Simuelewi huyu mwanamke

Simuelewi huyu mwanamke

Kweli humjali, wewe kumpigia simu mpaka utoke kazini ? Ukiwa kazin kunashindikana nini ? Halafu inaonesha ulikuwa huna cha kuongea nae zaidi ya salamu .Bora alivyokuacha unampotezea muda. Mawasiliano ni jambo la msingi katika mahusiano.
Tatizo hamjui mnachokitaka mawasiliano ni ya watu wawili nisipoanza ww pia waweza anza kwa mwenza wako wengine kazi zao haziwapi nafasi ya kuwasiliana mara kwa mara mda wa kazi na mara nyingi vitu vidogo vinawafanya muwaache wapenzi wamaana na kurukia msipopendwa mkizalishwa au kuachwa mnarudi tena nyuma kwa uliyemuacha mwanzo ni jambo la kijinga kumuacha mpenzi wako et kisa hamuwasiliani mchana
 
Kweli humjali, wewe kumpigia simu mpaka utoke kazini ? Ukiwa kazin kunashindikana nini ? Halafu inaonesha ulikuwa huna cha kuongea nae zaidi ya salamu .Bora alivyokuacha unampotezea muda. Mawasiliano ni jambo la msingi katika mahusiano.
Basi mm nimekutana na scenario tofauti kidogo.Nilitaka kujiweka mahali flan nikawa na invest sana muda wangu kimawasiliano.Ila mrembo hata habar hana.Yuko busy vibaya sana.Anasema yy hawez kuahrisha kupumzika wala kufanya kazi ofisn ili a chat na mm.ikifika saa 4 kamil usiku anaingia on bed aisee so una bahatisha bahatisha ile day time mida ya lunch ndo anaweza kujib sms au asbh sana kabla hajaingia kazin pia anaweza akakutumia text au kukujib kama ukimtumia na saa 4 usk kama usingiz haujampitia anaweza akakukumbuka kukuchek kwa text not otherwise.Per day hazizid 6.
Nikaona oookay isiwe shida hapa ngoja nijiweke kando tu...hapa kwa sis waelewa tunakua tunapata message ya "not reachable, try somewhere else".

So jamaa namshauri tu atumie muda kumuelewa buyo manzi
 
alafu hapo utasikia, " yani wanaume wa siku hizii....!!"
 
Mwanaume kulala saa 12 jioni ni Umama ndio sababu ya kuamua kuachana. Jiongeze usirudie kosa hilo.
 
Matokeo yake ni tumeachana, kwa yeye kunilaumu mimi, mimi nimeshafanya kinachonipasa kufanya, maana sidhani kama ningeweza kuendelea kumsumbua mtu anayenitakia usiku mwema saa 12 jioni, na story yetu ya mahusiano ikaishia hapo.
Mbona kama hujaridhika na utumbuaji harakiziulioufanya?..
 
hata mimi ningechoka nikakuacha yani mawasiliano ni mara mbili kwa siku. inavtoonekana hujui kubembeleza pale alipokata simu ulipomwambia unalala ndo ugomvi ulipoanzia inaonekana ndo tabia yako sasa yy kaichoka. ulitakiwa umbembeleze kwa mahaba wanawake wanapenda kudekezwa. pole ukauzu umekuponza
 
Bila shaka Huyo atakuwa ni under 25 yrs utoto unakuwaga mwingi halafu hakupendi ndio maana kosa dogo tu anakimbilia kuachana.
 
Kweli humjali, wewe kumpigia simu mpaka utoke kazini ? Ukiwa kazin kunashindikana nini ? Halafu inaonesha ulikuwa huna cha kuongea nae zaidi ya salamu .Bora alivyokuacha unampotezea muda. Mawasiliano ni jambo la msingi katika mahusiano.
Utoto huu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom