Kwanini inaitwa #MAHAKAMA YA NDIZI???

Kwanini inaitwa #MAHAKAMA YA NDIZI???

SODOKA

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,656
Reaction score
724
wataalamu wa lugha natumai hamjambo. Naombeni ufafanuzi katika hili kwanini sehemu zinapouzwa ndizi karibu Tanzania nzima zinaitwa Mahakama ya ndizi....mfano

mahakama ya ndizi Morogoro
mahakama ya ndizi Mabibo dsm
mahakama ya ndizi kijijini Mbingu
 
Nafikiri ni jina tu kama ulivyo ainisha hapo juu kuwa eno husika limekuwa maarufu kwa kuuzwa bidhaa hiyo moja kwa moja kwa mlaji. Vivyo hivyo pale Vingunguti panajulikana kama mahakama ya mbuzi kwakuwa ni eneo maarufu kwa uzwaji wa bidha hiyo moja kwa moja kwa mlaji.
 
Back
Top Bottom