Zorrander
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 438
- 233
Natafuta mtu mwenye interest ya kuingia kwenye construction industry.
Kampuni ilipata usajili brela 2014, baada ya kuhangaika mwaka mzima 2015 kutafuta miradi hatimae mwaka 2016 kampuni ilianza kupata projects mbalimbali. Tumefanikiwa kupata projects za majengo, barabara, na maji. Projects zote ambazo kampuni imewahi pata pamoja na changamoto nyingi ikiwemo (mtaji wa uhakika) zimekamilika successfully na kupata completion certificates.
Kinachofanya nihitaji mwekezaji/partner kwenye kampuni ni nia ya kukuza mtaji, kuangalia uwezekano wa kupata equipments, kuongeza uwezo wa kupata bank facilities ikiwemo bid bonds and guarantees ili kuweza kuwa competitive kwenye tendering na uwezo wa kuperfom projects kwa wakati na kwa faida.
Karibuni sana.
Kampuni ilipata usajili brela 2014, baada ya kuhangaika mwaka mzima 2015 kutafuta miradi hatimae mwaka 2016 kampuni ilianza kupata projects mbalimbali. Tumefanikiwa kupata projects za majengo, barabara, na maji. Projects zote ambazo kampuni imewahi pata pamoja na changamoto nyingi ikiwemo (mtaji wa uhakika) zimekamilika successfully na kupata completion certificates.
Kinachofanya nihitaji mwekezaji/partner kwenye kampuni ni nia ya kukuza mtaji, kuangalia uwezekano wa kupata equipments, kuongeza uwezo wa kupata bank facilities ikiwemo bid bonds and guarantees ili kuweza kuwa competitive kwenye tendering na uwezo wa kuperfom projects kwa wakati na kwa faida.
Karibuni sana.