Search results

  1. A

    Taa za solar za barabarani kutokuwaka, hivi wahusika hawaoni?

    Baadhi ya taa za barabarani katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu zinapowekwa kwa mara ya kwanza huwa zinawaka lakini baada ya muda utakuta au baadhi ya taa au taa zote kwenye barabara husika haziwaki. Je, wahusika wa hizi taa ni akina nani na hawajui kama haziwaki?
  2. A

    Maandamano ya CHADEMA yamekosa umuhimu, mvuto na ushawishi

    Kwa kifupi yamedoda, hayana mvuto na CHADEMA wamejifikishia ujumbe mkubwa wananchi hawadanganyiki. Yako wapi yale maandamano tuliyoaminishwa na kudanganywa eti yanatumika kufikisha ujumbe kwa wananchi kwa kufanyika miji tofauti. Hivi, wanaona wananchi ni wajinga hawawezi kupata huo ujumbe...
  3. A

    KERO LATRA, wananchi tunaumizwa kulipia kuanzia Shilingi 1,000/= kwa tiketi kisa madalali

    LATRA tunaomba mtuokoe na huu wizi wa mchana kweupe akitokea dalali akakuelekeza kwenye basi ujue utalipa nauli zaidi ya nauli halali. Hebu fichueni makucha yenu tuone faida ya uwepo wenu maana uwepo wenu ni kodi za wananchi
  4. A

    Maandamano ya kila mara ni upuuzi ulio upuuzi

    Hivi kweli kama CHADEMA ni chama chenye nia nzuri na wananchi kinaweza kuratibu maandamano miji tofauti kwani ujumbe uliofikishwa pale Dar haukufika sehemu zngine za nchi haukufika. Waache ushamba, wananchi tutakula maandamano kweli maana viongozi wao wana ruzuku. Wapuuzwe
  5. A

    KERO Babati watu watakuwa viziwi kutokana na milipuko inayofanywa na waendesha pikipiki. Mamlaka ingilieni kati wananchi tunateseka

    Babati ukifika utadhani kuna vita ya Gaza kutokana na milipuko inayofanywa makusudi na waendesha pikipiki. Sipendi kuamini kama wahusika wa kudhibiti hali hii wameshindwa. Vinginevyo Mheshimiwa Makonda tafadhali urudi Bahati uokoe wananchi wa Babati na makalele ya makusudi yanayofanywa na...
  6. A

    TANESCO toeni taarifa za kukatika umeme kwa njia ya sms kwa wateja wenu wote.

    Wiki hoi nimepokea sms za kawaida mbili kutoka TAMISEMI moja ikikumbusha Watanzania kuhakikisha watoto wa miaka 5 wanaanza shule za Awali na wale wenye mi 6 wanaanza darasa la kwanza. Sms ya pili ilikuwa inahimiza watoto wapelekwe shule za sekondari bila kukosa. Cha ajabu TANESCO wana namba za...
  7. A

    Pikipiki za Babati zinapiga kelele wenye majukumu ya kuzuia hali hii wanaangalia tu

    Babati kuna mtindo wa pikipiki kupiga kelele kama milipuko ya makusudi lakini inaonekana vyombo vinavyohusika vinaliangalia hili suala na linabaki kuendelea likisababisha usumbufu kwa watu.
  8. A

    Babati pikipiki wanaudhi kwa kelele: Mamlaka zimekaa kimya tu labda NEMC muingilie kati

    Nilibahatika kupita na kukaa kama siku nne Babati na kisha kupata chakula na kinywaji kwenye migahawa na Bar za Babati. Kilichonishangaza ni jinsi waendesha pikipiki wanavyosababisha makusudi pikipiki zao kupiga kelele hususani wanapofika kwenye maeneo ambayo yana watu wao hapo ndo huonyesha...
  9. A

    Bei za soda hazieleweki wengine wanauza 600, wengine 800, na wengine 1,000

    Bei za soda kila mfanyabiashara anauza kwa bei yake anayoijua yeye. Kulikoni?
  10. A

    Jeshi la Polisi na wahusika wengine, tuepusheni na hii kadhia ya waendesha pikipiki wanafanya pikipiki zao kupiga kelele kama mabomu

    Hawa madereva wa pikipiki wanaofanya pikipiki zao kupika kelele ikiwemo milipuko kama mabomu wanasababisha kelele zisizo za lazima hivyo màmlaka zinazohusika zijitahidi kukomesha tabia hizi ambazo hazina tija.
  11. A

    Wakati wa uchaguzi baadhi walisema jirani zetu wako vizuri kwa kuwa na tume huru na Katiba Mpya

    Wakati wa uchaguzi wa jirani na ndugu zetu kuna baadhi ya wenzetu Watanzania walisifu sana kuwa wenzetu wako mbali kidemokrasia tujifunze kutoka kwao lakini kwa yanayoendelea kama mambo yenyewe ya demokrasia yako hivyo ni bora tuendelee na katiba iliyopo na tume ya uchaguzi iliyopo kuliko...
  12. A

    Lema kasema ugali ni chakula cha masikini. Hajui kwamba ugali kwa jamii fulani za Tanzania ndicho chakula kikuu

    Huyu Lema tangu atoke Canada anabwajaja maneno bila kutafakari eti ugali ni chakula cha masikini sijui akiwa huko alikula maharage ya wapi huyu. Hivi kwa umri wake na kutembelea maeneo ya Tanzania mbalimbali katika shughuli zake za kisiasa hajatambua kuwa kwa makabila mengi hapa nchini ugali...
  13. A

    Inaudhi sana, Wateule wa Rais kuendekeza migongano baina yao

    Inaudhi sana, Rais anateua wateule wake halafu wakianza kutekeleza majukumu yao wanakuwa hawana maelewano mazuri kazini kwao kwa kuendekeza migongano. Wanaleta mambo ya kama uke wenza kazini kwenye utumishi wa umma. Rais uamuzi wako wa kuwashughulikia viongozi wanaoleta misuguano kazini kwao...
  14. A

    Bodaboda wanaolipua pikipiki zao na kutoa milio wameshindwa kudhibitiwa na mamlaka

    Hivi hawa madereva wa pikipiki wanaopiga kelele màmlaka zinazohusika hawasikii kelele zinazosababishwa na milipuko kwenye pikipiki zinazosababisha kelele zisizohotajika au wanapotembea mitaani wanakuwa wamefunga vioo vya magari yao kiasi cha kushindwa kusikia kelele hizo. Tafadhali tuondoleeni...
  15. A

    Vidhibiti mwendo kwenye mabasi ya abiria kuhujumiwa na wahusika

    Wiki iliyopita nilisafiri na basi kwa jinsi nilivyoona mwendo nikahisi mwendo umeshapita km 80 kwa saa hivyo nikaingia kwenye application ya speedometer kwenye simu yangu. Gari lilikuwa linakwenda zaidi ya km 90 kwa saa hata sehemu zenye kona kali. Nikamuuliza konda akasema eti speed haizidi...
  16. A

    Wanaoendesha “Pikipiki zinazopiga mabomu” wachukuliwe hatua za kisheria waache

    Madereva wanaoendesha Pikipiki zinazopiga mabomu wanachafua Mazingira kwa Kusababisha kelele ziaizo za lazima na usumbufu kwa watu. Hivyo NEMC na Jeshi la Polisi hawa watu wamulikwe na ili waachane na tabia hizo ambazo huleta usumbufu.
  17. A

    Mhe. Simbachawene ashinda kwa kishindo kura za maoni CCM Jimbo la Kibakwe

    Matokeo ya kura za maoni Jimbo la Kibakwe, Waziri wa Nishati na Madini Mhe. George Simbachawene amekuwa kati ya mawaziri wa Serikali ya Kikwete walioshinda kwa kishindo katika Jimbo la Kibakwe Baada ya kuwaacha wapinzani wake kwa mbali sana. 1. Simbachawene18,158 2. Mwanyinge 6901 3...
  18. A

    Mhe. Simbachawene ashinda kwa kishindo kura za maoni CCM Jimbo la Kibakwe

    Matokeo ya kura za maoni CCM Jimbo la Kibakwe, Mhe. Simbachawene awaacha wapinzani wake mbali sana. 1. Simbachawene18,158 2. Mwanyinge 6901 3. Mnyang'ali 3562 4. Sabas 430 5. Ngiliule 214 6. Bendela 410 7. Shahel. 279 Hongera sana Mhe. Simbachawene.
  19. A

    Eti watz tunatumia vitu vya kutoka nje tangu asubuhi. Je ni kweli

    Hivi kweli tangu asubuhi hadi usiku watanzania tunatumia Bidhaa ya Nje badala ya nchini kwetu. Mimi najua nakunywa uji, chai au supu ya hapa hapa nchini. Ugali wa muhogo, mahindi, uwele au mtama wa hapa hapa nchini kwetu
  20. A

    Tundu Lissu asema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata

    Ninasikiliza na kuangalia EATV sasa hivi na Mhe. Tundu Lisu kasema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata. Jamani Viongozi kama Hawa wanatupeleka wapi. Sisi tunaosoma shule za kata kweli tutakipenda Chama chake na Yeye mwenyewe. Viongozi wetu angalieni kauli zenu. Mnatutia kichefuchefu.
Back
Top Bottom