba ukipata muda tembelea banda lacwizara ya fedha humo ndani utakutana na taasisi zote za hiyo wizara ikiwemo UTT. Ni kweli ni vizuri kuwa...
Kubadilisha inaruhusiwa lakini huwezi toka umoja kwenda bond fund. Kwa nini? Kwa sababu UTT hela zilizochangwa kwenye mifuko hiyo wanaiwekeza katika sehemu tofauti.
Unaweza kuhama toka liquid kwenda bond. Au bond kwenda liquid.
Watoto(umri ukizingatiwa) kwenda umoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.