Habari,
Nimekutana na picha zinazodaiwa kuwa ni kiwanda cha mayai Goba ambacho kinadaiwa kimekaa karibuni. Pia kuna video inasambaa ikionesha mtu akiuza mayai yenye viini viwili.
Video...
Wakuu
Nimekutana na hii taarifa imenisikitisha sana. Inasema mama mwenye mtoto mdogo amedondoka ghafla mbezi na anahitaji msaada wa haraka.
JamiiCheck tusaidieni kuthibitisha taarifa hii...
Kumekuwepo na chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hasa facebook likiwa na ujumbe wenye nukuu inayosema “ Jesca Magufuli sina amani nawindwa mpaka Nyumbani”je ni upi ukweli wa chapisho...
Wakuu nimekutana na hii,
"Soda ya Sprite (ya baridi) tunayoambiwa kusukutua nayo mdomoni baada ya kung'oa jino huwa ni tiba ya kweli ya maumivu au ni imani?"
Mkuu wa Idara ya habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Bw. Gervas Lyenda ni amesema Chama chake kipo tayari kushiriki kwenye mchakato wa maridhiano ili kuhakikisha Tanzania inakuwa...
Nimekutana na hii video ya mtu mmoja ambaye ni Fitness trainer, anashauri wanawake wajawazito wasitumie Folic Acid maana itawaletea matatizo kwa baadae.
Nimeogopa sana aisee. Ujumbe huu ni sahihi...
Nimeona taarifa hiyo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa mwanaye huyo ameteuliwa kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Uganda.
Wengi wamehusisha uteuzi huo kuwa ni kuimarisha familia yake ambapo...
Kumekuwepo na video ambayo inasambaa kwenye mitandao wa facebook pamoja tiktok ikielezea kuhusu matumizi ya alama yenye nembo 50 na matumzi yake katika barabara.
Kwa kutumia ufuatiliaji kupitia...
Inadaiwa baada ya kupoa kwa muda mrefu, Volkano ya Mlima Ol Doinyo Lengai imeanza tena kulipuka. Suala hili linaweza kuwa hatari kwa afya ya umma hivyo wananchi wachukue tahadhari.
Hii sio haki hata kidogo, Maduro na mke wake ni waovu yes lakini sio kumtendea hivi.
Imagine Melania angekua amepigwa hivi jee dunia nzima sahizi wangelikua washatoka kusema ni uvunjifu wa haki...
Video imeripotiwa kuwa ni tukio lililotokea nchini Indonesia baada ya mafuriko makubwa ambapo tembo anaonekana akimuokoa Chui kutoka kwenye mafuriko hayo kitendo kilichovutia watu wengi.
Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.