KERO Threads

Anonymous
KERO Responded 
Kuna tatizo kubwa la upungufu na ukosefu wa maji kwa vitongoji kadhaa kwenye vijiji hivi viwili ambapo baadhi ya wananchi wanapata maji kwa mgao na wengine hawapati kabisa. Mamlaka ya maji...
0 Reactions
1 Replies
90 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mwanafunzi niliyehitimu Chuo cha Uhasibu Arusha, tangu mwaka 2025 lakini mpaka sasa hivi baadhi yetu hatujapatiwa vyeti na vigezo vyote tumekidhi lakini kila tukienda chuoni hapo tumekuwa...
0 Reactions
0 Replies
47 Views
Anonymous
KERO 
Mtumishi wa chuo cha SUA kampasi ya Solomon Mahalangu Patricia Benedicto office assistant idara ya sayansi ya viumbe hai amekuwa kero kwa watumishi wake kwa kuficha vocha za madeni. Anawatishia...
1 Reactions
0 Replies
64 Views
Anonymous
KERO 
Bodi ya Mikopo (HESLB) wametoa nafasi za ajira za mkataba lakini wameweka kigezo cha umri, yaani ambao wanaruhusiwa kuomba ni graduates kuanzia Mwaka 2020-2026. Kero yangu ni kwamba tatizo la...
0 Reactions
0 Replies
65 Views
Anonymous
KERO 
Hali ya barabara katika mitaa yetu ya TABATA (NSSF) sasa imefika hatua ambayo si kero tena, bali ni janga la miundombinu linalohatarisha usalama, afya, na uchumi wa kila mkazi. Kama picha...
1 Reactions
0 Replies
50 Views
Anonymous
KERO 
Miezi mitatu imepita watumishi hawajalipwa posho zao na hakuna taarifa yeyote juu yao, zaidi kuna matumizi mabaya ya makusanyo ya fedha mbalimbali zinazosababisha watumishi wasilipwe posho zao...
1 Reactions
0 Replies
57 Views
Anonymous
KERO 
Kero yangu ni Askari wa Usalama Barabarani maeneo ya Magari Saba Mbezi Luis hawafanyi kazi yao ipasavyo 1. Maskari wanajazana hapo Magari Saba Mbezi Luis halafu hamna bango la speed 50...ina...
0 Reactions
0 Replies
42 Views
Anonymous
KERO 
Mamlaka ya Maji Iringa IRUWASA inakatia wateja maji hadi wanaodaiwa bili ya shilingi elfu moja kwa mwezi mmoja na kuwalazimu kulipa garama za kurudisha maji elfu 15. Wanafanya hivyo ili mamlaka...
0 Reactions
0 Replies
32 Views
Wakuu Kuna hii tabia ya baadhi ya watu kuingia kwenye usafiri wa umma nyakati za jioni wakiwa wanatoka mazoezini bila kuoga, wananuka jasho na kwa kweli huwa wanakwaza sana abiria wengine...
12 Reactions
15 Replies
264 Views
Katika pitapita yangu mitaani nimekutana na malalamiko ya wananchi kuwa sasa hivi units za umeme wa luku zinatembea mithili ya internet bundles za Yas! Wananchi wengi wanadai kuwa matumizi ni...
10 Reactions
65 Replies
2K Views
Anonymous
KERO 
JE ILIKUWA NI AHADI HEWA YA KUPITISHWA NA KUANZA UTEKELEZAJI WA MUUNDO WA UTUMISHI KWA SEKTA YA AFYA (KADA YA UUGUZI NA UKUNGA) KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 ILIYOTOLEWA NA OFISI YA RAIS –...
2 Reactions
15 Replies
460 Views
Anonymous
KERO 
Sekretarieti ya Ajira wao huwa wapo strict sana kukusema inapitokea umeitwa katika usaili kisha ukachelewa hata kama ni dakika chache, wanakuona haupo serious kwenye kutafuta kwako, hivyo na wao...
1 Reactions
2 Replies
151 Views
Karibu miezi mitatu sasa imepita tangu niwasilishe maombi ya pasipoti, lakini hadi leo (Machi 2026) sijapatiwa huduma hiyo kutoka Idara ya Uhamiaji Tanzania. Kila ninapofuatilia naambiwa kuwa...
3 Reactions
16 Replies
347 Views
Anonymous
KERO 
Napenda kutoa dukuduku langu, yaani hawa wasimamizi wa written interviews za utumishi baadhi yao wanasababisha watu wanafeli yaani mshaanza wao ni kelele.
1 Reactions
0 Replies
84 Views
  • Redirect
Kutofanyiwa ufumbuzi wa tatizo la kujaa maji katika njia ya Vianzi kutoka Vikindu Hospitali kuelekea Masister inaleta shida sana kwa watu kupita. Hii ndiyo njia pekee inayotumiwa na wanafunzi wa...
0 Reactions
Replies
Views
Anonymous (e8a1)
KERO 
Unakosea kuziita pombe, huo ni uchafu. Pombe ni chakula. Nikiona mtu anakunywa hizo namwona kama mjinga mjinga. Weka na K Vant pia hapo
16 Reactions
69 Replies
992 Views
Anonymous
KERO 
Hii ni shule ya msingi iliyopo Kijiji cha Idete, Kata ya Idete Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa. Mazingira ya shule ni hatarishi kwa watoto wetu kama inavyoonekana katika picha. Tafadhali uongozi...
0 Reactions
11 Replies
271 Views
Anonymous
KERO 
Mikocheni nyuma ya Shoppers Plaza mtaani kwetu vinyesi vinamwagika tu, yaana mwaka sasa na tumesharipoti DAWASA hawafanyi kitu tumeripoti kwa mwenyekiti hafanyi kitu. Tunaomba msaada kuna Watoto...
0 Reactions
3 Replies
132 Views
Anonymous
KERO 
Maafisa Ustawi Kila siku wanatishiwa kuhamishwa na Katibu wa Idara ya Afya bila sababu za kueleweka. Sijui yeye ana hayo Mamlaka ya kumhamisha Mtumishi maana hata kwenye Mfumo wa PEPMIS...
3 Reactions
3 Replies
82 Views
Anonymous
KERO 
DAWASA Kigamboni ni kero wanawaongezea bili wananchi, yaani unakuta mtu ana familia tu ya watu 3 na wote hawashindi nyumbani wanahamka kwenda mihangaiko nyumban mpaka jioni lakini bili ya mwezi...
1 Reactions
1 Replies
44 Views
Back
Top Bottom