Asante sana kwa response. Kuna baadhi ya info naona ni mapema sana ku disclose hapa. Naomba nikutafute chamber wakat na digest ni informations gani naweza kuziongeza hapa kuvutia watu zaidi. Thanks
Natafuta mtu mwenye interest ya kuingia kwenye construction industry.
Kampuni ilipata usajili brela 2014, baada ya kuhangaika mwaka mzima 2015 kutafuta miradi hatimae mwaka 2016 kampuni ilianza kupata projects mbalimbali. Tumefanikiwa kupata projects za majengo, barabara, na maji. Projects...
Mpaka sasa sijaona mahali popote pale makonda alipozuiliwa kuendelea na vita yake ya madawa na hawa wanaomshutumu swala la kufoji vyeti, ila naona kundi kubwa sana wa watu wanaotaka makonda asiulizwe uhalali wa vyeti vyake kisa!!!?? Inasemekana alianzisha vita ya kupambana na dawa za kulevya
Gx 110 inahitajika mara moja. Iwe na no za usajili kuanzia no c au d, millage isizidi km 120,000, rangi yyte tu, isiwe imewah kupata ajali na iwe kwenye hali nzuri. Kuna 8m hapa.
Yaani sijawah kukutana na ushauri hatarishi kama huu. Kwa hiyo akamwambie wife nlimshika mdogo wako masaburi???!!! Hapo ni kukomaa tu tena unaongeza ukauzu balaa, at least watu wanaweza wasimuamini.
Umeshindwa kutumia akili kidogo tu, hicho mlichoshindwa kumpa, huyo mpare ndio anamtitmizia na inaonyehsa anammudu vyema. Unakereka wew wakati ATM katoa mwenyewe???!!!! Mbaya zaidi na hizo mnazojifanya kumtumia nazo anampelekea.........
Kanapendeza zaidi milango ikiwa wazi, inabidi watafute namna ambayo mtu utaendesha milango ikiwa kwenye hiyo position.
Halafu kwann tairi za nyuma wamezifukia????!!! Nafikiri hili nalo linachangia kuharib muonekano wa hii gari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.