KERO Threads

Katika shule nyingi, hasa za msingi, kumeanzishwa utaratibu wa kutoza michango ya kila siku kwa ajili ya mitihani. Kila siku michango hiyo hutozwa kuanzia Shilingi 300 hadi 1,000 kwa kila...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hii ni hospitali binafsi iko opposite na Mount Meru-Arusha, kwanza kukaa mkabala na mount Meru ni kimkakati kupata wateja. Haya mahospitali hayana madaktari walioajiriwa wanategemea madaktari wa...
1 Reactions
5 Replies
372 Views
Anonymous
KERO 
Walimu waliohamishwa tangu Januari 2024 Wilayani Kiteto hawajapewa fedha ya usumbufu wala kujikimu, tunaomba mamlaka iingilie kati.
0 Reactions
1 Replies
232 Views
Anonymous
KERO 
Naandika nikiwa na huzuni sana hapa najiuliza ni uzembe wa Serikali au Uongozi wa Hospitali ya Mloganzila ulio chini ya Profesa Janabi au Dr Magandi... Mwaka jana 2024 nilikuja na mgonjwa wangu...
2 Reactions
7 Replies
738 Views
Anonymous
KERO 
Kata ya Buyuni – Mtaa wa Nyeburu, Barabara ya Mchimbo (Maarufu Kwa Baba Esther) Sisi Wananchi wa Kata ya Buyuni, Mtaa wa Nyeburu, tunapenda kuwasilisha taarifa ya kero inayotusumbua kwa muda...
2 Reactions
8 Replies
814 Views
Anonymous
KERO 
TECU ni moja lakini kila Meneja wa Mkoa anafanya anavyojua na Chief Eng. Mwandambo hajui hata kinachoendelea. Napenda kuuliza kwanini wafanyakazi wa TECU kwenye miradi mikoa mingine wanalipwa...
2 Reactions
2 Replies
387 Views
Anonymous
KERO 
Je, wahusika wa usalama barabarani wamejiwekea malengo gani kwenye kupunguza ajali za barabarani? Kwasababu, wanachi hatupewi takwimu zinazonesha kupungua kwa ajali za barabarani, hatua...
1 Reactions
3 Replies
558 Views
Vifusi vilivyopo katika mitaa tajwa hapo juu vimekuwa kero kwa wananchi wa mitaa hiyo kwani ndiyo barabara kuu waitumiayo kwenda Hospital ya Wilaya, Frelimo katika manispaa ya Iringa. Vifusi hivyo...
0 Reactions
0 Replies
252 Views
DT125
KERO GE2025 
Hivi TUGHE hamzioni barua za vitisho toka kwa waajiri kuwalazimisha watumishi na wanafunzi kuhudhuria mikutano ya kampeni ya mgombea wa CCM? Barua za waajiri zinawataka watumishi kuhudhuria...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Yaani nchi yetu imekuwa ya ajabu mno siku hizi. Kila mwezi wanakata malaki ya hela kutoka kwenye mishahara ya watu kwa ajili ya bima ya Afya ya NHIF. Lakini ukienda hospitali kwa ajili ya huduma...
2 Reactions
12 Replies
893 Views
Anonymous
KERO Responded 
Shule nyingi za Msingi na hata Sekondari zimejitengenezea utaratibu wa kuwafanyisha mitihani wanafunzi hasa walio katika mwaka wa mitihani ya Taifa kama Darasa la Nne, Saba, kidato cha pili na...
10 Reactions
101 Replies
4K Views
Kumekuwa na tatizo la watu wa DAWASCO kuchimba mitaro na kuiacha kwa kipindi kirefu. Mtaani kwangu njia panda ya Segerea tuna wiki mbili wamechimba na hakuna kingine kimefanyiaka, hii ni kero...
0 Reactions
2 Replies
224 Views
Anonymous
KERO 
Nimekuwa nikituma email na ujumbe whatsap kwakuwa nilikuwa na shida kwenye makato yangu ya deni la bodi ya mikopo ila sio whatsap wala email inayojibiwa huenda pana changamoto ya wafanyakazi au...
1 Reactions
3 Replies
266 Views
Anonymous
KERO 
Tunataka kufahamu kwa nini UTUMISHI mwaka huu walificha tangazo la ufadhili wa masomo ngazi ya PhD (MOFCOM scholarship) kwa watumishi wote? Ikiwa kama ni sehemu ya kusaidia maendeleo ya ukuaji wa...
3 Reactions
2 Replies
500 Views
Wakuu hiyo situation mnaichukuliaje maana kuhusu pesa inaweza isiwe shida kwanini iwe tofauti kati ya bei anayoona abiria na dereva au wanajiongezea tu imenipa mkanganyiko sana mimi kwenye app ya...
4 Reactions
45 Replies
2K Views
Ni takribani wiki mbili sasa nimekuwa na harakati katika eneo maarufu la Kwa Zena lililopo Mbezi Beach-Dar es salaam. Kuna jambo ambalo siwezi kulikalia kimya, licha ya kwamba mimi si mkazi wa...
0 Reactions
2 Replies
483 Views
Anonymous
KERO 
Nianze kwa kupongeza JamiiForums kwa kazi nzuri mnayoifanya kwa kweli mnastahili pongezi kubwa. Mimi nina ombi moja, ninaomba nisaidieni kuuliza swali kwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe pamoja...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
- Tatizo hili linaendelea hata baada ya kukamilika mradi wa maji wa tanki la bangulo uliogharimu bilioni 36.8 na maji hamna Kinyerezi. Wakazi wa Kinyerezi wapo katika wakati mgumu maji ya Dawasa...
0 Reactions
4 Replies
411 Views
Anonymous
KERO 
Nawakilisha kwa Uchungu Mkubwa sana ukiwa ndani ya moyo wangu kutokana na Dhulma tunayofanyiwa na Katibu wa CCM Mufindi bwana Clement Bakuli. Soko la Sabasaba lilizuka baada ya sisi wahanga...
0 Reactions
1 Replies
224 Views
Katibu Mkuu - Maji na Waziri Maji, ni karibu mwezi sasa hatuna maji ya uhakika. Mafundi wanadai kuwa mitambo ya maji Wazo ni mibovu na hawajui lini yatapona. Ushauri wanao toa ni kuchimba...
1 Reactions
5 Replies
324 Views
Back
Top Bottom