TRA undeni wachunguzi wenu wawe wanakaa kwenye mabaa club usiku ili wapate kuwapa mashine za rist wale mdananda Ombaomba watu wazima ambao hujiingizia kipato kupitia mizinga mizinga kuwabomu wenzao pesa kiujanja janja.
TRA wakiwa makini na hilo wataingiza pesa nyingi kwani omba omba huingiza...
Kutumiwa pesa toka nje ya Nchi sasa ni dhahama kubwa maofisa wa BOT wanaleta usumbufu mkubwa na baadhi wamegeuza kama kitengo cha kupigia pesa kwa kuwatisha waliotumiwa pesa kuwa watapewa kesi za utakatishaji pesa.
Utawala huu imepelekea wajanja wachache kutumia fursa hizo kujinufaisha na hapo...
Watoto waliochelewa kumalizia Ada kidogo ingwe ya mwisho wa mwaka kwenye mashule ya binafsi kutokana na ule mtikisiko wa corona huenda wakaenda kukosa kufanya mitihani kuanzia kesho Jumatatu kutokana na wenye shule binafsi kupanga kuwazuia kufanya mitihani.
Serikali tukufu Serikali ya vitu...
Tumemsikia mwenyekiti wa CCM Kinondoni akisema majina yote yanakwenda Dodoma na watawachunguza washindi wa kura za maoni kuhoji ushindi wao wameupataje pataje?
Kwa maana nyingine wanatumia vyote vya uchunguzi kupata taarifa, kwa maana hiyo mshindi wa kwanza ikitokea akawa na chuki na wachunguzi...
Baada ya mashule kufungwa kupisha corona ipite zile Gari za kubeba wanafunzi maarufu kama school nyingi zilipaki majumbani, lakini baada ya mashule kufunguliwa wamiliki wa mashule wameamua kutumia mabasi machache kubana matumizi matokeo yake ni watoto kubanana sana mpaka wengine kukaa chini...
Mwanzo uliitwa peking kipindi ukiwa umejengwa hovyo hovyo kama Dar , baada ya kuupangilia vizuri sasa unaitwa Beijing, vipi jiji chafu la DAR baada ya serikali kugoma kuhamia Dodoma hawana mpango wa kubadili jina?
Wakazi wa Tarime wanajuuta kumchagua mtu ambaye hazungumzi bungeni yeye kazi yake ni kuvuta posho na kusaka madili ya kuuza vile vitabu anavyoandikiwa na wajanja kisha anawalipa na kuzuga eti yeye ndiyo Mwandishi harisi.
Hivi sasa maadili yameshuka sana Viongozi wapo busy na kuhangaika na katiba,Ufisadi nk , huku maadali na Utamaduni wetu ukisahaulika sasa ! siku hizi ni kawaida Vijana kuvaa nguo chini ya Makalio na wanawake kuvaa vinguo visivyo na staha pasipo Viongozi kulivalia njuga janga hili.
Pale uwanja wa Ndege kuna Ulinzi toka wizara Nne 1-utawala Bora 2-Ulinzi 3-mambo ya Ndani 4-wizara ya uchukuzi ikiwa imeziajili kampuni Binafsi za ulinzi huku Wizara ya Mambo ya Ndani ikiwa na jukumu kubwa Zaidi kwani ina idara mbili polisi na Uhamiaji !je?waziri wa hizo Wizara nao watapekuliwa...
Lini utawala wa Majimbo utaanza utaanza TZ kama U.S.A kwani tayari TARIME ni Jimbo wana polisi wao wanao jiita Kanda Maalum wanakubambikia kesi kubwa muda wowote wakisikia umepata Fedha kwa kuuza Mahindi ama Ngombe au bidhaa wakuja usiku mkubwa wansema wewe ni JANGILI au JAMBAZI wankuwekea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.