Wakuu Niko Zanzibar nahitaji fridge

Wakuu Niko Zanzibar nahitaji fridge

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
13,344
Reaction score
21,233
Wakuu Niko Zanzibar nahitaji fudge kama 2 hivi, ni vitu gan vya kuangalia ili kupata fridge iliyo imara, na ni maeneo gan naweza pata mzigo
 
Wakuu Niko Zanzibar nahitaji fudge kama 2 hivi, ni vitu gan vya kuangalia ili kupata fridge iliyo imara, na ni maeneo gan naweza pata mzigo
Mzee nilijua utakua Kilimanjaro ama Iringa. Zanzibar mafridge yamejaa sawa na bure nenda mwana kwerekwe mpaka kwa mchina mwisho utapata ya kutosha nenda mlandege na malindi yamejaa kibao! kuhusu uimara unaweza ukaangalia capacity ya fridge kuanzia kampuni na model
 
naomba usaidi kuniulizia kampuni ya boss ltr 280 au 300k mpya ni sh ngapi pamoja na juice dispenser mitungi 3 mpya ni sh ngap mzee, nilinganishe na huku futuhi nami nahitaji
 
Kwanza unataka kwa ajili ya matumizi gani? Na zenye ukubwa gani? Sehemu ya kuzipata ni malindi msikiti wa Ijumaa, magomeni, na njia yote hiyo inayokwenda Amani kuanzia mwembeladu.
 
mi nnayo,napatikana huku ileje,kama vipi tufanye biashara
 
Back
Top Bottom