KERO Threads

Anonymous (0c95)
KERO 
Mimi ni Mtumishi nipo Kada ya Afya Mkoani Tabora, nimeajiriwa tangu Mwaka 2024, changamoto ipo Kada ya Ualimu na Afya intake moja Barua za uthibitisho imekuwa kero lakini mikoa mingine...
0 Reactions
0 Replies
82 Views
Anonymous
KERO 
Written interview za online ni unfair kwa sababu mifumo ya mitihani ya online huwa inaleta matokeo moja kwa moja punde tu unapomaliza kujibu mtihani, kwanini mfumo wa Utumishi haujatengenezwa...
4 Reactions
12 Replies
485 Views
Anonymous (c258)
KERO 
Malalamiko yangu kwa vyombo vinavyohusika na usalama wa mitandao nchini hayajatokana na chuki, bali ni matokeo ya uchungu mkubwa ninaouona katika mwelekeo wa maadili ya jamii yetu. Kwa muda sasa...
0 Reactions
3 Replies
73 Views
Anonymous (c258)
KERO 
Nina siku ya pili napiga simu ya huduma kwa wateja NHIF na haipokelewi hii ni kero kubwa kwani kuwepo kwa huduma hii inatusaidia sisi kwenda kurundikana kwenye ofisi zao. Napiga namba...
0 Reactions
1 Replies
61 Views
Anonymous (c258)
KERO 
Habari JamiiForums. Poleni kwa majukumu mnayoyafanya ya kufichua changamoto zilizopo katika jamii na mamlaka husika kuzifanyia kazi changamoto hizo. Kero yangu ni kwamba, sisi wakazi wa Goba...
0 Reactions
0 Replies
70 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mtumishi wa afya Serikali za Mitaa, naomba kujua makato ya Pay As You Earn (PAYE) ni kwa ajili ya nini? Naomba wizara husika iliangalie hili kwani linatesa walio chini tu.
0 Reactions
4 Replies
148 Views
Anonymous (22da)
KERO 
Habari, Napenda kuwapongeza kuwa sauti yetu wananchi Mungu akubariki sana. Samahani naomba utupazie sauti wanafunzi wa postgraduate UDOM tunanyanyasikaaa, mtu ameshamaliza utafiti wake...
1 Reactions
3 Replies
100 Views
Anonymous (3641)
KERO 
Serikali ilitangaza ajira nikatuma maombi Ajira Portal, nikaitwa kwenye interview ya kuandika nikafaulu nikaitwa usahili wa mdomo. Kulingana na mfumo wa Ajira Portal walikuwa wameandika usahili...
1 Reactions
4 Replies
225 Views
Anonymous (f266)
KERO 
Kuna hii route ya Chamazi kwa Mapunda kuja Mbagala, hizi dalala zimeongeza nauli kutoka mia sita mpaka mia nane na haizidi kilometa hata nane kwa umbali huu. Licha ya SUMATRA kutaja bei elekezi...
0 Reactions
1 Replies
57 Views
Anonymous
KERO 
WALIMU 17 WATISHIWA KUFUNGULIWA MASHITAKA KWA KUTAKA KUHAMA CHAMA CHA WALIMU WILAYANI MAKETE, MKOANI NJOMBE Makete – Wakati haki ya kujiunga na kujiondoa kwenye vyama vya wafanyakazi ikiwa...
0 Reactions
0 Replies
78 Views
Anonymous
KERO 
WATUMISHI WA AJIRA MPYA AFYA RUANGWA HAWAJAPEWA STAHIKI ZAO, NI VITISHO TU – KUNA NINI? Kuna taarifa zinazoibua wasiwasi mkubwa kuhusu hali ya watumishi wapya wa sekta ya afya katika Halmashauri...
0 Reactions
4 Replies
121 Views
Anonymous
KERO 
Habarini wanaJF, Mimi ni mfanyakazi katika jiji hili la Arusha,ninaishi maeneo ya sakina silent inn huku kazi nafanyia Sanawari. Hapo kabla hata ya mamlaka zinazohusika (LATRA)kupandisha...
0 Reactions
1 Replies
89 Views
Anonymous
KERO 
Kutokea Kibondo, naomba ufafanuzi kwenye shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Je! Ni kwanini sisi Watumishi wa Serikali tunaoishi nyumba za Serikali, vijijini tumeunganishiwa kwenye system ya...
2 Reactions
3 Replies
126 Views
Anonymous
KERO 
Ni zaidi ya wiki mbili Sasa wakazi wa Utemini, Maendeleo, Relini na Maduka Matatu hatuna maji na hakuna taarifa yeyote kutoka MWAUWASA wanatutesa na bili zinakuja kawaida. Katibu wa wizara ya...
0 Reactions
0 Replies
53 Views
Anonymous (ca61)
KERO 
Kero yangu naipeleka kwenye Taasisi ya OSHA - inayoshughulikia usalama katika eneo la kazi, niliomba training tangu mwezi wa 10 Mwaka 2025 na nikalipa ada ya Sh 300,000 kwa ajili ya training...
3 Reactions
6 Replies
201 Views
Anonymous
KERO 
Kwa kipindi cha Wiki 3 sasa Kumekuwa hatupati Huduma ya maji tulipiga simu kwa Dawasa namba ya huduma kwa wateja wanapokea na kusema watatuma mafundi imeishia hapo tukimpigia Meneja amekuwa...
1 Reactions
3 Replies
96 Views
Anonymous
KERO 
Mganga mkuu wa wilaya anaharibu idara ya afya na kamati ya afya mkoa wanafahamu. Mkurugenzi anafahamu. Anawasimamisha kazi watumishi bila kufuata utaratibu na bila mkurugenzi kujua...
0 Reactions
1 Replies
235 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mdau kutoka chanika Buyuni-Dar es salaam. Sasa kuna utaratibu wa viongozi wanaohudumu ktk ofisi za serikali ya mtaa wa Taliani kata ya Buyuni kuwaomba michango(fedha) wananchi wanapoenda...
0 Reactions
0 Replies
87 Views
Anonymous (cfc9)
KERO Responded 
Mzee wangu ni mkulima wa miwa Wilayani Missenyi hapa Mkoani Kagera, moja ya jambo ambalo linanifanya niandike hapa ni kwa kuwa tunapoelekea nitamuona baba yangu anaanza kuwa chizi au kuongea peke...
0 Reactions
1 Replies
161 Views
‎Kero na changamoto yetu kubwa ni kuhusu Barabara ya Muheza - pangani ( Pangani - Muheza ) ..... ‎ ‎Hiii ni Barabara ambayo ni kubwa sana inayotumika , kupita viongozi wa serikali kuanzia Rais ...
0 Reactions
1 Replies
97 Views
Back
Top Bottom