KERO Simiyu Itilima DC, tukihoji Fedha za Kujikimu tunaonekana Watovu wa Nidhamu

KERO Simiyu Itilima DC, tukihoji Fedha za Kujikimu tunaonekana Watovu wa Nidhamu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Ajira Mpya 2025 Simiyu Itilima DC hatujalipwa pesa za kujikimu mwaka sasa, tukiuliza tunaambiwa tupo kwenye mpango na kuonekana watovu wa nidhamu kama vile sio stahiki zetu.
 
Kwa hio mmechukua hatua gani?

Halafu hii fichua maovu inabidi utililike nondo za kutosha sio unatuandikia mstari mmoja we vipi?
 
Nyie walimu ndo hushirikiana na policcm na Tume "Huru" ya Uchaguzi kuiba uchaguzi kwa ajili ya mafisadi dhidi ya matakwa ya umma.

Wacha DC awanyooshe kidogo
 
Back
Top Bottom