Taa za barabarani karibu na Cafe ya College of Humanities katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) zimekuwa hazifanyi kazi kwa takriban miaka miwili sasa.
Eneo hilo ni muhimu kwa Wanafunzi wanaokwenda...
Ni jambo la kusikitisha na linalokatisha tamaa kuona kuwa ofisi yetu imeamua kupunguza kwa kiwango kikubwa ubora wa huduma za bima ya afya kwa wafanyakazi, bila kuzingatia athari zake kwa afya na...
Viongozi wa kijiji cha Mlimba 'B' katika Halmashauri ya Mlimba wamekuwa kero kwa wananchi kwani wamekuwa wakitoza faini ya Tsh. 10,000/= kwa kila mwananchi asipohudhuria kwenye mkutano wa serikali...
Hakuna wanachokifanya huduma MBOVU Kwa wananchi, rushwa, wizi na utapeli vimetamalaki
Yapata miezi sita Sasa wananchi walotuma maombi ya passport na wanao omba passport wanaambiwa mfumo...
Wilaya ya Mlee Mkoani Katavi tunadai fedha za Uchaguzi, Waziri Mkuu alipokuja viongozi wakatuziba mdomo msiongee, tutawalipa, hadi leo imekuwa danadana Mkurugenzi hataki kutulipa sisi mgambo na...
Shule yetu ya Mkondogwa Primary School iliyopo Kata ya Chamazi Wilaya ya Temeke, Mkuu wa Shule anatutoza rushwa sana, tukihamishia watoto wetu pale anatutoza hadi shilingi laki moja kwa madai ni...
Mnamo mwaka jana 2025 mwanzoni, serikali ilitangaza kuboresha barabara ya Kinondoni kuanzia Wakulima Road (usalama) mpaka Mtaa wa Binti Matola (mtaa opposite na mwembe jini, unaoenda mpaka V Ways)...
Kwa ufupi,
Sijui mipango ya hii miji inapangwa vipi. Kipindi serikali inafanya juhudi kutanua Morogoro road moja ya sababu kuu ilikuwa ni kuzidiwa kwa wingi wa magari.
Hivi nani aliamua mabasi...
Mfumo mpya wa Registration kwa Madaktari, Medical Council of Tanganyika (MCT) uliobadilishwa hivi karibuni unaitwa HPRS (Health Practitioner Registration System) una changamoto nyingi ambazo...
Sisi ni vijana tunaofanya kazi za vibarua katika sekta binafsi zinazohusika na sekta ya uchukuzi, tunajulikana kwa jina maarufu kama Makuli au wabeba mizigo viwandani na ma-godwn/tunabeba mizigo...
Wakazi wa Sinza Madukani wanakabiliwa na kero kutokana na kuchelewa kukamilika kwa ujenzi wa barabara ya kutoka Sinza Madukani kwenda Namnaan Hotel, baada ya barabara hiyo kuchimbwa na kuachwa...
Kwa kawaida Serikali huajiri kwa bajeti, kwanini wanashindwa kulipa fedha hizo kwa wakati ikiwa huweka bajeti ya ajira na kutenga fedha za malipo ya kujikimu kwa mwaka husika wa kifedha kulingana...
MCHANGO WA MAONI KUHUSU MATANGAZO YA KIDIGITALI NA MATUMIZI YA DATA KWA MTUMIAJI
Kwa heshima kubwa, ninaomba mamlaka zinazohusika na mawasiliano nchini, hususan TCRA, kuangalia uwezekano wa...
Kutofanyiwa ufumbuzi wa tatizo la kujaa maji katika njia ya Vianzi kutoka Vikindu Hospitali kuelekea Masister inaleta shida sana kwa watu kupita.
Hii ndiyo njia pekee inayotumiwa na wanafunzi wa...
Hii ni njia ya Vijibweni Kigamboni, kero hii kabla ya uchaguzi na baada ya uchaguzi, mpaka sasa hatujapata utatuzi, mvua ikinyesha huwezi subiri chombo cha usafiri wa umma hapo, unasimama upande...
Mimi ni mkazi wa Tabata Chang’ombe. Naomba kuwasilisha kero yangu hii mtusaidie kupaza sauti.
Kwanini Halmashauri ya Jiji wanatoza ushuru wa stendi Tsh. 2000 kwa kila gari ilhali hakuna hiyo...
25.6% ya makato kwa Madereva wa Tax Mtandaoni ni kutunyonya sana, hali hiyo inatuumiza
Madereva wa Tax Mtandaoni tunanyonywa sana hasa Kampuni ya Bolt inakata kamisheni 25.6% katika kila safari...
Huku Arusha kata ya Lemara mtaa wa Kikwakwaru B tuna shida ya maji yapata mwezi mmoja sasa hatuna maji kabisa!
Tukapata taarifa kwamba kuna bomba limeharibika na linafanyiwa kazi lakini mpaka...
Sisi Walimu Ajira Mpya mwezi wa pili na watatu 2025 katika Wilaya ya Rorya mpaka sasa hatujadhibitishwa kazini, tukiuliza majibu hatupewi mazuri hatujui tatizo ni nini tunaomba ujumbe wetu ufike...
Afisa Utumishi katika Halmashauri ya Mji wa Mbinga, mkoani Ruvuma anatumia Madaraka yake vibaya:
Uhamishaji Watumishi Kinyume na Taratibu: Afisa huyo anahamisha watumishi wa umma bila kufuata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.