Mimi ni mkazi wa Mwanza, na napenda kuelezea changamoto kubwa tunayoipitia kila siku, hasa nyakati za asubuhi kwa wanafunzi wanaotegemea daladala kwenda shule.
Kwa muda sasa, hali imekuwa ngumu...
Mimi na wenzangu ni watumishi wa afya, ajira mpya, katika Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Tumeanza kazi tukiwa na matumaini makubwa, lakini kwa sasa tunapitia changamoto kubwa sana kuhusu fedha...
Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro haijalipa fedha za kujikimu kwa ajira mpya na wapo kimya, hawajasema lolote.
Serikali itusaidie katika hilo, tuliripoti kazini mwezi wa kwanza hadi...
Watumishi wa ajira mpya 2025 na 2026 wilaya ya masasi DC mtwara walimu hatujalipwa fedha za kujikimu.
Soma Pia: Walimu wa Ajira mpya Wilaya ya Kilosa, Morogoro hatujalipwa fedha za kujikimu
Chamwino Kada ya Afya tulioripoti March 2025 hatujalipwa fedha za kujikimu, Viongozi wanatupuuza
Sisi Watumishi wa Halmashauri ya Chamwino Kada ya Afya tulioripoti March 2025, hatujalipwa fedha...
Wilaya ya Meatu walimu tunakataliwa kujitoa chama cha walimu kujiunga chakuhata wakati chama cha walimu cha wilaya kina fanya mambo ya hovyo mengi.
Kwa mfano, fedha za walimu zinarudi tawini...
Posho ya madaraka kwa waganga wafawidhi.
Kwa muda mrefu sasa, waganga wafawidhi wa zahanati na vituo vya afya nchini wamekuwa wakitekeleza majukumu mengi mazito ya kiuongozi bila kutambuliwa...
Makonda wa daladala za Masaki-Gerezani wamekuwa wakichukua nauli iliyozidi.
Nauli ni 700 wao ukiwapa hela kama 1000 na kuendelea wanakukata 800 kwa kisingizio cha kukosa chenji.
Daladala za Mbeya mjini kutoka stand kuu na kwenda sehemu mbali mbali maeneo ya jiji la Mbeya especially Uyole zimekuwa zinatoza nauli ya kianzio cha shilingi elfu 1 kama nauli ya chini hata kama...
Kuna application hii ya kutoa mikopo mitandaoni inaitwa KKPESA naombeni muifuatilie kwa ukaribu sana.
1. Riba zao ni kubwa na inatakiwa mkopo ulipwe kwa muda mfupi sana siku 7.
2. Siku ya 6...
Pembezoni mwa Hombolo Dam serikali ilikuja na project ya kupanda miti
Na kukafanyika uzinduzi, mahema , misafara ya viongozi. Kumbuka hekaheka zote hizi zinafadhiliwa na pesa za walipa kodi...
Msewe Chief Kunambi Maji yamekuwa shida tangu November 2025
✅️ Mvua ikinyesha maji nayo yanatoka, Ikikatika maji nayo yanakatika.
✅️ Tunamaliza wiki mbili bila maji ya mgao, yanaweza toka usiku...
Ni kuhusiana na agizo la serikali kuhusu kima cha chini cha mshahara kuwa shilingi 308,000. Pamoja na maelekezo hayo kutolewa na kurudiwa mara kadhaa, kuna baadhi ya makampuni bado hayatekelezi...
Watumishi walioajiriwa mwezi Juni 2022 katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe tunaomba haki yetu ya msingi itendeke. Pamoja na kutimiza wajibu wetu wa kazi kwa uaminifu, hadi sasa wengi wetu...
Hapa Mpwapwa Mjini tuna kero kubwa ya kuwa na dampo lango la stendi ya mabasi taka zinakaa muda mrefu sana na imekuwa changamoto ya muda mrefu sana harufu kali inahatarisha afya za watumiaji wa...
Sisi Watumishi wa Afya kutoka Wilaya ya Geita DC tulioajiriwa kuanzia mwezi January 2026 hatujalipwa pesa za kujikimu na uongozi wa hautupi ushirikiano wowote.
Soma Pia: Simiyu Itilima DC...
Kituo cha Afya Mtae kilichopo Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga kinalipisha huduma ya opereshen kwa wamama wajawazito Tsh 78,000 kwa kila anayejifungua kwa operesheni na hatulipi kwa Control Number...
Ajira mpya wa sekta ya afya—tulioripoti kazini Januari 2026 katika Manispaa ya Singida Mjini na Wilaya ya Mkalama.
Mimi ni Tabibu Msaidizi Daraja la Kwanza. Tulitarajia kulipwa fedha za kujikimu...
Habari, tunaomba msaada wa kutupazia sauti juu ya changamoto kubwa tunazokumbana nazo sisi watumishi katika Wilaya ya Hai.
Mimi ni Afisa Mtendaji niliyeajiriwa mwaka 2024 katika Wilaya ya Hai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.