Habari Wakuu.
Nina Powerbook g4 ambayo imekufa HDD nimejitahidi kureplace HDD mpya ukiwasha kinakuja kibahasha chenye question Mark ila nashindwa Kuinstall mac OS X maana sina installation CD nimeijaribu kucreade bootable usb kupita mac ya kuazima pia transmac ila nashindwa kuiboot coz...
Wanabodi kuna material nataka kupakua toka https://depfile.com/ ila nashindwa maana wananitaka niwe premium member.
Kama kuna mdau anajua premium link Generator ya kuwapenya hawa jamaa naomba anisaidie tafadhali.
Wakuu nina simu aina ya pantech cross over toka At&t ilikuwa inafanya kazi vizuri tu ila kuanzia jana imeanza kufreeze yaani ukiwasha inatokea ile logo ya pantech afu inaganda hapo haiendelei hata ukijaribu kuizima haikubali hadi uchomoe betri. Wajuzi wa hivi vidude vya...
HAWA JAMAA WA KIRUSI http://torrent-tv.ru NOUMA KWELI KWELI WAMEACHIA DUDE LA KIMATAIFA (ONLINE TORRENT TV) LENYE ZAIDI YA CHANNEL 200 FOR FREE TENA UNAZIPATA CHANNEL ZAO ZOTE WALIZO ZILIST BILA YA CHENGA.
MUONEKANO WA PICHA NI KAMA FUTUBOX ILE YA KULIPIA
1.HD 5-10 (Mbps)
2. SEMI HD...
wakuu madude yashachukuliwa na wanaohusika nayo so sitojibu pm zinazoulizia madude. ila wale nilioshare nao kama mmepata njia nyingine za kupitia mabasi msisite kunipa pande
UPDATE
Wadau vitu vizuri ule na wenzio.
Katika pita pita zangu nimekutana na hii trick inayosaidia kuifanya Fire fox kuwa nyepesi hivyo si vibaya kushare na wengine.
Mchezo wenyewe upo hivi:-
1.Type about:config katika address bar kama inavyoonyesha screen shoot
then click ok...
WAKUU,
wALE WADAU WANAOSUMBULIWA NA KUKOSEKANA DRIVERS F'LANI KWENYE MADUDE YAO WAJARIBU KUSCAN,KUDOWNLOAD NA KUINSTALL DRIVERS ZOTE MUHIMU KWA PC ZAO KUPITIA SOFTWARE HII AMBAYO TAYARI IPO CRACKED
Ngasa anadaiwa ni mnazi wa yanga na hiyo ndiyo sababu ya kutimuliwa pale Azam.
Je ataweza kuhimili mikiki ya mashabiki wa msimbazi iwapo watapigwa bao na wana jangwa naye mchezo ukawa umemkataa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.