Ukitaka kushinda Uongo. ANZA MAZOEZI YA KUSEMA UKWELI.Tabia yoyote inajengwa kwa kufanya mazoezi ya tabia hiyo kwa muda mrefu.Mwisho wa siku unazoea na hutumii nguvu kubwa kusema ukweli.
Hii biashara kwa sasa imekua haina issue aisee,me mwenyewe nimeifanya na sehemu niliyoweka ni stand ya daladala ila hiyo commission inayokuja dah inakatisha tamaa,ila kuna mtu alinishauri sehemu nzuri ni za masokoni,ambako kuna movement kubwa ya watu
Wimbo wa Siri ya mchezo wa fid q,ndo ulionifanya nimpe heshima kubwa fid q,na kuheshimu kichwa chake kwa kile alichoelezea humo ndani, tujifunze kuheshimu Bongo za watu na kuzipa heshima inayostahili.
Hii Nyimbo ya ROMA,si kwa ajili ya kila mtu,ni kwa wale wenye uelewa mpana,kama uelewa wako ni wakisingeli,au wa wabana pua huwezi kuelewa.-""Ni rahisi kumkumbuka Roma mpaka kwa vizazi vijavyo kuliko kuwakumbuka wakata viuono wenu."
Sent using Jamii Forums mobile app
Its better waimbe hayo ma-playback yao inaudhi, wanahitaji wajifunze na kuwekeza kwenye kuimba live,bado sana nyimbo inayoimbwa live unakuta ni tofauti na original song,sasa sielewi live zao,punzi hawana, wanaimba nje ya key aaaaaaghhh
I just like his mentality,ukimtukana hajui kuimba live anajipanga akija sasa anakutukana kuwa anajua zaidi,napenda mtu anaetumia matusi anayotukanwa,au udhaifu wake kama ngazi yakumpeleka hatua nyingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.