SI KWELI Threads

  • Article Article
Wakuu, Nimeona hii picha inadaiwa kuwa ni ndege ya Pakistani imeshambuliwa na jeshi la Afighanstan. Uhalisia upoje?
0 Reactions
0 Replies
180 Views
  • Article Article
Wakuu hawa jamaa wanatupanga hapa au ni halisi?
3 Reactions
8 Replies
434 Views
  • Article Article
Kuna jogoo kataga yai hapa ni dogo tofauti na ya majike.
1 Reactions
1 Replies
304 Views
  • Article Article
Habari, Nimekutana na picha zinazodaiwa kuwa ni kiwanda cha mayai Goba ambacho kinadaiwa kimekaa karibuni. Pia kuna video inasambaa ikionesha mtu akiuza mayai yenye viini viwili. Video...
3 Reactions
2 Replies
3K Views
  • Article Article
Wakuu Nimekutana na hii taarifa imenisikitisha sana. Inasema mama mwenye mtoto mdogo amedondoka ghafla mbezi na anahitaji msaada wa haraka. JamiiCheck tusaidieni kuthibitisha taarifa hii...
0 Reactions
0 Replies
209 Views
  • Article Article
Kumekuwepo na chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hasa facebook likiwa na ujumbe wenye nukuu inayosema “ Jesca Magufuli sina amani nawindwa mpaka Nyumbani”je ni upi ukweli wa chapisho...
1 Reactions
7 Replies
656 Views
  • Article Article
Wakuu nimekutana na hii, "Soda ya Sprite (ya baridi) tunayoambiwa kusukutua nayo mdomoni baada ya kung'oa jino huwa ni tiba ya kweli ya maumivu au ni imani?"
0 Reactions
0 Replies
222 Views
  • Article Article
Mkuu wa Idara ya habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Bw. Gervas Lyenda ni amesema Chama chake kipo tayari kushiriki kwenye mchakato wa maridhiano ili kuhakikisha Tanzania inakuwa...
1 Reactions
3 Replies
439 Views
  • Article Article
1 Reactions
7 Replies
351 Views
  • Article Article
Nimekutana na hii video ya mtu mmoja ambaye ni Fitness trainer, anashauri wanawake wajawazito wasitumie Folic Acid maana itawaletea matatizo kwa baadae. Nimeogopa sana aisee. Ujumbe huu ni sahihi...
0 Reactions
2 Replies
250 Views
  • Article Article
Nimeona taarifa hiyo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa mwanaye huyo ameteuliwa kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Uganda. Wengi wamehusisha uteuzi huo kuwa ni kuimarisha familia yake ambapo...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Article Article
Jay El
SI KWELI 
Je ni imani za kweli kuwa kitovu cha mtoto mchanga kikiangukia uume huyo mtoto atakua hasimamishi? Wajuvi wa mambo tunaomba mtusaidie.
4 Reactions
65 Replies
8K Views
  • Article Article
3 Reactions
3 Replies
374 Views
  • Article Article
Wakuu nimekutana na Taarifa huko mtandaoni inayoeleza kuwa...
2 Reactions
3 Replies
385 Views
  • Article Article
Kumekuwepo na video ambayo inasambaa kwenye mitandao wa facebook pamoja tiktok ikielezea kuhusu matumizi ya alama yenye nembo 50 na matumzi yake katika barabara. Kwa kutumia ufuatiliaji kupitia...
2 Reactions
6 Replies
582 Views
  • Article Article
Inadaiwa baada ya kupoa kwa muda mrefu, Volkano ya Mlima Ol Doinyo Lengai imeanza tena kulipuka. Suala hili linaweza kuwa hatari kwa afya ya umma hivyo wananchi wachukue tahadhari.
1 Reactions
6 Replies
413 Views
  • Article Article
Wakuu Kuna hii Taarifa nimeikuta katika mtandao wa Facebook inaeleza kuwa CNN wamechapishwa kwamba Polepole amefariki.
1 Reactions
2 Replies
327 Views
  • Article Article
kimsboy
SI KWELI 
Hii sio haki hata kidogo, Maduro na mke wake ni waovu yes lakini sio kumtendea hivi. Imagine Melania angekua amepigwa hivi jee dunia nzima sahizi wangelikua washatoka kusema ni uvunjifu wa haki...
7 Reactions
31 Replies
1K Views
  • Article Article
Video imeripotiwa kuwa ni tukio lililotokea nchini Indonesia baada ya mafuriko makubwa ambapo tembo anaonekana akimuokoa Chui kutoka kwenye mafuriko hayo kitendo kilichovutia watu wengi. Je...
2 Reactions
21 Replies
964 Views
Back
Top Bottom