Mi nikijana wa Kiislam nina umri wa miaka 32, Sijawahi kupiga kura hata mara moja na niliapa sitokaa nipige kura.
Sheikh Issa Ponda ndio Sheikh wangu baada ya kufariki Sheikh Ilunga (Allah amrehemu).
Kutokana na Sheikh Ponda kutaka Waislamu wote tumpigie kura Tundu Lissu basi kwakua yeye ndio...
Nyinyi si mlimpokea mkoloni ! akawajengea shule.
Sisi wengine tulipigana nae kwa hali na mali kudai Uhuru wetu kwanza. Otherwise una jibu lako mfukoni.
Asee uwezo wako wa kung'amua mambo ni mdogo sana.
Kenya hatujaungana nao lakini kuna watanzania kibao Kenya na wakenya kibao Tanzania na wanafanya shughuli zao kama lawaida bila kufukuzwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.