KERO Threads

Anonymous
KERO 
Mimi ni mkazi wa Mwanza, na napenda kuelezea changamoto kubwa tunayoipitia kila siku, hasa nyakati za asubuhi kwa wanafunzi wanaotegemea daladala kwenda shule. Kwa muda sasa, hali imekuwa ngumu...
3 Reactions
4 Replies
164 Views
Anonymous
KERO 
Mimi na wenzangu ni watumishi wa afya, ajira mpya, katika Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Tumeanza kazi tukiwa na matumaini makubwa, lakini kwa sasa tunapitia changamoto kubwa sana kuhusu fedha...
1 Reactions
5 Replies
70 Views
Anonymous
KERO 
Tukiwauliza viongozi hatupewi majibu tunaishiwa kutishiwa tu na kujibiwa kisiasa kuwa akama ni haki yetu tutaipata hata kwa kuchelewa sana
0 Reactions
2 Replies
91 Views
Anonymous (d932)
KERO 
Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro haijalipa fedha za kujikimu kwa ajira mpya na wapo kimya, hawajasema lolote. Serikali itusaidie katika hilo, tuliripoti kazini mwezi wa kwanza hadi...
0 Reactions
3 Replies
167 Views
Anonymous
KERO 
Watumishi wa ajira mpya 2025 na 2026 wilaya ya masasi DC mtwara walimu hatujalipwa fedha za kujikimu. Soma Pia: Walimu wa Ajira mpya Wilaya ya Kilosa, Morogoro hatujalipwa fedha za kujikimu
0 Reactions
1 Replies
48 Views
Anonymous
KERO 
Chamwino Kada ya Afya tulioripoti March 2025 hatujalipwa fedha za kujikimu, Viongozi wanatupuuza Sisi Watumishi wa Halmashauri ya Chamwino Kada ya Afya tulioripoti March 2025, hatujalipwa fedha...
1 Reactions
5 Replies
172 Views
Anonymous (dd8c)
KERO 
Wilaya ya Meatu walimu tunakataliwa kujitoa chama cha walimu kujiunga chakuhata wakati chama cha walimu cha wilaya kina fanya mambo ya hovyo mengi. Kwa mfano, fedha za walimu zinarudi tawini...
0 Reactions
1 Replies
59 Views
Anonymous
KERO 
Posho ya madaraka kwa waganga wafawidhi. Kwa muda mrefu sasa, waganga wafawidhi wa zahanati na vituo vya afya nchini wamekuwa wakitekeleza majukumu mengi mazito ya kiuongozi bila kutambuliwa...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Makonda wa daladala za Masaki-Gerezani wamekuwa wakichukua nauli iliyozidi. Nauli ni 700 wao ukiwapa hela kama 1000 na kuendelea wanakukata 800 kwa kisingizio cha kukosa chenji.
0 Reactions
3 Replies
61 Views
Anonymous (169a)
KERO 
Daladala za Mbeya mjini kutoka stand kuu na kwenda sehemu mbali mbali maeneo ya jiji la Mbeya especially Uyole zimekuwa zinatoza nauli ya kianzio cha shilingi elfu 1 kama nauli ya chini hata kama...
0 Reactions
1 Replies
56 Views
Anonymous
KERO 
Kuna application hii ya kutoa mikopo mitandaoni inaitwa KKPESA naombeni muifuatilie kwa ukaribu sana. 1. Riba zao ni kubwa na inatakiwa mkopo ulipwe kwa muda mfupi sana siku 7. 2. Siku ya 6...
5 Reactions
30 Replies
370 Views
Anonymous (f916)
KERO 
Pembezoni mwa Hombolo Dam serikali ilikuja na project ya kupanda miti Na kukafanyika uzinduzi, mahema , misafara ya viongozi. Kumbuka hekaheka zote hizi zinafadhiliwa na pesa za walipa kodi...
0 Reactions
0 Replies
59 Views
Anonymous
KERO 
Msewe Chief Kunambi Maji yamekuwa shida tangu November 2025 ✅️ Mvua ikinyesha maji nayo yanatoka, Ikikatika maji nayo yanakatika. ✅️ Tunamaliza wiki mbili bila maji ya mgao, yanaweza toka usiku...
3 Reactions
26 Replies
269 Views
Anonymous
KERO 
Ni kuhusiana na agizo la serikali kuhusu kima cha chini cha mshahara kuwa shilingi 308,000. Pamoja na maelekezo hayo kutolewa na kurudiwa mara kadhaa, kuna baadhi ya makampuni bado hayatekelezi...
1 Reactions
5 Replies
114 Views
Anonymous
KERO 
Watumishi walioajiriwa mwezi Juni 2022 katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe tunaomba haki yetu ya msingi itendeke. Pamoja na kutimiza wajibu wetu wa kazi kwa uaminifu, hadi sasa wengi wetu...
1 Reactions
4 Replies
106 Views
Anonymous
KERO 
Hapa Mpwapwa Mjini tuna kero kubwa ya kuwa na dampo lango la stendi ya mabasi taka zinakaa muda mrefu sana na imekuwa changamoto ya muda mrefu sana harufu kali inahatarisha afya za watumiaji wa...
0 Reactions
1 Replies
48 Views
Anonymous
KERO 
Sisi Watumishi wa Afya kutoka Wilaya ya Geita DC tulioajiriwa kuanzia mwezi January 2026 hatujalipwa pesa za kujikimu na uongozi wa hautupi ushirikiano wowote. Soma Pia: Simiyu Itilima DC...
0 Reactions
0 Replies
31 Views
Anonymous
KERO 
Kituo cha Afya Mtae kilichopo Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga kinalipisha huduma ya opereshen kwa wamama wajawazito Tsh 78,000 kwa kila anayejifungua kwa operesheni na hatulipi kwa Control Number...
0 Reactions
1 Replies
43 Views
Anonymous
KERO 
Ajira mpya wa sekta ya afya—tulioripoti kazini Januari 2026 katika Manispaa ya Singida Mjini na Wilaya ya Mkalama. Mimi ni Tabibu Msaidizi Daraja la Kwanza. Tulitarajia kulipwa fedha za kujikimu...
0 Reactions
0 Replies
55 Views
Anonymous
KERO 
Habari, tunaomba msaada wa kutupazia sauti juu ya changamoto kubwa tunazokumbana nazo sisi watumishi katika Wilaya ya Hai. Mimi ni Afisa Mtendaji niliyeajiriwa mwaka 2024 katika Wilaya ya Hai...
0 Reactions
0 Replies
30 Views
Back
Top Bottom