KERO Threads

Anonymous (c258)
KERO 
Habari JamiiForums. Poleni kwa majukumu mnayoyafanya ya kufichua changamoto zilizopo katika jamii na mamlaka husika kuzifanyia kazi changamoto hizo. Kero yangu ni kwamba, sisi wakazi wa Goba...
0 Reactions
0 Replies
75 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mtumishi wa afya Serikali za Mitaa, naomba kujua makato ya Pay As You Earn (PAYE) ni kwa ajili ya nini? Naomba wizara husika iliangalie hili kwani linatesa walio chini tu.
0 Reactions
4 Replies
155 Views
Anonymous (22da)
KERO 
Habari, Napenda kuwapongeza kuwa sauti yetu wananchi Mungu akubariki sana. Samahani naomba utupazie sauti wanafunzi wa postgraduate UDOM tunanyanyasikaaa, mtu ameshamaliza utafiti wake...
1 Reactions
3 Replies
103 Views
Anonymous (3641)
KERO 
Serikali ilitangaza ajira nikatuma maombi Ajira Portal, nikaitwa kwenye interview ya kuandika nikafaulu nikaitwa usahili wa mdomo. Kulingana na mfumo wa Ajira Portal walikuwa wameandika usahili...
1 Reactions
4 Replies
228 Views
Anonymous (f266)
KERO 
Kuna hii route ya Chamazi kwa Mapunda kuja Mbagala, hizi dalala zimeongeza nauli kutoka mia sita mpaka mia nane na haizidi kilometa hata nane kwa umbali huu. Licha ya SUMATRA kutaja bei elekezi...
0 Reactions
1 Replies
57 Views
Anonymous
KERO 
WALIMU 17 WATISHIWA KUFUNGULIWA MASHITAKA KWA KUTAKA KUHAMA CHAMA CHA WALIMU WILAYANI MAKETE, MKOANI NJOMBE Makete – Wakati haki ya kujiunga na kujiondoa kwenye vyama vya wafanyakazi ikiwa...
0 Reactions
0 Replies
79 Views
Anonymous
KERO 
WATUMISHI WA AJIRA MPYA AFYA RUANGWA HAWAJAPEWA STAHIKI ZAO, NI VITISHO TU – KUNA NINI? Kuna taarifa zinazoibua wasiwasi mkubwa kuhusu hali ya watumishi wapya wa sekta ya afya katika Halmashauri...
0 Reactions
4 Replies
122 Views
Anonymous
KERO 
Habarini wanaJF, Mimi ni mfanyakazi katika jiji hili la Arusha,ninaishi maeneo ya sakina silent inn huku kazi nafanyia Sanawari. Hapo kabla hata ya mamlaka zinazohusika (LATRA)kupandisha...
0 Reactions
1 Replies
95 Views
Anonymous
KERO 
Kutokea Kibondo, naomba ufafanuzi kwenye shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Je! Ni kwanini sisi Watumishi wa Serikali tunaoishi nyumba za Serikali, vijijini tumeunganishiwa kwenye system ya...
2 Reactions
3 Replies
131 Views
Anonymous
KERO 
Ni zaidi ya wiki mbili Sasa wakazi wa Utemini, Maendeleo, Relini na Maduka Matatu hatuna maji na hakuna taarifa yeyote kutoka MWAUWASA wanatutesa na bili zinakuja kawaida. Katibu wa wizara ya...
0 Reactions
0 Replies
56 Views
Anonymous (ca61)
KERO 
Kero yangu naipeleka kwenye Taasisi ya OSHA - inayoshughulikia usalama katika eneo la kazi, niliomba training tangu mwezi wa 10 Mwaka 2025 na nikalipa ada ya Sh 300,000 kwa ajili ya training...
3 Reactions
6 Replies
212 Views
Anonymous
KERO 
Kwa kipindi cha Wiki 3 sasa Kumekuwa hatupati Huduma ya maji tulipiga simu kwa Dawasa namba ya huduma kwa wateja wanapokea na kusema watatuma mafundi imeishia hapo tukimpigia Meneja amekuwa...
1 Reactions
3 Replies
103 Views
Anonymous
KERO 
Mganga mkuu wa wilaya anaharibu idara ya afya na kamati ya afya mkoa wanafahamu. Mkurugenzi anafahamu. Anawasimamisha kazi watumishi bila kufuata utaratibu na bila mkurugenzi kujua...
0 Reactions
1 Replies
236 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mdau kutoka chanika Buyuni-Dar es salaam. Sasa kuna utaratibu wa viongozi wanaohudumu ktk ofisi za serikali ya mtaa wa Taliani kata ya Buyuni kuwaomba michango(fedha) wananchi wanapoenda...
0 Reactions
0 Replies
91 Views
Anonymous (cfc9)
KERO Responded 
Mzee wangu ni mkulima wa miwa Wilayani Missenyi hapa Mkoani Kagera, moja ya jambo ambalo linanifanya niandike hapa ni kwa kuwa tunapoelekea nitamuona baba yangu anaanza kuwa chizi au kuongea peke...
0 Reactions
1 Replies
166 Views
‎Kero na changamoto yetu kubwa ni kuhusu Barabara ya Muheza - pangani ( Pangani - Muheza ) ..... ‎ ‎Hiii ni Barabara ambayo ni kubwa sana inayotumika , kupita viongozi wa serikali kuanzia Rais ...
0 Reactions
1 Replies
99 Views
Nimekua nikileta kero ya DAWASCO hapa mitaa ya Kimara Suka kutokupata Maji sawa wiki hii sijapost kabisa na hawajafungua. Sasa hawa jamaa watakua wanafanya haya mpaka LINI ? Kimara imewakosea ?
3 Reactions
7 Replies
104 Views
Just Pray
KERO Responded 
Hapa ni Arusha mataa ya Sakina Triple A / Arusha technical, Ni zaidi ya miezi minne taa hazifanyi kazi. Tunaomba jiji lishughulikie hili tatizo. Majibu ya Mamlaka ~ TANROADS: Taa za eneo la...
0 Reactions
0 Replies
121 Views
Unaponunua umeme unakatwa Kodi ya Ongezeko la Thamani ambayo ni Asilimia 18 ya pesa uliyotoa, kisha TANESCO wanakukata 1% wanasema ni hela ya EWURA, baada ya hapo . TENA unakatwa 3% eti pesa ya...
10 Reactions
18 Replies
797 Views
Anonymous
KERO 
Pale Kibiti Boys Secondary School Mwalimu Mkuu na baadhi ya Walimu wao fimbo imekuwa ni njia ya malezi, hili suala imekuwa too much. Kuna muda Wazazi na Walezi wa Wanafunzi wanaosoma hapo walitoa...
2 Reactions
7 Replies
214 Views
Back
Top Bottom