DOKEZO Threads

Anonymous
DOKEZO 
Uongozi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) haifuatilii michango ya wanayokatwa Wafanyakazi kwenye kampuni, wanafanya kazi kwa mazoea au wanaziogopa baadhi ya taasisi. Hali hiyo...
0 Reactions
0 Replies
419 Views
Anonymous
DOKEZO 
Mimi ni dereva Bodaboda napatikana Kata ya Mbezi Msumi hapahapa Dar es Salaam, tulijichanga tukanunua eneo la ardhi katika Kijiji kinaitwa Zumba kipo Boko Mnemela, Kibaha Mkoani Pwani...
22 Reactions
73 Replies
7K Views
Anonymous
DOKEZO KERO 
Kuna huyu Askari Namba H 2223; Jina halikuweza kupatikana mara moja. Yupo pale Mnazi Mmoja Dar es Salaam kwenye mataa akiongoza magari. Taa za barabarani za kuongoza magari zina shida ya kuzimika...
0 Reactions
2 Replies
469 Views
Ni jambo la kusikitisha na la kushangaza kuona jinsi ambavyo Wizara ya Elimu na baadhi ya taasisi zake zimeanza kuingilia kwa nguvu na pupa maandalizi ya mitaala ya vyuo vikuu, ikiwemo hatua ya...
6 Reactions
32 Replies
2K Views
Anonymous
DOKEZO 
Katika miaka ya hivi karibuni, biashara ya Forex imekuwa kivutio kikubwa kwa vijana wa Kitanzania wanaotafuta njia mbadala za kujiongezea kipato. Wakati Forex ni fursa halali kwa wale wenye uelewa...
10 Reactions
61 Replies
5K Views
Mheshimiwa waziri inaumiza kwa kitendo hiki cha Uongozi wa shule hii kuwakomoa vijana hawa wa kidato cha sita wanaotarajia kuanza mitihani yao ya kitaifa mwezi May. Kwa kifupi. Ni kwamba...
1 Reactions
4 Replies
730 Views
Anonymous
DOKEZO 
Majibu ya Ajira za mkataba za afya zilizo chini ya TAMISEMI kwa kushirikiana na benki ya dunia zilizotangazwa mwezi wa 12 mwaka jana yametoka leo, Ila cha ajabu ni kwamba wale waliopata wengi ni...
0 Reactions
1 Replies
299 Views
Ajira kwa Watoto limekuwa tatizo sugu sana hapa nchini, tukiachana na wadada wa kazi ambao asilimia kubwa wanakuwa ni wale ambao wameacha shule au ndiyo wametoka kuhitimu elimu ya Msingi, kuna...
6 Reactions
23 Replies
1K Views
Napenda kuwasilisha malalamiko kuhusu huduma duni na usimamizi mbovu katika Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli. Mnamo 14/07/2025, abiria alinunua tiketi iliyoandikwa kwa mkono kwa safari ya...
0 Reactions
0 Replies
206 Views
Dkt. Kisenge tafadhali Tulia ofisini Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), nikueleze. Madaktari wa OPD Sina neno nao isipokuwa mmoja mtu wa Kagera ana lugha chafu sana. Tuanze kwenye kupima BP...
15 Reactions
29 Replies
2K Views
GENTAMYCINE
DOKEZO Responded 
1. Tangaza haraka Kuzuia vile Vijiwe vyote vya Kukodisha Mapira / Matairi ya Kuogelea 2. Kisha amrisha wanaotaka Kufanya hiyo Biashara Kwanza wajisajili Kwenu (Serikalini) na wekeni Ada / Tozo...
78 Reactions
341 Replies
19K Views
Jaji Mfawidhi
DOKEZO Responded 
Angalia huyu binti hapo amefanya sex mbele ya ndugu zake na wazazi bila kujua, anatoka akipandisha chupi na hawezi kusema kutokana na aibu. Watu wanapokwenda beach, wasichana wengi wanapenda...
19 Reactions
394 Replies
62K Views
informer 06
DOKEZO KERO 
Bodaboda tunapopeleka abiria SGR Asubuhi mara nyingi wanatukamata kisa tunashusha abiria nje ya eneo la jengo lao pale, wanatoa maelekezo kuwa wanataka tushushe ndani ya eneo la maegesho lililopo...
7 Reactions
38 Replies
2K Views
Naomba msaada nijue haki yangu naipata wapi. Mimi niliajiriwa katika kampun ya Tanzania Tooku Garments Company Limited na nimemaliza mkataba wangu kama ilivyo makubaliano ya mkataba ni wa muda...
1 Reactions
84 Replies
4K Views
Nimekuwa nikisikia tu jinsi watu mbalimbali wanavyowalalamikia staff wa TRA Tanzania lakini sasa nimepata kushuhudia mwenyewe maana nina miamala inayonilazimu niwepo mwenyewe huko TRA...
3 Reactions
30 Replies
1K Views
Mwalimu mkuu wa Daniel Ole Njoolay Secondary School Mwanza amewafukuza wanafunzi wa kidato cha nne na kuwachapa viboko vitano, akiwaambia wafuate Tsh 70,000 kila mmoja kama hela ya kambi. Kwani...
3 Reactions
83 Replies
3K Views
Anonymous
DOKEZO 
Tunataka usawa, kwa wanafunzi wote na siyo udanganyifu unaendlea kutendeka maamuzi yasiyo na usawa ikiwa wote tumestahili adhabu. Ni kivipi wachache watumikie adhabu na wengine kusamehewa pasipo...
0 Reactions
0 Replies
156 Views
zanz
DOKEZO Responded 
Napenda kutoa pongezi na shukhurani za dhati kwa idara ya kupambana na kuzuia rushwa Tanzania na mkoa wa Tabora (TAKUKURU). Naomba maafisa TAKUKURU Wilaya ya Uyui, Mkoa wa Tabora, muweze...
2 Reactions
1 Replies
533 Views
Tembelea, Kijiji Cha Itumbi, kilichopo kata ya Matundasi, Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya. Kuna wachina ambao ni wa Tanganyika na wanajiandaa kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025...
5 Reactions
14 Replies
919 Views
nzalendo
DOKEZO Responded 
Msumi ni Kilometer chache sana kutoka stendi ya mabasi ya Magufuli. Sasa cha ajabu ni kwamba Msumi ipo kama vile hata wakuu wa Mikoa waliopita hapo Dar na wasasa si ajabu hawajui iko upande gani...
27 Reactions
197 Replies
14K Views
Back
Top Bottom