Search results

  1. 24th DECEMBER

    Ushauri: Nataka kumfungulia biashara ya Salon

    Mchanganuo mzuri sana huu unaingia kwenye kila biashara. Hapo namba 4 kwenye kodi estimates zake zipo juu sana, kwa hair cutting mapato TRA weka 100,000/= kwa mwaka sawa na 8,333 kwa mwezi na 277.78/= kwa siku, na leseni ya biashara (Halmashauri) salon ni 41,000/= kwa mwaka sawa na 3,416.67/=...
  2. 24th DECEMBER

    Msaada wa ufafanuzi katika ujenzi wa ghorofa moja

    Mkuu Vipi kama najenga kwa awamu, awamu ya kwanza kabisa walau ikomee wapi?
  3. 24th DECEMBER

    Kabla hujanunua European brand kwa mkumbo zingatia

    Hahahahaaa, yule jamaa ana tamaa sana ya pesa, ni mpuuzi mno.
  4. 24th DECEMBER

    Vipi kiwango cha Joash Onyango umekionaje?

    Ana kaba kwa busara ya hali ya juu sana.
  5. 24th DECEMBER

    Gavana Shilatu atembelea Maghala ya Ufuta

    Bei elekezi shilingi ngapi?
  6. 24th DECEMBER

    Mrejesho: Kilimo cha mpunga Bahi

    Hahahahahahahahhaaaaaaa, Nchi tamu sio
  7. 24th DECEMBER

    Mrejesho: Kilimo cha mpunga Bahi

    Mkulima akijipanga na kufikiria nje ya box, unatoboa, Ila tatizo wakulima wengi tumezoea kuuzia shambani na sio kufikisha sokoni Kwa mlaji wa mwisho, middleman wanafaidi matunda ya Mkulima kwakweli. Ila muda mwingine ni ukosefu wa mitaji, mtu analima kwa kukopa na anatakiwa kulipa mazao...
  8. 24th DECEMBER

    Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

    Mambo gani sasa haya kuletana public?[emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  9. 24th DECEMBER

    Etihad Airways yasitisha kutoa huduma ya usafiri Tanzania

    Lakini sie wa Morogoro Abood bus si lipo kama kawa?
  10. 24th DECEMBER

    Nina mihogo tangu mwaka jana nimekosa soko, nawaza nisage kuwa unga ndio niuze

    Soko la China kwasasa lipo kinadharia sana, madalali wanapambana kulifikia na kwa dalili nionazo watalikamata soko, hapo wakulima tusitegemee saaana kama hilo soko litatutoa maanake si unawajua madalali waakibomgo?. yote kwa yote soko la ndani la muhogo bado ni kubwa sana, ila sio utegemee...
  11. 24th DECEMBER

    Usiombe yakukute jamani, daah!!!

    Hahaaa, kwa gharama yeyote litaamshwa tuu
  12. 24th DECEMBER

    Natafuta soko la mihogo

    kwa jinsi bei ilivyoshuka huku mashambani, bora utafiti masokoni upeleke mzigo mwenyewe, pia jaribu kupeleleza soko la pale picha ya ndege Kibaha muhogo mwingi unaingia kutoka maeneo ya kisarawe
  13. 24th DECEMBER

    Jaji mkuu aipa mbinu Serikali kutoshindwa kesi

    Yupo sahihi aisee, Unajikuta unapoteza muda nwingi kufuatilia kesi nyepesinyepesi mahakamani
  14. 24th DECEMBER

    Huu ni mwaka wa hasara kwa wakulima

    Msimu huu nimegundua aheri kwa mahindi usage unga si haba, kwa mara ya kwanza toka nilipoanza kulima mahindi miaka mitano iliyopita nimethubutu kusaga dona, sembe, bada na dona lililochanganywa na bada (makopa) na kupack na ninauza tena kwa order, yaani nikishakusanya order za wateja ndio...
  15. 24th DECEMBER

    Sterling Engineering wafuta kesi mahakamani baada ya kuona Tanzania itaibwaga

    Saasa, mie ushanipa changu, kesi ya nini?
  16. 24th DECEMBER

    Kwanini biashara nyingi zinakufa licha ya kuwa na mitaji ya kutosha?

    Ukosefu wa Umakini/uzoefu wa usimamizi wa biashara husika ndio tatizo kubwa. Umenikumbusha duka la wife la vipodozi, lilikua kutoka mtaji wa 2M hadi around 17M, sasa wife akajifungua na mimi nikahamishwa kikazi, shemeji akawepo dukani muda mwingi, duka likafa kibudu, mkopo nikawa naulipa kwa...
Back
Top Bottom