Msema kweli kasema waziwazi kuwa hakuna ukame nchni na kwamba ni yeye tu atakaye tamka kama kuna ukame. Sasa huyu kiranja wetu wa mifugo na mazao, wakuu wa madhehebu wanasema kuna ukame. Hawa wakuu wa madhehebu wamefika mbali na kusema kuwa tuombee dua na tufunge kusudi tuepuke na janga hili...
Hela zote hizi zimekwenda wapi?
1.Kama alivyodai kuwa "amepunguza" ukubwa wa Baraza la Mawaziri kubana matumizi.
2. Kafuta safari za nje
3.Kafyeka wafanyakazi hewa
4. Kafyeka wanafunzi hewa
5. Kakataza ajira mpya
Na tunaambiwa mabilioni na huenda matrilioni yameokolewa, sasa hizi hela zote...
Ni kwa bahati mbaya nilipojaza kifusi ndani ya garden yangu kumekuwa na ndagu nyingi sana. Hizi ndagu inaonekana zililetwa na hicho kifusi.Nimejaribu kuzign'oa lakini bado zipo na zimenikatisha tamaa jinsi ya kuziua..
Kwa wale wenye ushauri naomba mnishauri kusudi niziue hizi ndagu...
Rafiki yangu ambae anaishi Marekani anataka kunizawadia TV kutoka huko yenye kutumia NTSC ambayo ameshainunua na sisi hapa Tanzania tunatumia Pal secom...Nikamwambia asubiri mpaka nipate maarifa kutoka JF members ndio aniletee
Swali langu je kuna converters zozote ambazo zinaweza kunifanya...
source http://www.standardmedia.co.ke/mobile/article/2000181004/tanzania-elections-not-credible-says-european-union?pageNo=
Dar es Salaam: European Union (EU) observers have expressed reservations on the transparency of the Tanzanian elections.
At a press conference, the observers...
Wakuu mimi ni mmoja wa wakurugenzi wa kampuni fulani. Tuko wakurugenzi kama wanne. Tatizo liko katika uendeshaji wa kampuni yetu ambayo ni Limited. Upeo wetu wetu umetofautiana na mara nyingi huwa kampuni haifanyi kazi vizuri ya kupata faida inayotakiwa.
Sababu hiyo nilioitaja hapo juu...
A former schoolmate of barbaric Mohammed Emwazi has told of his horror of learning the unmasked killer was his teenage friend.
The 27-year-old, who asked not to be named, spoke of the Islamic State butcher known as Jihadi John who has beheaded at least five western hostages.
He said: "I...
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Taifa, Freeman Mbowe, amehitimisha ngwe yake ya ziara ya Operesheni ‘Delete' CCM, akikabidhi kijiti kwa Katibu Mkuu Dk. Willibrod Slaa, huku akiendelea kusisitiza kuwa salama ya nchi kuepukana na anguko kubwa ni chama kilichoko...
Makonda ajipalia makaa
CCM wakwepa, JK ampiga kijembe Warioba kiana
Wapinzani, wanaharakati wachachamaa, polisi hmm
Makonda ajipalia makaaSIKU moja baada ya Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Paul Makonda kuongoza genge la...
Nyumba ya mil. 89/-MIRADI ya ujenzi katika Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, imeghubikwa na tuhuma za ufisadi, ambapo hivi karibuni imekabidhiwa nyumba ya mwalimu yenye vyumba viwili vya kulala na sebule, ikitajwa kugharimu sh. milioni 89, jamba ambalo limeibua utata na kumlazimu Mkuu wa wilaya...
Miss Tanzania 2014 na baba yake, Abbas MtemvuWAKATI mtoto wa mbunge wa Temeke, Sitti Mtemvu akiandamwa na kashfa ya kughushi umri baada ya kushinda Miss Tanzania 2014, baba mzazi wa mrembo huyo, Abbas Mtemvu, ameibuka na kudai sakata hilo ni vita ya kisiasa inayoratibiwa na wapinzani wake ndani...
Tundu LissuMWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amesema mchakato wa kutengeneza katiba mpya ni wa kihistoria kwani jina la marehemu lilipiga kura.
Akifafanua kauli hiyo alisema jina la mjumbe Shida Salum aliyefariki dunia Julai mwaka huu, limo kwenye orodha ya...
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), inadaiwa yupo katika hatua za mwisho kujiengua ndani ya chama hicho alichojijengea sifa kubwa
Kwa mujibu wa watu walio karibu na Zitto, wamelidokeza Tanzania Daima Jumapili, kuwa mbunge huyo alipanga kujiondoa ndani ya chama hicho mwezi...
UMOJA wa Ulaya (EU), umesikitishwa na Tanzania kutoitumia fursa ya uundwaji wa Katiba mpya kuiondoa adhabu ya kifo.
EU, imeeleza hayo jana katika taarifa yake kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, ikiwa ni siku ya kupinga adhabu ya kifo na kueleza kuwa, itaendelea kupaza sauti hadi...
Pinda ampinga Kikwete
Watofautiana kuhusu muda wa kura ya maoni
Takwimu za theluthi mbili ya Sitta zaleta utata
05/10/2014 |
Pinda ampinga KikweteSIKU chache baada ya Bunge Maalum la Katiba kupitisha kwa mbinde katiba inayopendekezwa, Tanzania Daima Jumapili, limedokezwa kuwapo kwa mpasuko...
ccm mmekataliwa Misikitini
ccm mmekataliwa Makanisani
ccm mmekataliwa na UKAWA
ccm mmekataliwa na Wana harakati
ccm mmekataliwa na Wasomi
ccm mmekataliwa na Wenye nchi
ccm mmekataliwa na Serikali ya Zanzibar
ccm mmekataliwa na Wana CCM wenyewe ndan ya Bunge
ccm mmekataliwa na familia...
Mwanasheria Mkuu Z'bar akataa rasimu ya Sitta
Wenzake wamwita UKAWA, wataka kumpa kipigo
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman na askari nje ya BungeMWANASHERIA Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, jana alinusurika kupigwa na wajumbe wenzake wa Bunge Maalumu la Katiba baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.