Baadhi ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kata za Jimbo la Moshi Mjini wamealikwa na Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Priscus Tarimo katika ukumbi wa CCP uliopo Chuo cha Polisi Moshi leo 19.6.2025 kwa...
Mimi ni tenderer kwenye Mfumo wa Kielektroniki wa Manunuzi ya Umma (National - e - Procurement Systemwa - NEST) ambao mwanzoni ulikuwa mzuri kabisa.
Na kama kijana nilihamasika ku-comply ili...
Serikali yetu inahimiza suala la haki, inapinga unyonyaji. Lakini hii imekuwa tofauti katika baadhi ya wahadhiri wa baadhi ya kozi za kiswahili mwaka wa tatu (CoED & Co. Of social sciences)katika...
Kuna vitu vinashangaza sana kwenye hii nchi iliyoasisiwa na Hayati Nyerere, tunasema Kuna amani na upendo miongoni mwenu Lakin kiuhalisia Kuna watu ni wenye manung'uniko na maumivu makubwa moyoni...
Katika hali ya kawaida, mbogamboga huonekana kuwa chakula salama na chenye faida nyingi kiafya. Hata hivyo, katika muktadha wa miji au Majiji makubwa kama makubwa kama Dar es Salaam, Dodoma...
Kuna watu wanauza bidhaa Instagram,lakini kumbe ni matapeli na wezi. Nashauri kuwa makini sana na watu wote wanaofanya biashara online. Mimi binafsi nimetapeliwa na Dada anajiita queen Zipporah IG.
WAZIRI WA ELIMU PAMOJA NA MKURUGENZI WA TAASISI YA ELIMU WAMESHINDWA KUSIMAMIA SYLLABUS NA MIHULA YA SHULE: SHULE BINAFSI ZINA MIHULA NA LIKIZO ZAO TOFAUTI
Katika suala hili msomaji zingatia...
Habari ,
Watumishi ajira mpya ya Mwaka 2024 wamelipwa hela zao za kujikimu flat rate nchi nzima lakini Halmashauri ya Wilaya ya Ngara inawalazimisha Watumishi hao kusaini siku 5 tu na pia chini...
Ghorofa hili lipo Kariakoo, Jijini Dar es Salaam, Mtaa wa Nyamwezi na Mkunguni tatizo lake ni kuwa kuna mabati wameweka juu kama ya uzio kuzuia vitu vya ujenzi kutoanguka chini ambapo Watu...
Nipo hapa Dodoma ni mwaka wa 18 mpaka hivi sasa, cha kushangaza katika miji mingi wanapima viwanja lakini wanasahau kuweka viwanja vya michezo pamoja na vya kucheza watoto!
Inatakiwa hili...
Wasaalam wanajamvi,
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.....
Licha ya Serikali kupambana kwa juhudi zote kuhakikisha watoto hasa wa kike wanapata elimu kuanzia ngazi zote ili iweze kuwasaidia kwa...
Kuna tatizo sugu katika vyuo vya kati hususani chuo nilichosoma mimi Institute of Adult Education (IAE) wahitimu wa june 2024 hatujapata AVN mpaka sasa.
Mwaka jana tumeshindwa kujiendeleza...
Mimi ni Mtumishi X kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Singida, kumekuwa na tatizo la Maafisa Utumishi na Mkurugenzi kushikilia vibali vya Uhamisho vinavyotoka kwa Katibu Mkuu Utumishi au...
Baadhi ya mabweni ya Wanafunzi wa kike pamoja na stoo ya Shule ya Sekondari ya Jenista Mhagama iliyoko Halmashauri ya Songea Mkoani Ruvuma yameharibika kwa kuwaka moto siku chache zilizopita na...
Mbunge wa Sumve, Kasalali Mageni, ameibua hoja kuhusu ongezeko la wafanyabiashara kutoka mataifa ya Asia, hususan China, akisema kuwa pamoja na wingi wao, wamekuwa na tabia ya kukwepa kodi...
Rev.Prof. Philbert Vumilia
Vice Chancellor ,Mwecau: Changamoto za Wanafunzi wa Masters
Chuo Kikuu cha Mwecau kimekuwa kivutio kwa wanafunzi wengi wanaotaka kupata shahada za uzamili (Masters)...
Pamoja na kuwa ni soko kubwa lililosheheni Wafanyabiashara wengi wa kila aina, soko hili lililo chini ya Halmashauri ya Wilaya ya Arusha limekuwa na mfumo mbaya wa ukusanyaji ushuru kitu...
Naomba kumpongeza waziri na wizara nzima ya kilimo kwa bajeti iliyo na mashiko pia inayoonesha matumaini. Leo nimeleta hoja mezani hasa ikilenga taasisi ama halmashauri ambazo kwa asilimia kubwa...
Sisi ni wanafunzi wa mwaka wa tatu wa Shahada ya Sayansi ya Data kutoka Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika. Tunaomba msaada wa haraka kuhusu changamoto kubwa ya fedha zilizokwisha lipwa na bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.