Salaam alekyum wana JF.
Nina tatizo kwenye kujaza form za bodi ya mkopo kila nikiingiza namba ya shule ya Jikomboe Secondary 4535 inasema NO SCHOOL FOUND WITH THIS NUMBER ,,nimejaribu kuwapigia help desk bodi ya mkopo lakin hawapatikan namba zao zote ,,nahitaji ushauri wenu wa JF niconfirm ivo...
Natafuta chumba sebule self container au yenye choo cha nje lakini cha kujitegemea maeneo ya Mbezi mwisho yaan walking distance to Mbezi terminal lakn kama kipo cha njia ya Goba road nipo tayari kulipia na kuhamia kesho..Bajeti yangu ni elfu 80 hadi laki Moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Hello.
There is a WhatsApp group for Dar es Salaam home tuition teachers network ....when i say home tuition teachers I mean those teachers who teach at home basis by visiting students to their home .Let us form a network for easy access and help our home teaching programme more successful...
Wana JF natafuta chumba sebule kwa ajili ya mdogo mwangu cha kawaida choo cha nje...bei elfu 70 kwa mwezi ....maeneo ya kuanzia Ubungo kuelekea Kimara along Morogoro Road.....hata elfu 80 sio mbaya....NI Pm kama unacho
Wadau wa Jamii forum natumai m-wazima wa afya ..
Nadhani nafahamika na wengi humu JF ambao hamnifahamu naitwa Sodoka.
Kuna mtoto wa kaka yangu amechaguliwa UDSM Bachelor of science in Microbiology
Swali langu ni kama ifuatavyo.
Je, mhitimu wa hii course anaweza kufanya kazi kwenye maabara...
Hello wana JF ..
kuna nyimbo ya bongo flava ina chorus hii hapa
Mpenzi wangu samahani
Makosa nimekosa mimi
Naomba unisamee angali bado niko hai
Ni ya kitambo kidogo nahisi kuna sauti ya Jafarai ndani yake japo sina uhakika
Nimegugo sana mpaka nimechoka niliwah kuwa nayo kabla PC yangu...
wakuu kwenye tangazo la ndalichako sijaona sehemu imeandikwa walimu wa masomo ya commerce ..book keeping na economics ..kwaio na wao wamepigwa panga kudadeeeki .......
it is a can't believe event ...siamin nikiwa naandika thread hii ....poleni sana walimu ..mliokuwa na familia na wachumba zenu...
alternatives hizi ukizifuata utafanikiwa ..
1. kama O level ulisoma science mwakani tafuta chuo ukasome diploma au certificate ya course ya afya eg nursing ,,clinical medicine etc
2. kama o level ulisoma pure arts ila biology ulipata PASS ..mwakani omba chuo cha afya kasome certificate ya...
Kama upo chuo na course unayosoma haipo kwenye list hapa chini jiandae kisaikolojia kukabiliana na tatizo sugu la kukosa ajira.
1.ualimu wa arts, sayansi na Mathematics. ..ila ualimu wa arts hauaminiki sana siku hizi
2.Udaktari wa binadamu pamoja na unesi ,meno ila pharmacy haitabiriki...
wana JF ..
kuna hii clip inasambaa sana mitandaoni kuhusu kauli ya rais wetu kuhusu kuwepo kwa vyuo vikuu ndani ya nchi yetu,,,,ametaja baadhi ya vyuo ambayo hapo awali vilikuwa vinatoa elimu ya diploma yaani vilianzishwa kama taasisi (INSTITUTE) ,,amejaribu kutumia lugha flani hivi ambayo...
waziri kasema walimu wanapangiwa direct mashuleni kulingana na uhaba .....kwaio ukifanya integration kisha ukamalizia na differentiation uhalisia ni kuwa mashule mengi yamejaa walimu wa arts yaan watakuwa wanachek kwenye uhaba wa walimu wa arts wanapangiwa ila kwenye shule zenye walimu weng wa...
ndugu zangu najua kuna mliokosa first round ya TCU ,,wengi wenu kwa sasa mnajaza course yoyote ili mradi upate chuo eti ukifika utabadili course....
natoa angalizo hii iliwahi kunikuta na mimi ni mmoja kati ya wahanga niliochaguliwa first round mwaka 2011 nilipofika chuoni nilitaka kubadili...
habari wadau wa JF...
wakati mwingine tuweni makini na vyuo tunavyoenda kusoma hasa hivi vya private ....Haya maneno niliyoyataja hapo juu yananimix kwan nimejaribu Kuchek orodha ya vyuo kwenye website ya Nacte kuna baadhi ya vyuo unakuta kipo Full registered lakn kwenye accreditation...
wataalamu wa lugha natumai hamjambo. Naombeni ufafanuzi katika hili kwanini sehemu zinapouzwa ndizi karibu Tanzania nzima zinaitwa Mahakama ya ndizi....mfano
mahakama ya ndizi Morogoro
mahakama ya ndizi Mabibo dsm
mahakama ya ndizi kijijini Mbingu
NB
nilipost kule jukwaa la lugha lakn halina...
wataalamu wa lugha natumai hamjambo. Naombeni ufafanuzi katika hili kwanini sehemu zinapouzwa ndizi karibu Tanzania nzima zinaitwa Mahakama ya ndizi....mfano
mahakama ya ndizi Morogoro
mahakama ya ndizi Mabibo dsm
mahakama ya ndizi kijijini Mbingu
eti ni kweli medical students are not creative than engineering students ........
lakin napata mashaka kwani kuna maengineer wengine waliosoma miaka minne tena elimu ya chuo kikuu mechanical engineering lakin hawawezi kutrace tatizo dogo tu kwenye gari,,,yaaan namanisha
"There are some...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.