KERO Threads

Anonymous
KERO 
Mkoa wa mbeya maeneo ya barabara za VETA na Isyesye taa za barabarani hazifanyi kazi kulinganisha na miaka ya nyuma ambako zilikuwa zikifanya kazi vizuri. Nime tuma za barabara ya ilomba kwenda...
0 Reactions
0 Replies
45 Views
Anonymous
KERO 
Watumishi tulioajiriwa mwezi Novemba mwaka 2024 katika Halmashauri ya Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga, bado hatujalipwa stahiki zetu za fedha za kujikimu hadi leo. Baada ya kufuatilia suala hili...
0 Reactions
0 Replies
48 Views
Anonymous
KERO 
Wahandisi na wahitimu wa uhandisi nchini Tanzania tunaendelea kuwa na wasiwasi mkubwa kuhusu hali ya taaluma ya uhandisi na namna inavyosimamiwa. Pamoja na kuwepo kwa Bodi ya Wahandisi Tanzania...
2 Reactions
0 Replies
54 Views
Anonymous
KERO 
Watumishi wa ajira mpya wa kada ya afya katika Halmashauri ya Mkalama wamepewa fedha za kujikimu, lakini sisi walimu wa ajira mpya hadi sasa hatujapokea hata shilingi moja. Hali hii inakatisha...
0 Reactions
3 Replies
110 Views
Anonymous
KERO 
Habar za wakati huu.!Mimi ni mdau na mwananchi na mtumishi katika taasisi ya serekali kero yangu ni moja hasa katika Wilaya ya Handeni katika Halmashauri ya Mkata(handeni)Watumishi wa hapa...
0 Reactions
5 Replies
135 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mkazi wa Mtaa wa Kambarage, Manispaa ya Shinyanga. Ninaomba kufikisha kilio chetu kuhusu hali mbaya ya usafi ambayo imekuwa ikitusumbua kwa muda sasa kutokana na mrundikano wa taka...
0 Reactions
1 Replies
91 Views
Anonymous
KERO 
LISTRAM GROUP OF COMPANIES, CASHEW NUT BOARD OF TANZANIA (CBT) NA AGRICULTURAL MARKETING COOPERATIVE SOCIETY (AMCOS) WALIPENI WAKULIMA PESA ZAO, ACHENI DANADANA. Bado sintofahamu inaendelea...
3 Reactions
10 Replies
179 Views
Habari wanajukwaa. Kwa mujibu wa muongozo wa serikali wa uhamisho wa kawaida kwa watumishi wa serikali ni kwamba mamlaka yoyote inayotaka kuhamisha mtumishi ni lazima ijiridhishe kwanza ina fungu...
1 Reactions
1 Replies
233 Views
Anonymous
KERO 
Walimu wa Sekondari wa Halmashauri ya Nanyumbu, Mtwara tuliohamishiwa kwenye Shule Mpya na Shule za Advanced Mwaka 2024 (mfano: Mkapa Girls, Rukumbi, Nangomba na Nanyumbu) hatujamaliziwa malipo ya...
0 Reactions
1 Replies
112 Views
Anonymous
KERO 
Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu, Wilaya ya Kahama, tumekuwa tukikumbana na changamoto ya kubadilishiwa vituo vya kazi bila kufuata taratibu stahiki. Aidha, watumishi wanaohamishwa hawapewi...
2 Reactions
3 Replies
123 Views
Anonymous
KERO 
Kuna changamoto katika Nanyumbu District Council inayohusu ucheleweshaji wa malipo ya gharama za uhamisho kwa watumishi, hususan walimu wa sekondari. Hali hii imekuwa ikileta usumbufu mkubwa kwa...
0 Reactions
1 Replies
165 Views
Anonymous
KERO 
Watumishi wa afya Babati tunahamishwa sana tena kwa kushtukizwa lakini hatupewi stahiki zetu za uhamisho, inatakiwa ulipwe ndio uhamishwe kwenda kituo kingine lakini tunashinikizwa kuhamishwa na...
3 Reactions
15 Replies
427 Views
Anonymous
KERO 
Habari! Naomba kuwasilisha kero hii. Mimi pamoja na wataalamu wenzangu wa maabara tulifanya mtihani wa leseni tangu mwezi wa tatu (March) mwaka huu lakini hadi hivi sasa matokea hayajatoka hali...
0 Reactions
4 Replies
144 Views
Anonymous
KERO 
Napenda kuwasilisha changamoto ambayo imekuwa ikiwakabili baadhi ya watumishi wa umma wanaotafuta uhamisho kutoka taasisi moja kwenda nyingine kwa kufuata taratibu zilizowekwa. Katika hali yangu...
3 Reactions
4 Replies
506 Views
Shimo kubwa lililopo katikati ya barabara eneo la Shekilango mara tu baada ya tuta, limeendelea kuhatarisha usalama wa watumiaji wa barabara. Kutokana na ukubwa wake madereva hulazimika kulikwepa...
1 Reactions
9 Replies
192 Views
Habari ,naomba kufichua uovu kuhusu Bar inayoitwa G Seven iliyopo mkoani Mwanza sehemu inaitwa Darajani Kata ya mkolani , Bar hiyo imekuwa ikipiga muziki usiku kucha Kwa sauti ya juu Jambo...
0 Reactions
0 Replies
65 Views
Anonymous
KERO 
Ofisi ya RAS Mkoa wa Mara inakaa na maombi ya uhamisho ya watumishi zaidi ya wiki mbili sasa bila kuyapitisha kwenye mfumo wa ESS. maombi yangu ya uhamisho toka tarehe 1/6/2026 hadi leo bado...
1 Reactions
6 Replies
274 Views
Wahusika wa huduma ya ttcl faiba hamtendi haki. Toka Jumapili Asubuhi hakuna huduma maeneo ya Chang'ombe maduka mawili. Inafikirisha sana. Labda mnataka wateja wahamie kwa kampuni zingine. Hili...
0 Reactions
0 Replies
58 Views
Nimeshangaa sana hapa Dodoma kuna barabara nimepita ina mashimo mengi sana makubwa kama mahandaki katikati ya barabara na pembezoni ambayo hayajafunikwa! Hii ni hatari sana kwa vyombo vya usafiri...
1 Reactions
5 Replies
106 Views
Back
Top Bottom