Hivi umekisoma ulichokiandika au umeandika kwakuwa watu watasoma.? Hacha kumwaga mapambio ata kwenye mambo yanayo onekana dhairi, ni shule za wapi hizo zenye miundombinu Bora, hizo Barbara unazosema zipo wapi.? Tena unasema Kwa msisitizo "zisizo na kawaida" 🤔Ukombozi wa fikra mnahitajika Sana...
Wanaosema Zanzibar inapunjwa wachunguzwe akili Zao kidogo, maana kuna vitu vya dhairi Zanzibar wananufaika kuliko Tanganyika, Kwamfano Mzanzibar anaweza kuwa rais wa jamuhuri Ila mtanganyia Kwa Zanzibar haiwezekani, pia tumewaona wazanzibar wengi Tu huku Bara wanamiliki ardhi tena na maeneo...
Hoja za kiume kweli kweli...! Tatizo viongozi wote hasa mawaziri na wateuzi wengine wanashindana kumpamba rais ata Kwa vitu visivyo na msingi & maana na ndio changamoto kubwa Kwao kiasi ata akikosea waishia kumpaka Mafuta Kwa mgongo WA chupa wakati ukweli wanaujua...!
Achana na hizo fikra..! Tumekuwa nunaaminishwa kuhusu ilo Kwa mda sasa.! Ila ukweli 95% ya silaha za maangamizi za Israel zimeundwa Kwa ushirikiano baina ya ya Israel na mataifa mengine mfano Iron dome imeundwa Kwa ushirikiano wa Israel & marekani. Ukiwa na fikra hizo utasema pia wafrika hawana...
Israel & Saudi Arabia ni nchi zenye ushawishi mkubwa mashariki ya Kati na ata duniani Kwa ujumla. Kwaiyo marekani anatumia hizo nchi mbili kama watch dogs wa Maslai yake na ndio maana licha ya vurugu zote za hamas Saudia ni kama anasita kuonesha msimamo wake...! Wote ni machawa WA marekani...
Hoja zako Hazina mashiko kabisa...!! Na nikiangalia Kwa makini hizi hoja zako, naona wewe ni miongoni mwa wale wanaoamasisha ushoga...!! Betting na ushoga wap na wap...? Je Kuna umuhimu wa kujadili mapato na uapatikanaji wake hili hali watafutaji wanapotea...?? NB. Amin unavyo amini Ila usitake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.