nyasangaboy
Senior Member
- Jul 14, 2020
- 127
- 58
Habari zenu wadau, nilikuwa naomba ushauri kutoka kwenu wadau ni hivi ninapoishi kodi yangu inakaribia kuisha nataka kurudi nyumbani kwa mzee. Na sababu ya kutaka kurudi nyumbani na kuacha kupanga kwa sababu ya kutokuwa na kazi kwa sasa so hela ya kodi sina.
Lakini girlfriend wangu amekataa nisirudi nyumbani niendelee kupanga yeye atanisaidia Kodi, so nilikuwa naomba ushauri niendelee kuisha kwa kulinga unga ghetto au nirudi tu nyumbani nikajipange upya.
Lakini girlfriend wangu amekataa nisirudi nyumbani niendelee kupanga yeye atanisaidia Kodi, so nilikuwa naomba ushauri niendelee kuisha kwa kulinga unga ghetto au nirudi tu nyumbani nikajipange upya.