GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,912
Katika Kuonyesha kuwa Mahakama za Wenzetu hasa huko Marekani ( Mamtoni ) na Ulaya ( Majuu ) kuwa linapokuja Suala la Maadili kwa Watendaji wake pindi wawapo Kazini hawana Mzaha ( Masihara ) kabisa ni kwamba Jaji Mmoja aliyekuwa akisikiliza Kesi ya ' Ubakaji ' kwa Mwanamke Mmoja amejikuta akiondolewa katika Jopo ( Panel ) ya Majaji baada ya Kumuuliza ' Mbakwaji ' kama alivyobakwa alisikia Utamu Kunoga na kwamba alipanua vyema Miguu yake au aliibana ili ' Mkuyenge ' usipenye ' Mbunyeni ' mwake?
Nilipoisoma tu hii taarifa nikaona niifanyie ' Localization ' ambapo haraka sana nikamuuliza Mmoja wa Mwanasheria na Wakili Msomi kabisa hapa Tanzania kuwa je, huyu Jaji alikuwa sahihi kwa aina ya Swali alilouliza au labda ' alikengeuka ' tu Kisheria ambapo nae akanijibu kuwa Kisheria kabisa kwakuwa walikuwa katika Kipindi cha Kuuliza Maswali ili wapate Kujua Ukweli ambao utawawezesha kutoa Maamuzi sahihi huyu Jaji kwa Kuuliza hilo Swali alikuwa sahihi tena kwa 100%.
Je, na nyie wana JamiiForums mnasemaje katika hili?
Mimi namkubali ' Kinomanoma ' huyu Jaji kwani ' hajaremba ' na ameenda moja kwa moja. Waliomuondoa nawaona ni Wanafiki tu.
Habari zaidi nenda CITIZEN Tv Digital.
Nilipoisoma tu hii taarifa nikaona niifanyie ' Localization ' ambapo haraka sana nikamuuliza Mmoja wa Mwanasheria na Wakili Msomi kabisa hapa Tanzania kuwa je, huyu Jaji alikuwa sahihi kwa aina ya Swali alilouliza au labda ' alikengeuka ' tu Kisheria ambapo nae akanijibu kuwa Kisheria kabisa kwakuwa walikuwa katika Kipindi cha Kuuliza Maswali ili wapate Kujua Ukweli ambao utawawezesha kutoa Maamuzi sahihi huyu Jaji kwa Kuuliza hilo Swali alikuwa sahihi tena kwa 100%.
Je, na nyie wana JamiiForums mnasemaje katika hili?
Mimi namkubali ' Kinomanoma ' huyu Jaji kwani ' hajaremba ' na ameenda moja kwa moja. Waliomuondoa nawaona ni Wanafiki tu.
Habari zaidi nenda CITIZEN Tv Digital.