Katika vijiji vya Kibande na Bweranka vinavyopatikana Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma, Wakala wa Nishati ya Umeme Vijijini alishakula pesa za Wananchi takribani miaka 3 iliyopita, baadhi ya nyumba...
Madereva Bajaj wa GEITA wanaonewa sana, kuna watu wanawakamata-kamata sana wakishusha abiria na kupakia kwenye taa za JOSHONI Nyankumbuuu sokoni Wilaya ya Geita Mjini tunaomba msaidie watu...
Nyamongo iko Tarime DC ni miongoni mwa maeneo ambayo Waziri Mkuu alitembelea lakini hatujaona mwenendo wa tatizo la maji maana wakija kusoma matumizi ya maji kwenye Mita wanaleta bili unawauliza...
Eneo la Salasala Kilimahewa Juu, Kata ya Wazo, Wilaya ya Kinondoni tunafikisha kilio chetu kuhusu changamoto kubwa ya upatikanaji wa maji ambayo imekuwa ikitusumbua kwa muda mrefu.
Tatizo hili...
TAMISEMI na Uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga, tunaomba mtupe ufafanuzi kuhusu fedha zetu za kujikimu. Kwa mujibu wa barua ya TAMISEMI ya tarehe 04/06/2026, Halmashauri zilitakiwa...
Vibarua wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni wanaomba msaada kutokana na kuchelewa kulipwa stahiki zao.
Hadi sasa, wamekaa miezi miwili bila kupokea malipo yao, huku wakidai hawajapewa...
Kuna unyanyasaji mkubwa na wa kutisha unaoendelea katika Wilaya ya Rorya dhidi ya wazee wetu wastaafu, hususan walimu waliolitumikia taifa hili kwa uaminifu. Kuna mtu mmoja anaitwa Adriano...
Wakazi wa kunda vijijini tunalazimika kuchota maji ziwani ambapo wanyama wananywea humo, watu wanafulia, kuogea na kuoshea vyombo ziwani.
Bado maji hayo hayo tunalazimika kutumia kwa kunywa na...
Ajira mpya ya Januari 2026 juu ya Halmashauri ya Monduli kutolipwa pesa za kujikimu ilihali serikali ishaleta na halmashauri zingine washapewa lakini sisi tunazungushwa kila siku mara tutume...
Nina dukudhuku kuhusu Idara ya Uhamiaji Kurasini hapa Dar es Salaam, Mtu unaomba Passport kwa ajili ya matembezi mfano kwenda Kenya wao wanataka bank statement, unaleta bank statement wanataka...
Bado nina malalamiko dhidi ya Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Mbeya. Kutokana na ucheleweshaji wa utoaji wa pasipoti, hatimaye nimeshindwa kufanya safari yangu iliyokuwa imepangwa kwa mwaka huu wa 2026...
Barabara ya kutoka Moshono Stand kuelekea Moshono Kati hadi Idara ya Maji, mkoani Arusha, imekuwa katika hali mbaya kwa muda mrefu bila kupatiwa ufumbuzi.
Wananchi wanaotumia barabara hiyo kila...
Mkoa wa mbeya maeneo ya barabara za VETA na Isyesye taa za barabarani hazifanyi kazi kulinganisha na miaka ya nyuma ambako zilikuwa zikifanya kazi vizuri. Nime tuma za barabara ya ilomba kwenda...
Watumishi tulioajiriwa mwezi Novemba mwaka 2024 katika Halmashauri ya Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga, bado hatujalipwa stahiki zetu za fedha za kujikimu hadi leo.
Baada ya kufuatilia suala hili...
Wahandisi na wahitimu wa uhandisi nchini Tanzania tunaendelea kuwa na wasiwasi mkubwa kuhusu hali ya taaluma ya uhandisi na namna inavyosimamiwa. Pamoja na kuwepo kwa Bodi ya Wahandisi Tanzania...
Watumishi wa ajira mpya wa kada ya afya katika Halmashauri ya Mkalama wamepewa fedha za kujikimu, lakini sisi walimu wa ajira mpya hadi sasa hatujapokea hata shilingi moja.
Hali hii inakatisha...
Habar za wakati huu.!Mimi ni mdau na mwananchi na mtumishi katika taasisi ya serekali kero yangu ni moja hasa katika Wilaya ya Handeni katika Halmashauri ya Mkata(handeni)Watumishi wa hapa...
Mimi ni mkazi wa Mtaa wa Kambarage, Manispaa ya Shinyanga. Ninaomba kufikisha kilio chetu kuhusu hali mbaya ya usafi ambayo imekuwa ikitusumbua kwa muda sasa kutokana na mrundikano wa taka...
LISTRAM GROUP OF COMPANIES, CASHEW NUT BOARD OF TANZANIA (CBT) NA AGRICULTURAL MARKETING COOPERATIVE SOCIETY (AMCOS) WALIPENI WAKULIMA PESA ZAO, ACHENI DANADANA.
Bado sintofahamu inaendelea...
Habari wanajukwaa.
Kwa mujibu wa muongozo wa serikali wa uhamisho wa kawaida kwa watumishi wa serikali ni kwamba mamlaka yoyote inayotaka kuhamisha mtumishi ni lazima ijiridhishe kwanza ina fungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.