Wazo kuu ya hili swala ni kubaini wanaokwepa kodi.Sasa itakuwa ni rahisi kubainiwa,kwa sababu record yako ya kulipa kodi ipo,inalinganishwa na mwenendo wa account zako,kama haziendani,wanajua unaibia serikali.Mfano,wewe ni mwajiriwa na ina vibiashara vyako kadhaa,ela zako pia unatunza...
Kumbukeni baada ya Jecha kufuta matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar.Kumbe ccm walikuwa tayari wamesha print tshirt za kumpongeza Dr Sheni.Hamnaga uchaguzi...mpaka tume iwe HURU.Hiyo ndio risasi ya mwisho ya chichiem.
Huu uzi bora tuuache,maana wakenya hawamo wanachungulia tu.Wakenya wakora,walifuata mwongozo wa WHO ili wapige mpunga.Baada ya hapo,wanafuta Tz wanafanya nini!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo hatuna National data base,labda ndo wanataka kuitengeneza sasaivi.Na system za nchi haziingiliani,ndo maana fingerprint kila mahali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mamlaka ya Anga yatoa ufafanuzi ajali ya ndege
Ndege ndogo ya U Dream ya Afrika Kusini iliyokuwa ikitokea Entebbe Uganda imeanguka leo mkoani Tabora na kuuwa rubani na msaidizi wake wote raia wa Afrika Kusini, muda mchache tu baada ya kupaa angani.
Akizungumza na EATV kuhusu ajali hiyo...
Mmiliki wa Gazeti maarufu la Mtanzania ndugu R.A,kaichangia timu ya Yanga mil 230,wakati huo huo wafanyakazi wake zaidi ya miezi 8,hawajalipwa hata senti tano ya mishahara.Watu wanajitutumua,kwa jamii kujionesha ila wanaomfanyia kazi wananuka njaa.Its only in Tanzania....Politics everywhere!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.