lidoda
JF-Expert Member
- Apr 27, 2008
- 641
- 574
Hela zote hizi zimekwenda wapi?
1.Kama alivyodai kuwa "amepunguza" ukubwa wa Baraza la Mawaziri kubana matumizi.
2. Kafuta safari za nje
3.Kafyeka wafanyakazi hewa
4. Kafyeka wanafunzi hewa
5. Kakataza ajira mpya
Na tunaambiwa mabilioni na huenda matrilioni yameokolewa, sasa hizi hela zote zinakwenda wapi?
Wale waliopokea au kutoa mishahara hewa mbona mpaka leo hawajashitakiwa??? Wale waliofukuzwa kazi na tuliambiwa kuna watu wanapokea mishahara zaidi ya 10 mbona hatuwaoni mahakamani??
Mbona hizo mahakama za mafisadi mlizotuahaidi mngewaweka mafisadi na mlipata kura za Watanzania wengi mbona hatuzioni?
1.Kama alivyodai kuwa "amepunguza" ukubwa wa Baraza la Mawaziri kubana matumizi.
2. Kafuta safari za nje
3.Kafyeka wafanyakazi hewa
4. Kafyeka wanafunzi hewa
5. Kakataza ajira mpya
Na tunaambiwa mabilioni na huenda matrilioni yameokolewa, sasa hizi hela zote zinakwenda wapi?
Wale waliopokea au kutoa mishahara hewa mbona mpaka leo hawajashitakiwa??? Wale waliofukuzwa kazi na tuliambiwa kuna watu wanapokea mishahara zaidi ya 10 mbona hatuwaoni mahakamani??
Mbona hizo mahakama za mafisadi mlizotuahaidi mngewaweka mafisadi na mlipata kura za Watanzania wengi mbona hatuzioni?