Recent content by Zipapa zipapa

  1. Zipapa zipapa

    Mbwana Samatta asajiliwa Fenerbahce ya Uturuki

    yeah leo watasumbua sana, Dogo ufungaji bora unamuita
  2. Zipapa zipapa

    Mbwana Samatta asajiliwa Fenerbahce ya Uturuki

    katupia goli lingine kijana wetu
  3. Zipapa zipapa

    Mbwana Samatta asajiliwa Fenerbahce ya Uturuki

    beIN SPORTS HD 1 | Canlı Maç izle
  4. Zipapa zipapa

    Mbwana Samatta asajiliwa Fenerbahce ya Uturuki

    kijana wetu keshatupia huko
  5. Zipapa zipapa

    Ninauza kiwanja Cha makazi Kiegeya Morogoro Manispaa

    Yes hiyo bei kachemsha
  6. Zipapa zipapa

    Mwanangu wa siku mbili amefariki dunia, alichomwa sindano baada ya joto kupanda

    Pole sana dada. Natamani ajitokeze daktari wa watoto atupe jibu maana hii inatisha sana.
  7. Zipapa zipapa

    Mawasiliano rasmi ya DAWASA

    Maji hayajatoka Mbezi Louis siku ya nne leo kulikoni?
  8. Zipapa zipapa

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    anzisheni magroup ya whatsapp kama wenzenu wa TANESCO. Kuna kipindi mnakata maji na hata hatujui wapi pa kuuliza maji yanarudi lini
  9. Zipapa zipapa

    Pongezi kwenu Single Mothers

    Ni watamu na hawana njaa
  10. Zipapa zipapa

    Yanga nani anaibeba kutoka sare au mtembea na mpira?

    Timu inaishiwa pumzi kipindi cha pili. Hapo kocha ajiandae kubwaga manyanga
  11. Zipapa zipapa

    Wewe Kocha wa Aston villa... safu yako ya ushambuliaji kuna tatizo hapo umeligundua?k

    Samata ni mpambanaji kaka zaidi jionee mavituz haya, tumpe muda azoee mazingira ya Uingereza
Back
Top Bottom