Sisi ni vijana tunaofanya kazi za vibarua katika sekta binafsi zinazohusika na sekta ya uchukuzi, tunajulikana kwa jina maarufu kama Makuli au wabeba mizigo viwandani na ma-godwn/tunabeba mizigo...
Wakazi wa Sinza Madukani wanakabiliwa na kero kutokana na kuchelewa kukamilika kwa ujenzi wa barabara ya kutoka Sinza Madukani kwenda Namnaan Hotel, baada ya barabara hiyo kuchimbwa na kuachwa...
Kwa kawaida Serikali huajiri kwa bajeti, kwanini wanashindwa kulipa fedha hizo kwa wakati ikiwa huweka bajeti ya ajira na kutenga fedha za malipo ya kujikimu kwa mwaka husika wa kifedha kulingana...
MCHANGO WA MAONI KUHUSU MATANGAZO YA KIDIGITALI NA MATUMIZI YA DATA KWA MTUMIAJI
Kwa heshima kubwa, ninaomba mamlaka zinazohusika na mawasiliano nchini, hususan TCRA, kuangalia uwezekano wa...
Kutofanyiwa ufumbuzi wa tatizo la kujaa maji katika njia ya Vianzi kutoka Vikindu Hospitali kuelekea Masister inaleta shida sana kwa watu kupita.
Hii ndiyo njia pekee inayotumiwa na wanafunzi wa...
Hii ni njia ya Vijibweni Kigamboni, kero hii kabla ya uchaguzi na baada ya uchaguzi, mpaka sasa hatujapata utatuzi, mvua ikinyesha huwezi subiri chombo cha usafiri wa umma hapo, unasimama upande...
Mimi ni mkazi wa Tabata Chang’ombe. Naomba kuwasilisha kero yangu hii mtusaidie kupaza sauti.
Kwanini Halmashauri ya Jiji wanatoza ushuru wa stendi Tsh. 2000 kwa kila gari ilhali hakuna hiyo...
25.6% ya makato kwa Madereva wa Tax Mtandaoni ni kutunyonya sana, hali hiyo inatuumiza
Madereva wa Tax Mtandaoni tunanyonywa sana hasa Kampuni ya Bolt inakata kamisheni 25.6% katika kila safari...
Huku Arusha kata ya Lemara mtaa wa Kikwakwaru B tuna shida ya maji yapata mwezi mmoja sasa hatuna maji kabisa!
Tukapata taarifa kwamba kuna bomba limeharibika na linafanyiwa kazi lakini mpaka...
Sisi Walimu Ajira Mpya mwezi wa pili na watatu 2025 katika Wilaya ya Rorya mpaka sasa hatujadhibitishwa kazini, tukiuliza majibu hatupewi mazuri hatujui tatizo ni nini tunaomba ujumbe wetu ufike...
Afisa Utumishi katika Halmashauri ya Mji wa Mbinga, mkoani Ruvuma anatumia Madaraka yake vibaya:
Uhamishaji Watumishi Kinyume na Taratibu: Afisa huyo anahamisha watumishi wa umma bila kufuata...
Mimi ni mwanafunzi wa uchumi, ninachokiona ni kuwa ajira za uchumi zinatoka chache sana kwa serikalini, tunaomba serikali kupitia mamlaka zake husika hasahasa Sekretarieti ya Ajira kuweka ajira...
Kuna tatizo kubwa la upungufu na ukosefu wa maji kwa vitongoji kadhaa kwenye vijiji hivi viwili ambapo baadhi ya wananchi wanapata maji kwa mgao na wengine hawapati kabisa.
Mamlaka ya maji...
Mimi ni mwanafunzi niliyehitimu Chuo cha Uhasibu Arusha, tangu mwaka 2025 lakini mpaka sasa hivi baadhi yetu hatujapatiwa vyeti na vigezo vyote tumekidhi lakini kila tukienda chuoni hapo tumekuwa...
Mtumishi wa chuo cha SUA kampasi ya Solomon Mahalangu Patricia Benedicto office assistant idara ya sayansi ya viumbe hai amekuwa kero kwa watumishi wake kwa kuficha vocha za madeni. Anawatishia...
Bodi ya Mikopo (HESLB) wametoa nafasi za ajira za mkataba lakini wameweka kigezo cha umri, yaani ambao wanaruhusiwa kuomba ni graduates kuanzia Mwaka 2020-2026.
Kero yangu ni kwamba tatizo la...
Hali ya barabara katika mitaa yetu ya TABATA (NSSF) sasa imefika hatua ambayo si kero tena, bali ni janga la miundombinu linalohatarisha usalama, afya, na uchumi wa kila mkazi. Kama picha...
Miezi mitatu imepita watumishi hawajalipwa posho zao na hakuna taarifa yeyote juu yao, zaidi kuna matumizi mabaya ya makusanyo ya fedha mbalimbali zinazosababisha watumishi wasilipwe posho zao...
Kero yangu ni Askari wa Usalama Barabarani maeneo ya Magari Saba Mbezi Luis hawafanyi kazi yao ipasavyo
1. Maskari wanajazana hapo Magari Saba Mbezi Luis halafu hamna bango la speed 50...ina...
Mamlaka ya Maji Iringa IRUWASA inakatia wateja maji hadi wanaodaiwa bili ya shilingi elfu moja kwa mwezi mmoja na kuwalazimu kulipa garama za kurudisha maji elfu 15.
Wanafanya hivyo ili mamlaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.