Kwa kuongezea tu. Awamu ya tano imekuwa na unyanyasaji mkubwa wa vyombo vya habari. Kufungiwa kwa magazeti yenye mtazamo tofauti na yeye,Ukandamizwaji kwa wanablog, kesi dhidi ya wapinzani wake, sera ya kutumbua majipu na udhalilishaji, Kesi za kubambikiwa. Ukabila katika teuzi zake. Yote hayo...
Kwa wale wenye masink makubwa ya kuogea. Unajaza maji yako ndani ya hilo sink, unaweka sabuni yako, unaingia ndani ya hilo sink unaonga ukiwa umekaa. Ukitosheka kukaa humo unayafungulia yanatoka unajisuuza na kumaliza kuoga kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu jamanii. Covid 19 imezalishwa na Marekani , China amekuwa muhanga wa janga hili. Bill gate ni tajiri mkubwa duniani ni mfanyabiasha anawezaje kuitangazia Dunia kuwa Africa itapigwa vibaya sana na corona? Ameweza kuyasema haya kwa ujasiri mkubwa kwa sababu yeye ndio msimamizi...
Pole sana mimi kwa hayo magumu unayopitia. Mimi sio Dr wala sio mganga . mimi nimepitia matatizo yanayofanana ba hayo ya kwako. Naomba unitafute nikueleze nilivyo overcome the situation.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza unataka kwa ajili ya matumizi gani? Na zenye ukubwa gani? Sehemu ya kuzipata ni malindi msikiti wa Ijumaa, magomeni, na njia yote hiyo inayokwenda Amani kuanzia mwembeladu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.