Search results

  1. Humphrey Mrema

    SoC01 Agricultural Value Chains: A remedy for low Economic growth in Tanzania

    This article is so insightful, it is relevant and contemporary in solving economic problems of Tanzania particularly those facing the agricultural sector. The most thing I like with this write up, is how the author has articulated his ideas and used economic languages which are technical and...
  2. Humphrey Mrema

    SoC01 Hata katika Majanga, Mashujaa huinuka na kusonga mbele

    Katika historia ya dunia tumekuwa tukipoteza wapendwa wetu siku hadi siku kwasababu nyingi. Takwimu za mwaka 2017, zinaonesha kulikuwa na vifo zaidi ya millioni 50 vya mwaka huo dunia nzima, 72.67% ya vifo vya dunia vimesababishwa na magonjwa yasivyoambukiza, na huku 19.49% ya vifo vikiletwa na...
  3. Humphrey Mrema

    Ukiona mtaani Gari zimeandikwa katika Plate Number kama ifuatavyo usiumize kichwa

    Inaamaanisha UHAMIAJI TANZANIA. Haya hutumiwa na watu wa Idara ya Uhamiaji yaani Immigration Department
  4. Humphrey Mrema

    Msaada: Kuna aliyekutana na hii "2020 Annual Visitor Survey" kutoka Opera Browser?

    ZIP code ni sawa tu na Postal code, yaani sanduku la posta Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Humphrey Mrema

    Msaada: Kuna aliyekutana na hii "2020 Annual Visitor Survey" kutoka Opera Browser?

    Ni kitu kimoja, postal code inatumika sana Canada na ZIP code inatumika zaidi Marekani Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Humphrey Mrema

    Hatimaye nimepata Android 10 kwenye Samsung

    Mimi nina A10s ila nimeupdate android 10 tayari Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Humphrey Mrema

    Msaada wandugu: Jinsi ya ku-bold maneno humu na WhatsApp

    asante Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Humphrey Mrema

    Naomba ufafanuzi kuhusu ajira kwa mtu aliyesoma kozi ya Public Relations and Marketing

    Basi usiichukulie hii kama hasara tu, bali pia ni faida. Ina wigo mkubwa wa kazi na una faida kubwa ya kupata ajira kama network yako pia ni kubwa. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Humphrey Mrema

    Nilivyoridhishwa na mwanafunzi wa sekondari

    Hahaha Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Humphrey Mrema

    fumbo

    ijumaa mkuu... kama nimeboronga nipe jibu chap ! nikaoshee wengne.
  11. Humphrey Mrema

    Mende aonekana kwenye screen ya TV

    nakushauri kanunue dawa ya mende:pulizia kwenye deki huku tv ikiwa on hadi uon mende anateremka asipoonekana kwenye tv jua tayari kafa.
  12. Humphrey Mrema

    God vs satan

    am for god
Back
Top Bottom