Matokeo ya kura za maoni Jimbo la Kibakwe, Waziri wa Nishati na Madini Mhe. George Simbachawene amekuwa kati ya mawaziri wa Serikali ya Kikwete walioshinda kwa kishindo katika Jimbo la Kibakwe Baada ya kuwaacha wapinzani wake kwa mbali sana.
1. Simbachawene18,158
2. Mwanyinge 6901
3. Mnyang'ali 3562
4. Sabas 430
5. Ngiliule 214
6. Bendela 410
7. Shahel. 279
1. Simbachawene18,158
2. Mwanyinge 6901
3. Mnyang'ali 3562
4. Sabas 430
5. Ngiliule 214
6. Bendela 410
7. Shahel. 279