Rais Magufuli kafanya mengi mazuri na makubwa, lakini vitakavyomuangusha ni vile vidogo vidogo na anavyovidharau

dolomon

JF-Expert Member
Jun 5, 2018
595
1,214
Kumekuwa na amshaamsha nyingi sana kwenye vyombo vya habari za kumsifia rais wetu mpendwa kuwa yeye ni bonge la rais haijawahi tokea tangu enzi za baba yetu wa taifa. Kauli hizi zinasemwa sana hasa na wanacha wa CCM hasa wa kizazi cha zama za uhuru na kidogo wale wa miaka ya 70, huku wale wa miaka ya 80 kama mimi wanasema tu ili angalau wapate chochote kile ama ajira au teuzi,maana huyu dingii kajikita kidogo kuwainua vijana viroporopo na wenye uthubutu wa kutukana na kudhalilisha watu kwa ajili ya chama.

Sasa,mimi naungana na wote wanao mpongeza,kwa kweli kuna vitu vikubwa kafanya orodha yake ni ndefu, nikianza kuvieleza hapa nitakesha,wengi wetu tunavijua na hakuna anayepinga.

Kama wahenga wasemavyo, ndege mjanja hunaswa na tundu bovu,au mdharau mwiba huota tende..ni kweli kabisa kuwa mwiba ni mdogo sana,kwa sie tuliowahi kuchunga,mwiba ukikuchoma na kuvunjikia sharti uuchomoe muda huohuo, ukizama ndani zaidi hakikisha unapaka mafuta ya kondoo na uchome na moto kuuvuta usogee juu,usipofanya hivyo uvimbisha maguu utakuwa mkubwa kama matende,kisha utabebwa na mishipa ya damu usafirishwe hadi kwenye moyo kisha uuchome moyo na halafu unazima ghafla na unakufa.

Sasa, rais wangu huyu mpendwa anayetuchunga ana miiba mingi miguuni,imemchoma,bahati mbaya sana anaipuuzia kwa kiburi cha kusifiwa kwamba yeye ni mchungaji mzuri eti anashibisha ng'ombe anajidanganya! Tena anajidanganya kweli kweli....Naomba niitaje miiba michache ambayo imo miguuni ni ishaanza kukuza matende. Suala la ajira,amekuwa akiajiri kwa kustukiza,watu wachache tu wengio wao ni makada...hilo tunalijua vizuri tu, sasa mwak huu katangaza kuajiri walimu 12,000 wakati huu wa uchaguzi,eti anadhani ni karata dume,wanachi wamebadilika sana, sio wajinga kama unavyodhani.

Pili,mwiba wa kutopandisha madaraja na kuongeza mishahara...kwa kigezo tunajenga miundo mbinu. Huu ni mwiba mbaya..tena upo deep kwenye muscles.Wafanyakazi wanmchekea tu,lakini wanalao rohoni. Hivi anajua kuwa wafanyakazi wamekuwa masikini kweli tangu huyu bwana achukue ofisi,mishahara imesimama,maisha yamezidi kuwa magumu kwa wafanyakazi,hawakopesheki tena na kuna ndoa za wafanyakazi zimekufa,watu wameacha shule,wengine wana stress za kujiuwa. Siku za meo mosi anaongea vitu vya kitoto kabisaaaa huyu mzee mbona atajuta...wait and see.

Miiba mingine ni ile ya vyombo vyake vya dola,uonevu kwa watu,wanabambikiwa kesi,watu wanajifanya kama hawaoni tu,mingine utaongezea na wewe.

Asilewe sifa wajumbe tunamsubiria tu huku,akumbuke waliompitisha ni CCM, huku kitaa mara hii atashangaa zinapigwa za hasira,tutaona hao ma DED, Ma DC na polisi kama watambeba tena. Na uzuri wafanyakazi ndio wanasimamia uchaguzi. Octoba kuna mtu ataimba haleluya.

Ongezea kama kuna mwiba mwingine unaujua.
 
Ujawagawa hao wafanyakazi katika makundi sahihi
Kumbuka kuna kundi kubwa la wafanyakazi waliokuwa wamechoshwa na mfumo wa serikali za awamu zilizopita kuhusu kuendesha nchi kwa kukumbatia matajiri na wafanyabiashara matajiri na kusahau kutetea maskini
Huyu jamaa anachukiwa sana na matajiri sema maskini waliowengi wamependa sana style anayotumia kutawala
Mimi nikiwemo
 
Ujawagawa hao wafanyakazi katika makundi sahihi

Kumbuka kuna kundi kubwa la wafanyakazi waliokuwa wamechoshwa na mfumo wa serikali za awamu zilizopita kuhusu kuendesha nchi kwa kukumbatia matajiri na wafanyabiashara matajiri na kusahau kutetea maskini
Huyu jamaa anachukiwa sana na matajiri sema maskini waliowengi wamependa sana style anayotumia kutawala
Mimi nikiwemo
 
Majukwaani kipindi hiki itakuwa ni mwendo wa kukaririshana tu SGR, Nyerere Hydro power, Bomberdier, Flyover, Barabara, Ukuta Mererani.

Sasa kwa sisi wa huku maporini Dosidosi sijui hizo flyover tunanufaikaje nazo.
 
Huyu ndio anaondoka sasa....
Majukwaani kipindi hiki itakuwa ni mwendo wa kukaririshana tu SGR, Nyerere Hydro power, Bomberdier, Flyover, Barabara, Ukuta Mererani.
Sasa kwa sisi wa huku maporini Dosidosi sijui hizo flyover tunanufaikaje nazo.
 
Matajiri na wafanya kazi ndio wanamchukia haswaa...hao masikini hawana na kumfanya wamchukie,maana ni masikini.
Ujawagawa hao wafanyakazi katika makundi sahihi
Kumbuka kuna kundi kubwa la wafanyakazi waliokuwa wamechoshwa na mfumo wa serikali za awamu zilizopita kuhusu kuendesha nchi kwa kukumbatia matajiri na wafanyabiashara matajiri na kusahau kutetea maskini
Huyu jamaa anachukiwa sana na matajiri sema maskini waliowengi wamependa sana style anayotumia kutawala
Mimi nikiwemo
 
Kumekuwa na amshaamsha nyingi sana kwenye vyombo vya habari za kumsifia raisi wetu mpendwa kuwa yeye ni bonge la raisi haijawahi tokea tangu enzi za baba yetu wa taifa. Kauli hizi zinasemwa sana hasa na wanacha wa CCM hasa wa kizazi cha zama za uhuru na kidogo wale wa miaka ya 70,huku wale wa miaka ya 80 kama mimi wanasema tu ili angalau wapate chochote kile ama ajira au teuzi,maana huyu dingii kajikita kidogo kuwainua vijana viroporopo na wenye uthubutu wa kutukana na kudhalilisha watu kwa ajili ya chama.

Sasa,mimi naungana na wote wanao mpongeza,kwa kweli kuna vitu vikubwa kafanya orodha yake ni ndefu,nikianza kuvieleza hapa nitakesha,wengi wetu tunavijua na hakuna anayepinga.

Kama wahenga wasemavyo, ndege mjanja hunaswa na tundu bovu,au mdharau mwiba huota tende..ni kweli kabisa kuwa mwiba ni mdogo sana,kwa sie tuliowahi kuchunga,mwiba ukikuchoma na kuvunjikia sharti uuchomoe muda huohuo, ukizama ndani zaidi hakikisha unapaka mafuta ya kondoo na uchome na moto kuuvuta usogee juu,usipofanya hivyo uvimbisha maguu utakuwa mkubwa kama matende,kisha utabebwa na mishipa ya damu usafirishwe hadi kwenye moyo kisha uuchome moyo na halafu unazima ghafla na unakufa.

Sasa, raisi wangu huyu mpendwa anayetuchunga ana miiba mingi miguuni,imemchoma,bahati mbaya sana anaipuuzia kwa kiburi cha kusifiwa kwamba yeye ni mchungaji mzuri eti anashibisha ng'ombe anajidanganya! Tena anajidanganya kweli kweli....Naomba niitaje miiba michache ambayo imo miguuni ni ishaanza kukuza matende. Suala la ajira,amekuwa akiajiri kwa kustukiza,watu wachache tu wengio wao ni makada...hilo tunalijua vizuri tu, sasa mwak huu katangaza kuajiri walimu 12,000 wakati huu wa uchaguzi,eti anadhani ni karata dume,wanachi wamebadilika sana, sio wajinga kama unavyodhani.

Pili,mwiba wa kutopandisha madaraja na kuongeza mishahara...kwa kigezo tunajenga miundo mbinu. Huu ni mwiba mbaya..tena upo deep kwenye muscles.Wafanyakazi wanmchekea tu,lakini wanalao rohoni. Hivi anajua kuwa wafanyakazi wamekuwa masikini kweli tangu huyu bwana achukue ofisi,mishahara imesimama,maisha yamezidi kuwa magumu kwa wafanyakazi,hawakopesheki tena na kuna ndoa za wafanyakazi zimekufa,watu wameacha shule,wengine wana stress za kujiuwa. Siku za meo mosi anaongea vitu vya kitoto kabisaaaa huyu mzee mbona atajuta...wait and see.

Miiba mingine ni ile ya vyombo vyake vya dola,uonevu kwa watu,wanabambikiwa kesi,watu wanajifanya kama hawaoni tu,mingine utaongezea na wewe.

Asilewe sifa wajumbe tunamsubiria tu huku,akumbuke waliompitisha ni CCM, huku kitaa mara hii atashangaa zinapigwa za hasira,tutaona hao ma DED, Ma DC na polisi kama watambeba tena. Na uzuri wafanyakazi ndio wanasimamia uchaguzi. Octoba kuna mtu ataimba haleluya.

Ongezea kama kuna mwiba mwingine unaujua.
Amefanya makubwa kama yapi ndugu
 
Suala la tunanufaikaje na miradi mikubwa inayosimamiwa na serikali ya JPM
inaiingizia serikali fedha nyingi zinazotumika kwenye social services unazotumia for free mfano mbona mnajifanya amuelewi
Mbona wakati wa katibu mkuu slaa ndio tulikuwa tunayasimamia eti leo mnakana
Hakika ni mashaka kuendeleamini ukawa
 
Majukwaani kipindi hiki itakuwa ni mwendo wa kukaririshana tu SGR, Nyerere Hydro power, Bomberdier, Flyover, Barabara, Ukuta Mererani.

Sasa kwa sisi wa huku maporini Dosidosi sijui hizo flyover tunanufaikaje nazo.
madaraja ya photoshoot
 
Kwa kuongezea tu. Awamu ya tano imekuwa na unyanyasaji mkubwa wa vyombo vya habari. Kufungiwa kwa magazeti yenye mtazamo tofauti na yeye,Ukandamizwaji kwa wanablog, kesi dhidi ya wapinzani wake, sera ya kutumbua majipu na udhalilishaji, Kesi za kubambikiwa. Ukabila katika teuzi zake. Yote hayo ni miiba ambayo inaweza kuleta madhara makubwa october.
 
Sijaona miradi mikubwa kwa awamu hii.

Kununua ndege ni failure project.

SGR nayo inawatoa jasho na ni marehemu mtarajiwa.

Stiglers ni ndoto za mchana.

What else?
 
Hayo mambo makubwa aliyofanya Magufuli ni yapi?

Naona propaganda inachezwa kwa nguvu nyingi na kwa kurudiarudia ili kuwaaminisha watu waamini kisichokuwepo
 
Kumekuwa na amshaamsha nyingi sana kwenye vyombo vya habari za kumsifia raisi wetu mpendwa kuwa yeye ni bonge la raisi haijawahi tokea tangu enzi za baba yetu wa taifa. Kauli hizi zinasemwa sana hasa na wanacha wa CCM hasa wa kizazi cha zama za uhuru na kidogo wale wa miaka ya 70,huku wale wa miaka ya 80 kama mimi wanasema tu ili angalau wapate chochote kile ama ajira au teuzi,maana huyu dingii kajikita kidogo kuwainua vijana viroporopo na wenye uthubutu wa kutukana na kudhalilisha watu kwa ajili ya chama.

Sasa,mimi naungana na wote wanao mpongeza,kwa kweli kuna vitu vikubwa kafanya orodha yake ni ndefu,nikianza kuvieleza hapa nitakesha,wengi wetu tunavijua na hakuna anayepinga.

Kama wahenga wasemavyo, ndege mjanja hunaswa na tundu bovu,au mdharau mwiba huota tende..ni kweli kabisa kuwa mwiba ni mdogo sana,kwa sie tuliowahi kuchunga,mwiba ukikuchoma na kuvunjikia sharti uuchomoe muda huohuo, ukizama ndani zaidi hakikisha unapaka mafuta ya kondoo na uchome na moto kuuvuta usogee juu,usipofanya hivyo uvimbisha maguu utakuwa mkubwa kama matende,kisha utabebwa na mishipa ya damu usafirishwe hadi kwenye moyo kisha uuchome moyo na halafu unazima ghafla na unakufa.

Sasa, raisi wangu huyu mpendwa anayetuchunga ana miiba mingi miguuni,imemchoma,bahati mbaya sana anaipuuzia kwa kiburi cha kusifiwa kwamba yeye ni mchungaji mzuri eti anashibisha ng'ombe anajidanganya! Tena anajidanganya kweli kweli....Naomba niitaje miiba michache ambayo imo miguuni ni ishaanza kukuza matende. Suala la ajira,amekuwa akiajiri kwa kustukiza,watu wachache tu wengio wao ni makada...hilo tunalijua vizuri tu, sasa mwak huu katangaza kuajiri walimu 12,000 wakati huu wa uchaguzi,eti anadhani ni karata dume,wanachi wamebadilika sana, sio wajinga kama unavyodhani.

Pili,mwiba wa kutopandisha madaraja na kuongeza mishahara...kwa kigezo tunajenga miundo mbinu. Huu ni mwiba mbaya..tena upo deep kwenye muscles.Wafanyakazi wanmchekea tu,lakini wanalao rohoni. Hivi anajua kuwa wafanyakazi wamekuwa masikini kweli tangu huyu bwana achukue ofisi,mishahara imesimama,maisha yamezidi kuwa magumu kwa wafanyakazi,hawakopesheki tena na kuna ndoa za wafanyakazi zimekufa,watu wameacha shule,wengine wana stress za kujiuwa. Siku za meo mosi anaongea vitu vya kitoto kabisaaaa huyu mzee mbona atajuta...wait and see.

Miiba mingine ni ile ya vyombo vyake vya dola,uonevu kwa watu,wanabambikiwa kesi,watu wanajifanya kama hawaoni tu,mingine utaongezea na wewe.

Asilewe sifa wajumbe tunamsubiria tu huku,akumbuke waliompitisha ni CCM, huku kitaa mara hii atashangaa zinapigwa za hasira,tutaona hao ma DED, Ma DC na polisi kama watambeba tena. Na uzuri wafanyakazi ndio wanasimamia uchaguzi. Octoba kuna mtu ataimba haleluya.

Ongezea kama kuna mwiba mwingine unaujua.
ndugu, kafanya mengi kwa kutumia kigezo gani?

katika kuinua uchumi hajamzidi JK hata kwa 50%.

JK ndani ya miaka yake 5 ya kwanza alichangia zaidi ya $200B per capita income. huyu kachangia $100B tu.

in fact, hata hizi kelele za kuingia the so called "uchumi wa kati", wachangiaji wakubwa ni JK ($480B) na Mkapa ($330) huku wa sasa akichangia a paltry $100B.

ukiachilia mbali attempt yake ya kujenga SGR na Stiegler's Gorge, miradi ambayo kukamilika kwake ni zaidi ya miaka 15 ijayo na inaweza isikamilishwe na successor wake ambaye naye atakuja na vipaumbele vyake, there's nothing more which you can call spectacular or outstanding achieved so far under the current regime. nothing!
 
Dawa yake inatokota ...itaiva soon....
ndugu, kafanya mengi kwa kutumia kigezo gani?

katika kuinua uchumi hajamzidi JK hata kwa 50%.

JK ndani ya miaka yake 5 ya kwanza alichangia zaidi ya $200B per capita income. huyu kachangia $100B tu.

in fact, hata hizi kelele za kuingia the so called "uchumi wa kati", wachangiaji wakubwa ni JK ($480B) na Mkapa ($330) huku wa sasa akichangia a paltry $100B.

ukiachilia mbali attempt yake ya kujenga SGR na Stiegler's Gorge, miradi ambayo kukamilika kwake ni zaidi ya miaka 15 ijayo na inaweza isikamilishwe na successor wake ambaye naye atakuja na vipaumbele vyake, there's nothing more which you can call spectacular or outstanding achieved so far under the current regime. nothing!
 
Back
Top Bottom