Ukiwa Tanga usiwe na haraka

Ukiwa Tanga usiwe na haraka

Mijitu mengine huwa inajiona jamii zao zinekamilika sana, eti watu wa pwani wavivu, kakwambia nani na una uhajika gani. Wangeendeshaje maisha yao hadi nyinyi wa huko bara mkavutiwa kuja kuishi pwani Tanga au Zanzibar. Kila jamii inaustaarabu wake, usichukue robo ya tabia ulizoziona ukakamilisha na unayoyasikia na kuyawaza. Kuna bimdogo mmoja anasifu watu wa Zanzibar kuwa ni watu makini na wenye muamko wawapo ndani na nje ya miji yao, na anasema amekaa nao alichogundua mara baada ya kumaliza ibada ya asubuhi hawalali na wanaanza kushughulika na kazi zao.

Mm nilienda Arusha nikakuta kijana mmoja asubuhi saa 12 anakunywa konyagi na kuvuta sigara na pembeni kuna uzwa mtori wala hana habari nao hadi sisi tukamshangaa, ndio kusema na mm nitangaze kuwa watu wa Arusha walevu mbwa. Laa ni tabia ya baadhi ya watu tuu na wanajua kwa undani namna gani wanaingiza fedha kwa shughuli mbadala walizonazo.
 
Tanga napajua mkuu... ...

Kwa kule znz.. kazi kubwa wanayofanya watanga wa kiume ni ushonaji nguo za kike na wengine wana yao pia lipo wazi ..tembea uone
Tanga wageni wapo ila tofauti ipo baina ya wageni na wenyeji utajua tu..kama ilivyo wanapokuwa mikoa mingine..

Na ujuwe licha ya kwamba na wao ni watu wa pwani..basi pia lafudhi yao ni tofauti..wanasema kama jirani zao wa Mombasa!.

Si mgeni na tanga..mimi.mkuu..ila ni wakarimu sana...hunyimwi kitu..labda usijue namna ya kuishi nao!



Mkuu tembea uone maana mkifika Tanga ukiona mtu unadhani Ni mzawa wa hapo,.....

Na swala la ufundi ni aghalabu kumkuta fundi wa kiume hawezi kushona nguo za kike ila ni kawaida kwa fundi wa kike kushindwa nguo za kiume!
 
Tanga napajua mkuu... ...

Kwa kule znz.. kazi kubwa wanayofanya watanga wa kiume ni ushonaji nguo za kike na wengine wana yao pia lipo wazi ..tembea uone
Tanga wageni wapo ila tofauti ipo baina ya wageni na wenyeji utajua tu..kama ilivyo wanapokuwa mikoa mingine..

Na ujuwe licha ya kwamba na wao ni watu wa pwani..basi pia lafudhi yao ni tofauti..wanasema kama jirani zao wa Mombasa!.

Si mgeni na tanga..mimi.mkuu..ila ni wakarimu sana...hunyimwi kitu..labda usijue namna ya kuishi nao!
Mkuu Kuna mengi mnatia chumvi Sana ndio maana tunagomesha!
 
Kama lipi mkuu?

.labda wewe ni mgeni nao
au ndio vile..wa nyumbani..

Hata hivyo nilichoongea nimechagua sana ....nawajua kwa ghibu mkuu

subiri season uwende znz.. ndio utaelewa naongea nini!

Mkuu Kuna mengi mnatia chumvi Sana ndio maana tunagomesha!
 
Kama lipi mkuu?

.labda wewe ni mgeni nao
au ndio vile..wa nyumbani..

Hata hivyo nilichoongea nimechagua sana ....nawajua kwa ghibu mkuu

subiri season uwende znz.. ndio utaelewa naongea nini!
Sio kwamba nini nimezurula mikoa mingi Sana ila stori tunazopokea wa Tanga sio za kwetu kabisaaa zinaongezewa Sana!!!
 
Nimeona...sijahadithiwa...!

Ningeweza kukwambia zaidi ila naishia hapo tu mkuu..

Ila si vibaya kwa wao mana ni hulka yao..

Usiwazie mkuu..kawaida. tu.. kama wagogo na usafi!
Sio kwamba nini nimezurula mikoa mingi Sana ila stori tunazopokea wa Tanga sio za kwetu kabisaaa zinaongezewa Sana!!!
 
Nimeona...sijahadithiwa...!

Ningeweza kukwambia zaidi ila naishia hapo tu mkuu..

Ila si vibaya kwa wao mana ni hulka yao..

Usiwazie mkuu..kawaida. tu.. kama wagogo na usafi!
Ngoja tuache tu, maana Kila muwamba Ngoma ngozi atavutia kwake
 
Nimefika Tanga 1992.
Pata muda ufike Tanga mkuu maana wazawa tunashangaa kwa hili swala, na ingekua hvyo basi watumishi wa serikali wangechelewa makazini pia ikiwa huduma za kijamii zinachelewa kuanza!

Kazi zote hutegemeana maana kama konda wa daladala akiamka saa 10 ama kumi na moja kuanza shughuli zake ingekua ni vigumu kustahimili bila kupasha mpaka saa 4 unayosemea akipigizana makelele na abiria wake!

Pata muda utafakari unayoongea usilazimishe vistori ulivyosikia kuhusu Tanga viwe ukweli!
 
Machungwa ya wakinga, wasambaa, wazigua. Wengine bado wanarembua
Hivi inakuwaje watu wa Tanga wasifiwe uvivu wakati wanalisha machungwa nchi nzima au inalima misukule? Nimeishi Dar matunda huponea kutoka Tanga tena huwa hayaishi, jamani sijawahi kufika tanga mda huu nakula chungwa la Tanga, hapa njombe kila kona ni machungwa ya Tanga.Sasa matunda ya Tanga yanalimwa na Zombies tueleweshane nini maana ya uvivu.
 
Tanga ni kati ya mji wa kipekee sana hapa Tanzania.

Watu hawana haraka na hawajali kabisa. Watu hawaendi na muda na they don't care about it. Ukidrive town wanaona shida hata ku-overtake, sababu hana haraka.

Maduka yanachelewa sana kufunguliwa. Na pia yanawahi kufungwa. Watu hawana wivu wa maendeleo kabisa. Hata ukinunua gari lako zuri, watu hawana time nalo. Hawaoni improvement yako na hawajali.

Kila mwanamke unayekutana nae kavaa hijab, ukimuuliza umeolewa anasema hajaolewa. Na anaweza akakupa chochote, muda wowote na kwa namna yoyote. Tanga aisee hakuna haraka. Ukija huku hakikisha haufuati sana ratiba yako.

Life is simple!
...nishawai ambiwa hiyo habari nilijua utani mkuu Leo nimeamini
 
Tanga ni kati ya mji wa kipekee sana hapa Tanzania.

Watu hawana haraka na hawajali kabisa. Watu hawaendi na muda na they don't care about it. Ukidrive town wanaona shida hata ku-overtake, sababu hana haraka.

Maduka yanachelewa sana kufunguliwa. Na pia yanawahi kufungwa. Watu hawana wivu wa maendeleo kabisa. Hata ukinunua gari lako zuri, watu hawana time nalo. Hawaoni improvement yako na hawajali.

Kila mwanamke unayekutana nae kavaa hijab, ukimuuliza umeolewa anasema hajaolewa. Na anaweza akakupa chochote, muda wowote na kwa namna yoyote. Tanga aisee hakuna haraka. Ukija huku hakikisha haufuati sana ratiba yako.

Life is simple!
Ndio maana mradi wa bomba la mafuta haujaanza hadi leo?
 
Back
Top Bottom