Habari mpenda mabadiliko.Naomba kutoa angalizo kwako na mjulishe yeyote yule kwamba,"Ninaatambua mhemko ulionao kwa mabadiliko chanya ya nchi yetu nzuri yenye amani,vivutio,maliasili nyingi pamoja na mengi ambayo Mwenyezi Mungu ametujalia kuwa nayo,zingatieni haki yenu ya msingi ya kupiga kura...
:peace:Mpwa hii ni zaidi ya kuelimika,nimeisoma ilivyo na nimeipenda sana.Yah,cha muhimu kama unavyosema ni kujitoa ilivyo(devotion),isitoshe kwa mafanikio yoyote yale yanakuja kwa staili hiyo.ngoja na mimi nifanye tathmini ya mtaji niingie msituni.NO RETREAT NO SURRENDER...
Sio tetesi,ni kweli tena wengine wanajaribu hata kufake aonekane kama ameridhika sasa unategemea huyo mtu atafikaje.Na hiyo yote inatokana na wengi wao wanainterest zao binafsi(wanamambo mengi hawa dada zetu).
Halafu pia ni swala la jinsi unavyojitoa kwa moyo mmoja kwa mwenzio.mapenzi ni zaidi...
Yani kabisa,sio udini tu,ukabila pia.hawana busara kabisa hawa watu.wananchi wanatakiwa kuwa na umakini wa hali ya juu ktk kuchagua viongozi wao.mi kuna sehemu naenda nakuta kabisa wanaongea kichaga.utafikiri tanzania ni ya wachaga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.