DOKEZO Threads

informer 06
DOKEZO KERO 
Bodaboda tunapopeleka abiria SGR Asubuhi mara nyingi wanatukamata kisa tunashusha abiria nje ya eneo la jengo lao pale, wanatoa maelekezo kuwa wanataka tushushe ndani ya eneo la maegesho lililopo...
7 Reactions
38 Replies
2K Views
Naomba msaada nijue haki yangu naipata wapi. Mimi niliajiriwa katika kampun ya Tanzania Tooku Garments Company Limited na nimemaliza mkataba wangu kama ilivyo makubaliano ya mkataba ni wa muda...
1 Reactions
84 Replies
4K Views
Nimekuwa nikisikia tu jinsi watu mbalimbali wanavyowalalamikia staff wa TRA Tanzania lakini sasa nimepata kushuhudia mwenyewe maana nina miamala inayonilazimu niwepo mwenyewe huko TRA...
3 Reactions
30 Replies
1K Views
Mwalimu mkuu wa Daniel Ole Njoolay Secondary School Mwanza amewafukuza wanafunzi wa kidato cha nne na kuwachapa viboko vitano, akiwaambia wafuate Tsh 70,000 kila mmoja kama hela ya kambi. Kwani...
3 Reactions
83 Replies
3K Views
Anonymous
DOKEZO 
Tunataka usawa, kwa wanafunzi wote na siyo udanganyifu unaendlea kutendeka maamuzi yasiyo na usawa ikiwa wote tumestahili adhabu. Ni kivipi wachache watumikie adhabu na wengine kusamehewa pasipo...
0 Reactions
0 Replies
157 Views
zanz
DOKEZO Responded 
Napenda kutoa pongezi na shukhurani za dhati kwa idara ya kupambana na kuzuia rushwa Tanzania na mkoa wa Tabora (TAKUKURU). Naomba maafisa TAKUKURU Wilaya ya Uyui, Mkoa wa Tabora, muweze...
2 Reactions
1 Replies
535 Views
Tembelea, Kijiji Cha Itumbi, kilichopo kata ya Matundasi, Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya. Kuna wachina ambao ni wa Tanganyika na wanajiandaa kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025...
5 Reactions
14 Replies
946 Views
nzalendo
DOKEZO Responded 
Msumi ni Kilometer chache sana kutoka stendi ya mabasi ya Magufuli. Sasa cha ajabu ni kwamba Msumi ipo kama vile hata wakuu wa Mikoa waliopita hapo Dar na wasasa si ajabu hawajui iko upande gani...
27 Reactions
197 Replies
14K Views
MALLE JR
DOKEZO GE2025 
Mchakato wa uchujaji wa wagombea ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Moshi Vijijini umetawaliwa na tuhuma nzito za rushwa, upendeleo na ubabe wa viongozi, hali iliyopelekea sintofahamu...
0 Reactions
7 Replies
728 Views
Kuna Boti inasafirishwa kutoka Mtwara Kwenda Mwanza. Itatumia muda wa Mwezi mmoja au zaidi, kutumia barabara ni kutojali watumiaji wengine wa barabara. Kama umekutana nayo, hii Boti ni Kero sana...
27 Reactions
368 Replies
21K Views
Habari za leo kaka? Naomba utusaidie kupaza sauti ili haki iweze kutendeka. Mdogo wetu Enock Thomas Mhangwa (25), mkazi wa Runzewe, Geita, ameuawa kwa kupigwa na viongozi wa serikali ambao ni...
18 Reactions
168 Replies
7K Views
Anonymous
DOKEZO 
Habari!. Fikisha kwa jamii. Halmashauri ya wilaya ya Muleba imeamua kututapeli pesa zetu za kujikimu,tukiuliza tunapewa majibu ya kutoridhisha. Kwa Mujibu wa maelekezo ya Tamisemi ya Muongozo wa...
1 Reactions
5 Replies
716 Views
Ndugu zangu hili liwafikie maafisa mifugo kote nchini Yale masindano wanayotumia kuwachoma ng'ombe ni hatari sana kwa afya ya binadamu nimeshuhudia ng'ombe wanachomwa sindano mnadani saa chache...
25 Reactions
109 Replies
5K Views
Anonymous
DOKEZO 
Kama mdau wa utalii wanauza ndani sijawahi kuridhishwa wala kupatiwa majibu kuhusu inaitwa uwekezaji kwenye bandas za Mpanga Kipengere Game Reserve iliyopo Njombe. Nia ovu ilianza kipindi Mhe...
0 Reactions
1 Replies
502 Views
Kwa muda mrefu sasa, wafanyakazi wa kigeni waliokuwa wakifanya kazi katika mradi wa reli wa Yapi Merkezi hapa Tanzania hawajalipwa mishahara na mafao yao. Sababu kubwa ni kwamba Shirika la Reli...
0 Reactions
1 Replies
247 Views
Kuna wizi unafanywa na mawakala wanaokata gate pass za kukuruhusu wewe abiria kuingia kwenye stendi hiyo. Kawaida ukifika kituo hicho inabidii ukate gate pass yenye thamani ya Tsh 200, na unapewa...
1 Reactions
1 Replies
331 Views
Zipo tuhuma zinazolikabili kundi la muziki nchini linalopendwa na wakubwa pamoja na watoto na ndiyo kundi linalotumiwa hata kwenye kampeni za kisiasa. Kwenye kundi hili kuna watu wa ajabu...
23 Reactions
230 Replies
18K Views
STUKA M1
DOKEZO Responded 
Huu ni uhuni mkubwa unaofanywa either na PSSSF or Hazina kwa maana kwamba michango ya pesa zinazotakiwa kuingia PSSSF haionekani kabisa na hii inapelekea kupunguza kiasi cha pesa ambacho mtumishi...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Huu ndio mchakato wa kuomba mikopo ya halmashauri maarufu kama mikopo ya asilimia 10 huanzia ngazi ya kitongoji, kijiji au mtaa. Katika hatua hii ya mwanzo, kikundi cha watu wasiopungua watano...
2 Reactions
14 Replies
940 Views
Anonymous
DOKEZO 
Habari ndugu. Ningependa kufichua uovu wa rushwa unao endelea katika vituo vya ukaguzi wa mazao ya kilimo na mali asili vilivyopo njia ya kutoka Segera kuja Dar kupitia Bagamoyo. Wale mabwana...
3 Reactions
5 Replies
589 Views
Back
Top Bottom