mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Wadau kumetokea nini kwa Mabingwa wa Kihistoria YANGA? Inaonekana kuna mtu anaibeba kutoka SARE, je atakuwa nani au yule Anayetembea na MPIRA? Yanga mna Makocha wengi wakiongozwa na Mzee Msolwa ,Mkwassa hao wazungu 2 nini kinawashinda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app