Msaada wandugu: Jinsi ya ku-bold maneno humu na WhatsApp

Habari za muda ndugu wa JamiiForums

Naenda moja kwa moja. Huwa natamani sana na mimi kufanya bolding ya maneno whatsap au humu ila huwa siwezi. Naomba mwenye uzoefu anielekeze. Alafu pia maneno ya rangi.

Asanteni, nawasilisha.
Unataka kumtukana nani mkuu?
 
Back
Top Bottom