DOKEZO Threads

Chawa wa taifa
DOKEZO PreGE2025 
Baadhi ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kata za Jimbo la Moshi Mjini wamealikwa na Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Priscus Tarimo katika ukumbi wa CCP uliopo Chuo cha Polisi Moshi leo 19.6.2025 kwa...
0 Reactions
0 Replies
370 Views
Anonymous
DOKEZO 
Mimi ni tenderer kwenye Mfumo wa Kielektroniki wa Manunuzi ya Umma (National - e - Procurement Systemwa - NEST) ambao mwanzoni ulikuwa mzuri kabisa. Na kama kijana nilihamasika ku-comply ili...
0 Reactions
3 Replies
763 Views
Anonymous
DOKEZO 
Serikali yetu inahimiza suala la haki, inapinga unyonyaji. Lakini hii imekuwa tofauti katika baadhi ya wahadhiri wa baadhi ya kozi za kiswahili mwaka wa tatu (CoED & Co. Of social sciences)katika...
1 Reactions
6 Replies
488 Views
Kuna vitu vinashangaza sana kwenye hii nchi iliyoasisiwa na Hayati Nyerere, tunasema Kuna amani na upendo miongoni mwenu Lakin kiuhalisia Kuna watu ni wenye manung'uniko na maumivu makubwa moyoni...
1 Reactions
10 Replies
503 Views
John Haramba
DOKEZO Responded 
Katika hali ya kawaida, mbogamboga huonekana kuwa chakula salama na chenye faida nyingi kiafya. Hata hivyo, katika muktadha wa miji au Majiji makubwa kama makubwa kama Dar es Salaam, Dodoma...
7 Reactions
22 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO 
Kuna watu wanauza bidhaa Instagram,lakini kumbe ni matapeli na wezi. Nashauri kuwa makini sana na watu wote wanaofanya biashara online. Mimi binafsi nimetapeliwa na Dada anajiita queen Zipporah IG.
2 Reactions
5 Replies
476 Views
WAZIRI WA ELIMU PAMOJA NA MKURUGENZI WA TAASISI YA ELIMU WAMESHINDWA KUSIMAMIA SYLLABUS NA MIHULA YA SHULE: SHULE BINAFSI ZINA MIHULA NA LIKIZO ZAO TOFAUTI Katika suala hili msomaji zingatia...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari , Watumishi ajira mpya ya Mwaka 2024 wamelipwa hela zao za kujikimu flat rate nchi nzima lakini Halmashauri ya Wilaya ya Ngara inawalazimisha Watumishi hao kusaini siku 5 tu na pia chini...
0 Reactions
6 Replies
846 Views
Anonymous
DOKEZO 
Wanatufanya hamna yani hujampa hela ya kiwi (2000) anakuweka mkeka bila kujali kama unalisha familia kwa kuwa barabarani #dereva wa daladala
1 Reactions
17 Replies
782 Views
Ghorofa hili lipo Kariakoo, Jijini Dar es Salaam, Mtaa wa Nyamwezi na Mkunguni tatizo lake ni kuwa kuna mabati wameweka juu kama ya uzio kuzuia vitu vya ujenzi kutoanguka chini ambapo Watu...
1 Reactions
3 Replies
885 Views
Nipo hapa Dodoma ni mwaka wa 18 mpaka hivi sasa, cha kushangaza katika miji mingi wanapima viwanja lakini wanasahau kuweka viwanja vya michezo pamoja na vya kucheza watoto! Inatakiwa hili...
8 Reactions
41 Replies
1K Views
Travis Kitengo
DOKEZO Responded 
Wasaalam wanajamvi, Nawasalimu kwa jina la Jamhuri..... Licha ya Serikali kupambana kwa juhudi zote kuhakikisha watoto hasa wa kike wanapata elimu kuanzia ngazi zote ili iweze kuwasaidia kwa...
4 Reactions
39 Replies
2K Views
Kuna tatizo sugu katika vyuo vya kati hususani chuo nilichosoma mimi Institute of Adult Education (IAE) wahitimu wa june 2024 hatujapata AVN mpaka sasa. Mwaka jana tumeshindwa kujiendeleza...
0 Reactions
3 Replies
416 Views
KwetuKwanza
DOKEZO Responded 
Mimi ni Mtumishi X kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Singida, kumekuwa na tatizo la Maafisa Utumishi na Mkurugenzi kushikilia vibali vya Uhamisho vinavyotoka kwa Katibu Mkuu Utumishi au...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nyakijooga
DOKEZO Responded 
Baadhi ya mabweni ya Wanafunzi wa kike pamoja na stoo ya Shule ya Sekondari ya Jenista Mhagama iliyoko Halmashauri ya Songea Mkoani Ruvuma yameharibika kwa kuwaka moto siku chache zilizopita na...
1 Reactions
4 Replies
623 Views
Mbunge wa Sumve, Kasalali Mageni, ameibua hoja kuhusu ongezeko la wafanyabiashara kutoka mataifa ya Asia, hususan China, akisema kuwa pamoja na wingi wao, wamekuwa na tabia ya kukwepa kodi...
0 Reactions
0 Replies
380 Views
Rev.Prof. Philbert Vumilia Vice Chancellor ,Mwecau: Changamoto za Wanafunzi wa Masters Chuo Kikuu cha Mwecau kimekuwa kivutio kwa wanafunzi wengi wanaotaka kupata shahada za uzamili (Masters)...
5 Reactions
107 Replies
7K Views
Anonymous
DOKEZO 
Pamoja na kuwa ni soko kubwa lililosheheni Wafanyabiashara wengi wa kila aina, soko hili lililo chini ya Halmashauri ya Wilaya ya Arusha limekuwa na mfumo mbaya wa ukusanyaji ushuru kitu...
0 Reactions
1 Replies
648 Views
Anonymous
DOKEZO 
Naomba kumpongeza waziri na wizara nzima ya kilimo kwa bajeti iliyo na mashiko pia inayoonesha matumaini. Leo nimeleta hoja mezani hasa ikilenga taasisi ama halmashauri ambazo kwa asilimia kubwa...
2 Reactions
4 Replies
467 Views
Sisi ni wanafunzi wa mwaka wa tatu wa Shahada ya Sayansi ya Data kutoka Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika. Tunaomba msaada wa haraka kuhusu changamoto kubwa ya fedha zilizokwisha lipwa na bado...
0 Reactions
1 Replies
588 Views
Back
Top Bottom