Mkoa wa mbeya maeneo ya barabara za VETA na Isyesye taa za barabarani hazifanyi kazi kulinganisha na miaka ya nyuma ambako zilikuwa zikifanya kazi vizuri. Nime tuma za barabara ya ilomba kwenda...
Watumishi tulioajiriwa mwezi Novemba mwaka 2024 katika Halmashauri ya Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga, bado hatujalipwa stahiki zetu za fedha za kujikimu hadi leo.
Baada ya kufuatilia suala hili...
Wahandisi na wahitimu wa uhandisi nchini Tanzania tunaendelea kuwa na wasiwasi mkubwa kuhusu hali ya taaluma ya uhandisi na namna inavyosimamiwa. Pamoja na kuwepo kwa Bodi ya Wahandisi Tanzania...
Watumishi wa ajira mpya wa kada ya afya katika Halmashauri ya Mkalama wamepewa fedha za kujikimu, lakini sisi walimu wa ajira mpya hadi sasa hatujapokea hata shilingi moja.
Hali hii inakatisha...
Habar za wakati huu.!Mimi ni mdau na mwananchi na mtumishi katika taasisi ya serekali kero yangu ni moja hasa katika Wilaya ya Handeni katika Halmashauri ya Mkata(handeni)Watumishi wa hapa...
Mimi ni mkazi wa Mtaa wa Kambarage, Manispaa ya Shinyanga. Ninaomba kufikisha kilio chetu kuhusu hali mbaya ya usafi ambayo imekuwa ikitusumbua kwa muda sasa kutokana na mrundikano wa taka...
LISTRAM GROUP OF COMPANIES, CASHEW NUT BOARD OF TANZANIA (CBT) NA AGRICULTURAL MARKETING COOPERATIVE SOCIETY (AMCOS) WALIPENI WAKULIMA PESA ZAO, ACHENI DANADANA.
Bado sintofahamu inaendelea...
Habari wanajukwaa.
Kwa mujibu wa muongozo wa serikali wa uhamisho wa kawaida kwa watumishi wa serikali ni kwamba mamlaka yoyote inayotaka kuhamisha mtumishi ni lazima ijiridhishe kwanza ina fungu...
Walimu wa Sekondari wa Halmashauri ya Nanyumbu, Mtwara tuliohamishiwa kwenye Shule Mpya na Shule za Advanced Mwaka 2024 (mfano: Mkapa Girls, Rukumbi, Nangomba na Nanyumbu) hatujamaliziwa malipo ya...
Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu, Wilaya ya Kahama, tumekuwa tukikumbana na changamoto ya kubadilishiwa vituo vya kazi bila kufuata taratibu stahiki. Aidha, watumishi wanaohamishwa hawapewi...
Kuna changamoto katika Nanyumbu District Council inayohusu ucheleweshaji wa malipo ya gharama za uhamisho kwa watumishi, hususan walimu wa sekondari. Hali hii imekuwa ikileta usumbufu mkubwa kwa...
Watumishi wa afya Babati tunahamishwa sana tena kwa kushtukizwa lakini hatupewi stahiki zetu za uhamisho, inatakiwa ulipwe ndio uhamishwe kwenda kituo kingine lakini tunashinikizwa kuhamishwa na...
Habari! Naomba kuwasilisha kero hii.
Mimi pamoja na wataalamu wenzangu wa maabara tulifanya mtihani wa leseni tangu mwezi wa tatu (March) mwaka huu lakini hadi hivi sasa matokea hayajatoka hali...
Napenda kuwasilisha changamoto ambayo imekuwa ikiwakabili baadhi ya watumishi wa umma wanaotafuta uhamisho kutoka taasisi moja kwenda nyingine kwa kufuata taratibu zilizowekwa.
Katika hali yangu...
Shimo kubwa lililopo katikati ya barabara eneo la Shekilango mara tu baada ya tuta, limeendelea kuhatarisha usalama wa watumiaji wa barabara. Kutokana na ukubwa wake madereva hulazimika kulikwepa...
Habari ,naomba kufichua uovu kuhusu Bar inayoitwa G Seven iliyopo mkoani Mwanza sehemu inaitwa Darajani Kata ya mkolani ,
Bar hiyo imekuwa ikipiga muziki usiku kucha Kwa sauti ya juu Jambo...
Ofisi ya RAS Mkoa wa Mara inakaa na maombi ya uhamisho ya watumishi zaidi ya wiki mbili sasa bila kuyapitisha kwenye mfumo wa ESS.
maombi yangu ya uhamisho toka tarehe 1/6/2026 hadi leo bado...
Wahusika wa huduma ya ttcl faiba hamtendi haki. Toka Jumapili Asubuhi hakuna huduma maeneo ya Chang'ombe maduka mawili. Inafikirisha sana. Labda mnataka wateja wahamie kwa kampuni zingine. Hili...
Nimeshangaa sana hapa Dodoma kuna barabara nimepita ina mashimo mengi sana makubwa kama mahandaki katikati ya barabara na pembezoni ambayo hayajafunikwa!
Hii ni hatari sana kwa vyombo vya usafiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.