Tundu Lissu asema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata

ambagae

JF-Expert Member
Mar 2, 2009
3,241
1,301
Ninasikiliza na kuangalia EATV sasa hivi na Mhe. Tundu Lisu kasema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata.

Jamani Viongozi kama Hawa wanatupeleka wapi. Sisi tunaosoma shule za kata kweli tutakipenda Chama chake na Yeye mwenyewe.

Viongozi wetu angalieni kauli zenu. Mnatutia kichefuchefu.
 
Ninasikiliza na kuangalia EATV sasa hivi na Mhe. Tundu Lisu kasema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata. Jamani Viongozi kama Hawa wanatupeleka wapi. Sisi tunaosoma shule za kata kweli tutakipenda Chama chake na Yeye mwenyewe. Viongozi wetu angalieni kauli zenu. Mnatutia kichefuchefu.
..ata mimi ni chadema dam dam lakini hizi vishule za kipumbavu mtoto wangu asomi nikiwa mzima uenda nikiwa mfu.....ni uchafu tu.
 
Ninasikiliza na kuangalia EATV sasa hivi na Mhe. Tundu Lisu kasema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata. Jamani Viongozi kama Hawa wanatupeleka wapi. Sisi tunaosoma shule za kata kweli tutakipenda Chama chake na Yeye mwenyewe. Viongozi wetu angalieni kauli zenu. Mnatutia kichefuchefu.


Zile siyo shule ni Kumbi za Watoto kusanyika na kubadilishana mawazo ya maisha.Kama unabisha muulize Mh.Mbatia.
 
Hata sisi watanzania masikini hatuwapeleki watoto wetu shule za kata kwa kupenda, bali umasikini unaotukabili. Shule nyingi za kata hazina walimu wa masomo ya sayansi na hisabati, pia hazina vifaa vinavyotesheleza mahitaji. Lissu yuko sahihi, kwa mzazi mwenye uchungu na watoto wake hawezi na anauwezo hawezi kuwapeleka shule za kata kamwe!
 
Ninasikiliza na kuangalia EATV sasa hivi na Mhe. Tundu Lisu kasema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata. Jamani Viongozi kama Hawa wanatupeleka wapi. Sisi tunaosoma shule za kata kweli tutakipenda Chama chake na Yeye mwenyewe. Viongozi wetu angalieni kauli zenu. Mnatutia kichefuchefu.

Yupo sahihi kabisa bila hata chembe ya shaka maana wenye dhamana yani serekali ya ccm wameshindwa kukizi nahitaji ya hizo shule
 
Ndiyo huo ni ukweli watoto wanaosoma shule za kata sababu ya umaskini tu wazazi hawana pesa za kuwapeleka shule za pesa nyingi....
 
Mimi watoto wangu wote nimewapeleka private school siwezi kwapeleka shule za kata hakuna elimu pale ni sehemu ya kukutana watoto na kutolewa elimu hafifu isiomsaidia sana mtoto
 
Hata walimu wanaofundisha hizo shule za kata na primary za vijiji hawapeleki watoto wao kwenye hizo shule sembuse viongozi? Hata wakulima sasa hivi wanajitahidi watoto wao wasomee shule za private. Mimi ni mwalimu kwenye hizi shule za private hivyo ninayoyasema nina uhakika nayo, wanafunzi wengi ni watoto wa walimu wa shule za kata.
 
Ninasikiliza na kuangalia EATV sasa hivi na Mhe. Tundu Lisu kasema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata. Jamani Viongozi kama Hawa wanatupeleka wapi. Sisi tunaosoma shule za kata kweli tutakipenda Chama chake na Yeye mwenyewe. Viongozi wetu angalieni kauli zenu. Mnatutia kichefuchefu.

Serikali ingekuwa inaongozwa na Chadema, halafu akazungumza hivyo ndiyo ungekuwa sawa kumshangaa.

Lakini serikali inaongozwa na CCM ambao wameshindwa kuboresha hali ya shule za serikali, kiasi ambacho hata watoto wao hawasomi katika hizo shule.

Mh. Tundu Lisu hapaswi kulaumiwa kabisa..!
 
..ata mimi ni chadema dam dam lakini hizi vishule za kipumbavu mtoto wangu asomi nikiwa mzima uenda nikiwa mfu.....ni uchafu tu.
Kwa hiyo mnatuambia tuamini kuwa hiyo ndo sera ya Chadema. Sisi tunaosoma shule ulizoziita za kipumbavu ni wapumbavu Kweli kweli. Sasa mbona kura zetu mnazitaka pamoja na upumbavu wetu. Si mtuache na upumbavu wetu ninyi muendelee na hizo shule zenu za ukweli.
 
Hata sisi watanzania masikini hatuwapeleki watoto wetu shule za kata kwa kupenda, bali umasikini unaotukabili. Shule nyingi za kata hazina walimu wa masomo ya sayansi na hisabati, pia hazina vifaa vinavyotesheleza mahitaji. Lissu yuko sahihi, kwa mzazi mwenye uchungu na watoto wake hawezi na anauwezo hawezi kuwapeleka shule za kata kamwe!
Umesema ni Mbunge Mwenye uchungu je Wanafunzi wote wa jimboni kwake anawasomesha hizo shule nzuri mnazozitambua au ndo anajali watoto wake tu na wale wa wapiga kura wake anawaacha wanasoma shule mlizoziita za kipumbavu
 
Back
Top Bottom