Mkandara,
Nilikuwa nakuja kupost hii news, nikakuta tayari umeshaiweka.
Nilikuwa naongea na wanafamilia huko home, ndio wakaniambia kuwa walikuwa wanaangalia breaking news kuhusu kifo cha Amina.
Sina cha kuandika kwa sasa zaidi ya kusema roho inaniuma sana.
Ninaungana na familia za...