Uchaguzi 2020 Wabunge wa CCM mpya ni mkakati maalum wa kubadili katiba, Paul Makonda na Alexander Mnyeti ni kishindo kikuu

Jamani Mh. Rais kasema wazi, hawezi ongeza muda, muda wake ukiisha anaondoka zake, kwanini mnamsemea maneno ya uongo, lini Mh. Rais kasema anataka kuongeza muda? Huku ni kuchafuana, acheni hizo plz
Tumemsemea sisi au kamsemea Rais mstaafu wa awamu ya pili Mzee Alhaj Ali Hassan Mwinyi.
Na je katika hierarchy ya wazee wastaafu kuna mstaafu aliyewahi kuwa na rank kubwa na uzoefu serikalini kama rais mstaafu mzee mwinyi.
Mzee think twice.
Yajayo yanafurahisha..inawabidi muwe tayari
 
Mkuu umetumia macho ya ndani sana kuliona hili hongera sana ila ataetumia macho ya kawaida haya hawezi kuona lolote
 
Kwani CCM itashinda uchaguzi?
Kuna watu wanadhani #1 wa sasa kwa vile Vincent ni ndugu basi lolote haliwezi kutokea! Wanajidanganya, kuna vijana ndani ya mabaka nao sio mafala hata kidogo. Wana kipimo cha uvumilivu na hali inaelekea kwenye red alert, acha apindue maamuzi ya watu wao wapindue meza na kumwaga mlo!
 
Tetesi

Members, wasibezwe hili kundi la CCM mpya na waongeaji watapita kwa kishindo kikuu kwa lengo maalum bungeni kubadili katiba na Kuongeza muda wa Rais kutawala

Kauli ya Rais mstaafu Mwinyi sio mara moja au kwa bahati mbaya anapenyeza kauli ya kubadili Katiba kuhusu ukomo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Watu wafuatao ndio watakaoendesha bunge na kuwa waongeaji wakuu bungeni. Hakuna atakaye nyanyua mdomo wake kuwapinga watu wafuatao bungeni:

Paul Makonda
Cyprian Musiba
Alexander Mnyeti
Mchungaji Gwajima
Tulia Ackson

Waliotajwa wataingia bungeni kimkakati na siyo kwa bahati mbaya. Hoja zao ndio zitakuwa za mwisho kwa maamuzi ya Taifa.

Paul Makonda, Alexander Mnyeti, Mchungaji Gwajima na Cyprian Musiba msiwachukulie kirahisi na kuwadharau, Hao watu ni wajenga hoja wazuri tena za kulazimisha utake usitake lazima uwaunge mkono ili ubaki salama kwenye CCM mpya.

Hakuna cha mpasuko wala ufa CCM. Sauti ni moja tu yenye nguvu na kuheshimiwa. Hakuna mwenye uwezo wa kumpinga Mwenyekiti wa chama wala kunyanyua mdomo kuhoji maamuzi ya Mwenyekiti.

Mwenyekiti amepitishwa kwa asilimia 100%. Hii inampa nguvu ya kuaminiwa na yeyote atakaye ongea kuhusu kura za maoni kwa upande hasi hasa za ubunge basi atafute Maisha mengine nje ya bunge na CCM mpya.

CCM ni moja na yenye nguvu zaidi, Wapinzani tafuteni mbinu mpya, CCM imempa mamlaka ya asilimia 100% Mwenyekiti kwa kupiga kura za ndio Dodoma, Sauti yake ni sauti kuu. Hakuna mwanachama atakaye tenda nje ya Maamuzi ya Chama

Wapinzani msisubiri eti CCM kutakuwa na mpasuko ili mpate hoja za ubunge, Bunge linakwenda kuwa la kimkakati kupitisha hoja maalum ya ukomo wa Rais madarakani.
4
 

Attachments

  • 109701770_311370470240924_2790044647488613882_n.mp4
    857.3 KB
Ati mtu anaacha ukuu wa mkoa wa Daresalaam.
Anahangaikia awe Mbunge wa Kitongoji cha Kigamboni....!

Nimestaajabu sana

Hii haiingii akilinini kabisa.
Na kafanya hivyo sio kwa kuto kujua, bali Kimkakati.

Kama Raisi Mstaafu Ally Hassan Mwinyi anazungumza hadharani maneno ya kuikiuka Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Nani ataaminika zaidi yake, maan yeye ndiye kati watu waliostahiri kuiheshimu na kuilinda katiba ya nchi na hajaona kuwa jambo hilo la maana.
Mi nasema hivi, kila kitui huanza kwa vimaneno vimaneno vidogovidogo kama hivi.
Na kwa kukanusha kanusha kama hivi.
Mwisho wake tutasikia, "Nimelazimishwa na Wazee wenye kuheshimika na imenibidi nitii kauli yao"
Tafadhalini Tafadhalini amani ya nchi hii inapaswa kulindwa kwa nguvu zote.
Hizi tamaa za madaraka kama hizi zitakuja kuhatarisha hii amani na usalama tunaouona sasa.
Enyi Viongozi toshekeni na wakati wenu. Mungu ameumba watu wote sawa. Kusema mtu fulani ni Bora zaidi ya mwingine ni kufuru ya hali ya juu.
Tuliaminishwa humu bila Nyerere hatuwezi kuishi na tupo tunaishi.

Swala la kumwongezea mtu mihula ya kutawala, litabadirisha sura ya Tanzania yenye Amani, na ni mwanzo wa machafuko yatakayo ighalimu nchi yetu, eti kwa ajiri ya kuridhisha tamaaa ya mtu mmoja.

Kama wewe umesifika kuwa Kiongozi Mzuri basi Heshimu Katiba na matakwa ya wananchi wenye nchi.

La sivyo jaribu uone moto wake, Watanzania sio wajinga sema Mungu ametujalia, UVUMILIVU, BUSARA, HESHIMA, UTII BILA SHURUTI, KUHESHIMU MAMLAKA, HEKIMA, UPENDO, UMOJA NA AMANI. NK.

LAKINI SIO KWA SWALA LA KUONGEZA MUHULA WA MADARAKA.
 
Hata wakibadili katiba kwa kumlenga mtu na ulafi tu hawataweza kuongeza miaka ya kuishi. Wakifanya hivo future yao itajakuwa ni mateso na kilio na kusaga meno. Haihitaji akili nyingi kujua hili.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Siwezi ongelea uhai wa mtu mungu ndio anaepanga.

Lakini kubadili katiba hakumpi Magufuli guarantee ndani ya CCM katika mchakato wa kutafuta raisi 2025.

Ikitokea Magufuli anagombea tena 2025 basi jua ni kwa baraka za chama sio mbinu zake yeye wala Ndugai.

Anyway tunachoongea ni assumptions tu yeye mwenyewe kwa kauli zake hana huo mpango hii ni awamu yake ya mwisho kama ilivyokuwa kwa waliomtangulia.
 
Siwezi ongelea uhai wa mtu mungu ndio anaepanga.

Lakini kubadili katiba hakumpi Magufuli guarantee ndani ya CCM katika mchakato wa kutafuta raisi 2025.

Ikitokea Magufuli anagombea tena 2025 basi jua ni kwa baraka za chama sio mbinu zake yeye wala Ndugai.

Anyway tunachoongea ni assumptions tu yeye mwenyewe kwa kauli zake hana huo mpango hii ni awamu yake ya mwisho kama ilivyokuwa kwa waliomtangulia.
Chama Cha Mapinduzi, CCM, kinaendeshwa kwa mujibu wa sheria na kanuni zilizowekwa.

Na kamwe hakiendeshwi kwa Baraka.

Mwenye mamlaka ya juu anaweza shinikiza jambo kimya kimya kwa kisingizio cha
Baraka.

Malizieni Mchakato wa Katiba, humo wekeni Utawala wa Kifalme.
Kama wananchi wataridhia basi mchagueni huyo mnaye mwona Mtakatifu atawale milele na wapendwa wake.

Hapo hakutakuwa na tatizo.

Ila hizo Baraka zitaleta matatizo makubwa sana hapa nchini.

Fuateni utaratibu uliowekwa, au mwambieni akagombee , Rwanda, Burundi, na Uganda, kama haridhiki na muda wa madaraka tulio mkabidhi wananchi.

Huko hakuna ukomo.
 
Chama Cha Mapinduzi, CCM, kinaendeshwa kwa mujibu wa sheria na kanuni zilizowekwa.

Na kamwe hakiendeshwi kwa Baraka.

Mwenye mamlaka ya juu anaweza shinikiza jambo kimya kimya kwa kisingizio cha
Baraka.

Malizieni Mchakato wa Katiba, humo wekeni Utawala wa Kifalme.
Kama wananchi wataridhia basi mchagueni huyo mnaye mwona Mtakatifu atawale milele na wapendwa wake.

Hapo hakutakuwa na tatizo.

Ila hizo Baraka zitaleta matatizo makubwa sana hapa nchini.

Fuateni utaratibu uliowekwa, au mwambieni akagombee , Rwanda, Burundi, na Uganda, kama haridhiki na muda wa madaraka tulio mkabidhi wananchi.

Huko hakuna ukomo.
Hayo umesema wewe mpaka sasa alichosema Magufuli hii itakuwa mara yake ya mwisho; by now you should know he is a man of his word.
 
Hayo umesema wewe mpaka sasa alichosema Magufuli hii itakuwa mara yake ya mwisho; by now you should know he is a man of his word.
Sijataja jina la Mtu.
Nasema wengi wanasema hivyo kama geresha tu, hasa viongozi wa Kiafrika.
Tumeshuhudia kwingi maneno kama hayo na mwisho ikawa ndivyo sivyo.
 
Tetesi

Members, wasibezwe hili kundi la CCM mpya na waongeaji watapita kwa kishindo kikuu kwa lengo maalum bungeni kubadili katiba na Kuongeza muda wa Rais kutawala

Kauli ya Rais mstaafu Mwinyi sio mara moja au kwa bahati mbaya anapenyeza kauli ya kubadili Katiba kuhusu ukomo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Watu wafuatao ndio watakaoendesha bunge na kuwa waongeaji wakuu bungeni. Hakuna atakaye nyanyua mdomo wake kuwapinga watu wafuatao bungeni:

Paul Makonda
Cyprian Musiba
Alexander Mnyeti
Mchungaji Gwajima
Tulia Ackson

Waliotajwa wataingia bungeni kimkakati na siyo kwa bahati mbaya. Hoja zao ndio zitakuwa za mwisho kwa maamuzi ya Taifa.

Paul Makonda, Alexander Mnyeti, Mchungaji Gwajima na Cyprian Musiba msiwachukulie kirahisi na kuwadharau, Hao watu ni wajenga hoja wazuri tena za kulazimisha utake usitake lazima uwaunge mkono ili ubaki salama kwenye CCM mpya.

Hakuna cha mpasuko wala ufa CCM. Sauti ni moja tu yenye nguvu na kuheshimiwa. Hakuna mwenye uwezo wa kumpinga Mwenyekiti wa chama wala kunyanyua mdomo kuhoji maamuzi ya Mwenyekiti.

Mwenyekiti amepitishwa kwa asilimia 100%. Hii inampa nguvu ya kuaminiwa na yeyote atakaye ongea kuhusu kura za maoni kwa upande hasi hasa za ubunge basi atafute Maisha mengine nje ya bunge na CCM mpya.

CCM ni moja na yenye nguvu zaidi, Wapinzani tafuteni mbinu mpya, CCM imempa mamlaka ya asilimia 100% Mwenyekiti kwa kupiga kura za ndio Dodoma, Sauti yake ni sauti kuu. Hakuna mwanachama atakaye tenda nje ya Maamuzi ya Chama

Wapinzani msisubiri eti CCM kutakuwa na mpasuko ili mpate hoja za ubunge, Bunge linakwenda kuwa la kimkakati kupitisha hoja maalum ya ukomo wa Rais madarakani.
Upo sahihi mkuu
 
Tetesi

Members, wasibezwe hili kundi la CCM mpya na waongeaji watapita kwa kishindo kikuu kwa lengo maalum bungeni kubadili katiba na Kuongeza muda wa Rais kutawala

Kauli ya Rais mstaafu Mwinyi sio mara moja au kwa bahati mbaya anapenyeza kauli ya kubadili Katiba kuhusu ukomo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Watu wafuatao ndio watakaoendesha bunge na kuwa waongeaji wakuu bungeni. Hakuna atakaye nyanyua mdomo wake kuwapinga watu wafuatao bungeni:

Paul Makonda
Cyprian Musiba
Alexander Mnyeti
Mchungaji Gwajima
Tulia Ackson

Waliotajwa wataingia bungeni kimkakati na siyo kwa bahati mbaya. Hoja zao ndio zitakuwa za mwisho kwa maamuzi ya Taifa.

Paul Makonda, Alexander Mnyeti, Mchungaji Gwajima na Cyprian Musiba msiwachukulie kirahisi na kuwadharau, Hao watu ni wajenga hoja wazuri tena za kulazimisha utake usitake lazima uwaunge mkono ili ubaki salama kwenye CCM mpya.

Hakuna cha mpasuko wala ufa CCM. Sauti ni moja tu yenye nguvu na kuheshimiwa. Hakuna mwenye uwezo wa kumpinga Mwenyekiti wa chama wala kunyanyua mdomo kuhoji maamuzi ya Mwenyekiti.

Mwenyekiti amepitishwa kwa asilimia 100%. Hii inampa nguvu ya kuaminiwa na yeyote atakaye ongea kuhusu kura za maoni kwa upande hasi hasa za ubunge basi atafute Maisha mengine nje ya bunge na CCM mpya.

CCM ni moja na yenye nguvu zaidi, Wapinzani tafuteni mbinu mpya, CCM imempa mamlaka ya asilimia 100% Mwenyekiti kwa kupiga kura za ndio Dodoma, Sauti yake ni sauti kuu. Hakuna mwanachama atakaye tenda nje ya Maamuzi ya Chama

Wapinzani msisubiri eti CCM kutakuwa na mpasuko ili mpate hoja za ubunge, Bunge linakwenda kuwa la kimkakati kupitisha hoja maalum ya ukomo wa Rais madarakani.
Great thinker.
 
Sijataja jina la Mtu.
Nasema wengi wanasema hivyo kama geresha tu, hasa viongozi wa Kiafrika.
Tumeshuhudia kwingi maneno kama hayo na mwisho ikawa ndivyo sivyo.
Well Magufuli is a man of his word take it. Hata kama ukumlenga yeye.

Mchana mwema kiongozi.
 
Tetesi

Members, wasibezwe hili kundi la CCM mpya na waongeaji watapita kwa kishindo kikuu kwa lengo maalum bungeni kubadili katiba na Kuongeza muda wa Rais kutawala

Kauli ya Rais mstaafu Mwinyi sio mara moja au kwa bahati mbaya anapenyeza kauli ya kubadili Katiba kuhusu ukomo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Watu wafuatao ndio watakaoendesha bunge na kuwa waongeaji wakuu bungeni. Hakuna atakaye nyanyua mdomo wake kuwapinga watu wafuatao bungeni:

Paul Makonda
Cyprian Musiba
Alexander Mnyeti
Mchungaji Gwajima
Tulia Ackson

Waliotajwa wataingia bungeni kimkakati na siyo kwa bahati mbaya. Hoja zao ndio zitakuwa za mwisho kwa maamuzi ya Taifa.

Paul Makonda, Alexander Mnyeti, Mchungaji Gwajima na Cyprian Musiba msiwachukulie kirahisi na kuwadharau, Hao watu ni wajenga hoja wazuri tena za kulazimisha utake usitake lazima uwaunge mkono ili ubaki salama kwenye CCM mpya.

Hakuna cha mpasuko wala ufa CCM. Sauti ni moja tu yenye nguvu na kuheshimiwa. Hakuna mwenye uwezo wa kumpinga Mwenyekiti wa chama wala kunyanyua mdomo kuhoji maamuzi ya Mwenyekiti.

Mwenyekiti amepitishwa kwa asilimia 100%. Hii inampa nguvu ya kuaminiwa na yeyote atakaye ongea kuhusu kura za maoni kwa upande hasi hasa za ubunge basi atafute Maisha mengine nje ya bunge na CCM mpya.

CCM ni moja na yenye nguvu zaidi, Wapinzani tafuteni mbinu mpya, CCM imempa mamlaka ya asilimia 100% Mwenyekiti kwa kupiga kura za ndio Dodoma, Sauti yake ni sauti kuu. Hakuna mwanachama atakaye tenda nje ya Maamuzi ya Chama

Wapinzani msisubiri eti CCM kutakuwa na mpasuko ili mpate hoja za ubunge, Bunge linakwenda kuwa la kimkakati kupitisha hoja maalum ya ukomo wa Rais madarakani.

Baba kimbelembele kasikilize hotuba ya Rais.
 
Kishindo cha wizi wa kura
Usisumbuke na misamiati. Hapa hakuna cha ndumba wala ramli chonganishi. Mambo ya kushinda kura nchi hii anayajua vizuri Maalim. Alidhulumiwa hata na Mwenyi Heri. Kushinda kura hata Lowassa alishinda. Hoja ni kutangazwa. Anayetangazwa hutafutiwa utambulisho wa kushinda kura. Haijalishi dunia nzima inajua hakushinda, atapambwa kwa kila sifa. Hata mhusika akiwa peke yake huguna kukana hayo mapambio!
 
Well Magufuli is a man of his word take it. Hata kama ukumlenga yeye.

Mchana mwema kiongozi.
Sipendi wala situkani. Kuna wakati niliandika na sasa narudia. Wale wenye kithembe si kizembe kilaza wanathema kilatha! Yawezekana babu alikuwa na kithembe. Wewe ni kilaza kwelikweli.
Corona haitosababisha kuahirisha uchaguzi. Nani anataka kuendelea kukaa katika nafasi hizi. Kazi ya urais ni ngumu sana. Mungu, why me?
Fomu ya kuongoza vyombo vya dola ni moja. Aliyetaka ya pili kafukuzwa chamani. Kuna mambo ya kukamilisha yeye tu. Hakuna mwingine anayeweza. Muhula wa pili mambo ya kukamilisha yatakuwa mengi na magumu zaidi!
 
Back
Top Bottom