Recent content by Zinduka

  1. Z

    JamiiForums Tanzania My God!!

    Dunia ndio imefikia hapa sasa. Very saddening.
  2. Z

    JamiiForums Tanzania EXCLUSIVE: Wanaohitaji Michoro ya Ramani za Nyumba ndogo na simple

    Tuwasiliane mkuu, ili tufanye kazi pamoja. Nipo DSM. Anuani yangu ni massawe1990@yahoo.com
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

    Bado siamini kuwa Mhe. Chacha Wangwe ametukoka!!!!!!!!!!!!! Inauma saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Pole nyingi kwa mjane wa marehemu, wanandugu na wananchi wote wenye mapenzi mema.
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Zitto apewa majukumu ya Kimataifa

    hongera Sana Mhe. Zitto
  5. Z

    JamiiForums Tanzania The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    Mwafrika wa kike, Ninakubaliana na wewe kwa 100%. Na ukweli huu ndio unaofanya moyo wangu mdogo kuvunjika kabisa, na kukusudia kufumba macho na masikio yangu ili nisione wala kusikia haya mauzauza. Im very proud of my country TZ. Nimejaribu kuwa mzalendo kwa nchi yangu mara zote...
  6. Z

    JamiiForums Tanzania The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    Mkandara, Frustration kama hizi ndizo zinanifanya nikimbie hili baraza. Maana mtu unapata pressure kwa hasira na disappointments pasi na kifani. Vijana tunajiuliza hivi haya mauzauza yanayoendelea nchini kwetu tunayaona sisi tu, au hata wazee wetu waliobobea katika siasa nao pia wanayaona...
  7. Z

    JamiiForums Tanzania Buriani Amina Chifupa!

    Mkandara, Nilikuwa nakuja kupost hii news, nikakuta tayari umeshaiweka. Nilikuwa naongea na wanafamilia huko home, ndio wakaniambia kuwa walikuwa wanaangalia breaking news kuhusu kifo cha Amina. Sina cha kuandika kwa sasa zaidi ya kusema roho inaniuma sana. Ninaungana na familia za...
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Je, wapinzani ni wakombozi?

    Mimi sipendi sana kushabikia siasa maana sizijui, but post ya Mnyika inasomeka vyema sana. Na pia nakubaliana na Mkandara kwamba its another politaca blander, safari hii toka upinzani. Mnyika sikiliza mahojiano, na urudi hapa kukata issue. Hii issue ya bwana Zitto itatusaidia sana vijana...
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

    Jamani wana forum, Naona hili suala la mambo ya ukabila linataka kutupeteka pabaya sasa. Ili mjadala huu ulete maana, issues ambazo ziko too personal, na ambazo mchangiaji ama hataki kwa makusudi, au la hana info za kusupport/justify hizo allegetion zake alizopost hapa foramuni naomba...
  10. Z

    JamiiForums Tanzania Mtikila ashinda tena kesi ya mgombea huru; Afungua upya Mahakama ya Afrika Mashariki

    Mkandara, Mtikila aliomba ruzuku strategically. Alichokusudia ni kumetega JK akubali ofa hiyo, ili ijustify madai ya upinzani kuwa ameshinda kwa kuiba kura. Na JK naye akaingia kwenye 18 za Mtikali kwa kukubali hilo deal la ruzuku. Kazi kwelikweli, msikilize Mtikila vizuri akizungumzia...
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

    Zanaki, Sasa nimeshaona mbali kabisa kuhusiana na hili sakata. Ni kweli kwamba ZEK, wapo pale kihalali, na RG ipo mbele yao. But, ZEK walipata miliki ya kiwanja hicho lini????? Sababu wamejenga pale juzijuzi tu. Wakati RG ilishakuwepo hapo kwa miaka mingi. Je ZEK walikuwa tayari na...
  12. Z

    JamiiForums Tanzania Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

    KM, Nimesoma hiyo habari hapo juu nakuelewa kwanini Magufuli analalamikiwa kama Magufuli. Kumbe hati ya kiwanja cha RG ilipatikana mwaka jana tu, basi kweli tunao viongozi. Haihitaji mtu kuwa engineer kujua kwamba sehemu kubwa ya bar ya RG ipo ndani ya hifadhi ya barabara, na hivyo uhalali...
  13. Z

    JamiiForums Tanzania Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

    KM, Asante kwa taarifa moto. Mwenye macho haambiwi tazama, Magufuli kasema yote hapo juu. Kama mwenye Rose Garden anakibali halali toka wizarani, then wanaotakiwa kujiuzulu/kufukuzwa kazi wapo lukuki. Hawa madiwani aibu tupu na siasa zao za kukurupuka, za mitaani. What a shame.
  14. Z

    JamiiForums Tanzania Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

    Dua, Uandishi wa namna hii ndio unawafanya watu wengi waidharau fani hii ya uandishi wa habari, na kuiona kama fani mbadala, kwa maana ya fani nyingine kushindikana. Kweli, Mhariri mzima wa gazeti la serikali anaweza kuandika habari ambayo wala sio makala, kwa ushabiki mkubwawa namna hiyo...
  15. Z

    JamiiForums Tanzania Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

    Mkandara, Nimekupata, Thanks.
Back
Top Bottom