Habari zenu wandugu,
Katika pita pita za hapa na pale nikaisahau Blackberry(curve 3g) yangu kidogo kama kawaida watu wakaiona dili wakaibeba. Inaniuma kwani ina miezi mitatu tu toka niinunue Tigo shop ikiwa mpyaa, inauma sana.
Anyway nisiwachoshe, nalazimika kuzama mfukoni tena kwa aina...
Nimepigiwa simu na rafiki yangu ambaye yupo Mbeya Wilaya ya Mbarali kuwa vikosi vya FFU vimepiga kambi kule baada ya wananchi kuzuia mwekezaji wa mashamba ya mpunga (NAFCO) kuondoa machine ya kukoboa mpunga iliyokuwepo pale shirikani muda mrefu. Wananchi wanadai ni mwekezaji ni wa muda tu na...
WanaJF nimeongea na mdau mmoja wa Arusha anasema katika zile vurugu za Arusha kuna jamaa alimchoma visu police officer na kumuua lakini police Arusha wanafanya kila wawezalo kufunika hiyo ishu. Pia gari la maji ya kuwasha lilivunjwa vioo. Mwenye data zinazofanana na hizi atujuze tafadhari
Ni dhahiri kwamba idadi ndogo ya waliojitokeza kugombea ubunge na udiwani kupitia CHADEMA mwaka huu ilitokana na chama hicho kutokujulikana sana hasa vijijini na vilevile kudhaniwa kuwa hawawezi kushinda kwa hiyo watakua wamepoteza fedha na muda wao.
Kwa ushindi wa CHADEMA mwaka huu ni...
Wadau nimewahi kupiga kura pale Utawala Mlimani nikiwa mtu wa saba then nikaingia church. Katika tangazo la Tume rangi ya BLUU ni uraisi, NYEUSI ni Ubunge na NYEUPE ni udiwani. Lakini kwenye kituo nilichopigia kura yaani "Utawala-5", Bluu inawekewa ubunge, Nyeusi inawekewa Uraisi. nina wasiwasi...
Wadau nilikua nasikiliza wimbo wa msanii wa kizazi kipya Joseph Haule maarufu kama Prof. J wa "Ndio Mzee" na ndipo nikaanza kukumbuka ahadi za Jakaya kikwete moja baada ya nyingi kwa zote zaidi ya 70 sasa. Ndipo nikagundua Joseph alikua akimsema moja kwa moja JK kwani hadi hivi sasa amebakiza...
Nilikua nasikiliza taarifa asubuhi hii kutoka Radio Free Africa, nimeshtushwa na taarifa ya mtu aliyejitambulisha kua ni mkurugenzi wa taasisi inayojishughulisha na utafiti (CACT) kama wa REDET) akiipinga report ya REDET kwa kusema taasisi yao nayo inaendelea na utafiti huo kwa njia mbalimbali...
Chadema Presidential candidate Dr Willibrod Slaa last Thursday completed the first round of his campaign trail countrywide, which started on August 30, by addressing a rally at Hedaru in Kilimanjaro Region.
Besides the massive support the candidate gained wherever he toured, this reporter...
As far as I have known Jakaya Mrisho Kikwete, HE is very much in LOVE with the PRESIDENCY. His ambitions was to become the president of the united republic of Tanzania which he acquired in 2005. Now his plan is to remain in power for the next 5yrs by any means("Ushindi ni lazima"). One of his...
Revealed: The secret of victory votes to Ikulu
By Guardian on sunday team
19th September 2010
About ten regions holds crucial key to decide who will win or lose the election on October 31 this year, The Guardian on Sunday can reveal today.
Though traditionally the ruling party has...
Siaza za "Maji taka" zilizoanzishwa na CCM zimemuweka Dr. Slaa kivutio katika magazeti mengi nchini kwa takribani siku kadhaa na kuzika taarifa nyingi za mpinzani wake JK.
Wadau hiyo ina manufaa au hatari gani kwa Dr. Slaa KISIASA na hasa katika KURA tar 31??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.