KERO Threads

Anonymous
KERO 
Kitengo Kitengo cha Ukusanyaji wa Mapato Manispaa ya Ubungo kinanyanyasa wafanyabiashara, kinalazimisha wanafanyabisha kufunga biashara na kuondoka nao jambo ambalo limeshakatazwa na Serikali...
0 Reactions
0 Replies
81 Views
Anonymous
KERO 
Mi ni mtumishi katika Wilaya ya Misungwi Mwanza, Idara ya Afya. Novemba 2024 tuliajiriwa watumishi 22 hapo, mpaka sasa tuna mwaka na miezi sita hawajatuthibitisha kazini wote 22. Tukiwauliza...
0 Reactions
1 Replies
101 Views
Anonymous (f836)
KERO 
Kuna shule mpya ya Serikali Mkoani Kagera, Halmashauri ya Bukoba Vijijini inaitwa Rubafu Secondary School ipo Kata Rubafu. Ilifunguliwa ili kuwapunguzia mwendo Wanafunzi wanaotokea Vijiji vya...
2 Reactions
12 Replies
325 Views
Anonymous
KERO 
Sisi wakazi wa kata ya Kimala Wilaya ya Kilolo Mkoa wa Iringa tumekuwa na kero ya Barabara ya kuingia kwenye kata yetu. kata hii ina vijiji 4 ambavyo havina Barabara za uhakika za kupita mwaka...
2 Reactions
3 Replies
191 Views
Anonymous
KERO Responded 
Mimi ni mkazi wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, kero yangu ni kuhusu watu wanaojiita Maafisa kutoka Halmashauri ya Wilaya, wanakuja Vijijini kudai leseni na wakikuta hauna bila kujali unauza...
0 Reactions
9 Replies
221 Views
Kuna jamaa yangu kanipa mkasa wake kilichomkuta Nssf alipoenda kufuatilia mafao yake. Nimeona niilete humu; Jamaa anasema miezi kadhaa huko nyuma alienda Nssf kwenda kufuatilia madai yake...
4 Reactions
13 Replies
429 Views
Anonymous (ad13)
KERO 
Shule ya Msingi MIEMBENI ipo Kijiji cha MIEMBENI, Kata ya Kitanda Halmashauri ya Mbinga Mji, hali halisi ni kuwa haishawishi kabisa suala zima la kufundisha wala kujifunzia. Madarasa hayana...
2 Reactions
4 Replies
152 Views
Mawele
KERO Responded 
Wakazi wa Kimanga, Dar es Salaam, wataanza kukumbana na adha ya usafiri kuanzia kesho baada ya wamiliki wa daladala zinazotoa huduma katika barabara hiyo kutishia kuanza kugoma. Hatua hiyo...
0 Reactions
5 Replies
171 Views
Anonymous
KERO 
Idara ya Maji Mkoa wa Arusha wanatuma bili za maji hata kama hujatumia hayo maji, niko nje ya mkoa kikazi, mimi pamoja na familia yangu ndani ya miaka miwili lakini kila mwezi napokea bili ya maji...
1 Reactions
2 Replies
73 Views
Anonymous
KERO 
Hii ni Kigamboni, barabara inaunganisha eneo la Kona ya Chuo na Mwasonga, hilo daraja haliishi maji, yakijaa hapo Watoto hawaendi shule wiki ya tatu sasa. Yaani ukitaka kwenda Cheka boda...
1 Reactions
0 Replies
71 Views
Anonymous
KERO 
Kuna kampuni inaitwa Epvate & Fortune International Consulting Ltd wajiriwa wake katika mgodi wa Barrick Bullyaghulu kupitia Kampuni ya Contractor BLY hawachangii michango ya Wafanyakazi ya NSSF...
1 Reactions
0 Replies
68 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni Mtumishi katika halmashauri ya Kibondo. Khero yangu kubwa ni Makato yanayokatwa na Chama cha wafanyakazi TALGWU, ambayo kwa kila mwezi ninakatwa 17,660/= Ila ni miaka zaidi ya 2 imepita...
1 Reactions
4 Replies
151 Views
Anonymous (2cd6)
KERO 
Leo Nimeshangaa Sana Nilipofika Stendi Tajwa Baadaya Mgeni Wangu Kumkatia Ticket Ya Basi Kuelekea Nyanda Za Juu Kusini. Nilipofika Mgeni Aingie Stendi Naambiwa Pamoja Na Kukata Ticket Hawezi...
10 Reactions
29 Replies
528 Views
Kwa wale tunaofanya kazi chini ya TAMISEMI kwakweli hii wizara inachosha yaani mtu unahama miaka miwili ila mshahara bado upo huko ulikotoka,unaanza kumbembeleza mkuu wa huko ulikotoka apitishe...
4 Reactions
11 Replies
254 Views
Anonymous
KERO Responded 
Habari za muda naomba utusaidie kupasa sauti kwa kweli Halmashauri yetu ya Chato hawajatutendea haki sisi walimu wa sekondari tulioajiriwa Mwaka 2025. Walitupa fedha za kujikimu shilingi laki...
1 Reactions
9 Replies
356 Views
Anonymous
KERO 
Wakazi wa Sinza Kumekucha, Sinza Makaburini, Sinza Kijiweni na Sinza Mawasiliano tunateseka kwa kelele za baa ya Amell iliyopo kwenye jengo la PSSSF Sam Nujoma. Ile baa siku ya Ijumaa na...
4 Reactions
48 Replies
710 Views
Anonymous (396c)
KERO 
Habarini wakubwa. Kulingana na mnyumbulisho wa kodi na tozo za mafuta yanayoingia nchini, bado namuona TASAC anachukua Tsh 3/= kwa kila lita kwa kazi ipi hasa? ..Kumbuka TASAC alipewa majukumu...
8 Reactions
20 Replies
421 Views
Anonymous
KERO 
Kuna kiwanda cha kinaitwa Global Aluminium Ltd kipo Kibaha Zogowale, Wachina wanaamrisha mfanyakazi aende kazini kila siku hakuna sikukuu wala weekend. Kama hutaenda unafukuzwa kazi, mikatabao ya...
4 Reactions
26 Replies
419 Views
Anonymous
KERO Responded 
Sisi tuliokuwa wafanyakazi wa muda mrefu katika Hospitali ya JKCI-Dar Group (zamani ikijulikana kama Dar Group) tumejikuta katika hali ya sintofahamu kufuatia uamuzi wa mwajiri wetu kusitisha...
2 Reactions
0 Replies
285 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mkazi wa Mtaa wa Magogoni Wilaya ya Kigamboni, mtaa wetu umekuwa na changamoto za kuwa na bandari kavu karibu na makazi ya watu katika njia zinazoingia mtaani kwetu. Mojawapo imekuwa...
0 Reactions
1 Replies
202 Views
Back
Top Bottom