Uganda Gives Kenya 14-Days Ultimatum To Release Confiscated Lato Milk

Naona kuna watu wanamtumia M7 ujumbe hapa Jf. Wanakwaya wanangoja mkono udondoke. Mwaka wa 2019 Kenya iliwafunika wote kwenye exports zetu ukanda huu, yaani kutia moto vifaranga na kupiga ng'ombe mnada haikusaidia lolote! Wote Tz, Ug, Rw, Burundi wana deficit kubwa kwenye biashara na Kenya. Tunawauzia madawa, sabuni na wao wanatuuzia mahindi, maharage na kamba za makonge. :D Na bado, viwanda nchini Kenya vinaendelea kuongezeka kila uchao.
 
and u import milk from Uganda! :D :D :D :D :D
Kenya inazalisha maziwa ya kutosha lita 5.6billion kila mwaka alafu tunatumia lita 5.17billion. Haya maziwa ya Uganda yanakubaliwa kuingia Kenya kwasababu ya protocol ya EAC common market sio kwasababu hamna maziwa. Kuna surplus ya lita 481million(5.6b-5.17b) kutoka kwa wakuliwa wa Kenya. Tz hamzalishi nusu ya maziwa ambayo yanazalishwa nchini Kenya. Alafu hata maziwa yenyewe hamnywi.
 
Kenya inazalisha maziwa ya kutosha lita 5.6billion kila mwaka alafu tunatumia lita 5.17billion. Haya maziwa ya Uganda yanakubaliwa kuingia Kenya kwasababu ya protocol ya EAC common market sio kwasababu hamna maziwa. Kuna surplus ya lita 481million(5.6b-5.17b) kutoka kwa wakuliwa wa Kenya. Tz hamzalishi nusu ya maziwa ambayo yanazalishwa nchini Kenya. Alafu hata maziwa yenyewe hamnywi.
sasa kama hatunywi tatizo nn? mbona huongelei matunda tunayo-export kwenu kila siku? Kama hatunywi maziwa tunakula matunda!
 
Naona kuna watu wanamtumia M7 ujumbe hapa Jf. Wanakwaya wanangoja mkono udondoke. Mwaka wa 2019 Kenya iliwafunika wote kwenye exports zetu ukanda huu, yaani kutia moto vifaranga na kupiga ng'ombe mnada haikusaidia lolote! Wote Tz, Ug, Rw, Burundi wana deficit kubwa kwenye biashara na Kenya. Tunawauzia madawa, sabuni na wao wanatuuzia mahindi, maharage na kamba za makonge. :D Na bado, viwanda nchini Kenya vinaendelea kuongezeka kila uchao.
Hili tatizo la uwezo wenu mdogo wa akili mtalitatua vipi?, kibachosemwa hapa ni huu ujinga wenu wa kuanzisha matatizo na majirani zenu pale mbapohisi kuzidiwa kwa biashara, vipi mbaanzisha chokochoko na Uganda ambaye ndiye mteja mkubwa wa bidhaa zenu na bandari yenu?.

Jambo moja unapaswa kujua kwamba, bila Tanzania uchumi wenu utayumba sana, bidhaa muhimu za kuendesha uchumi wenu/ Mali ghafi yote inatoka Tanzania, tukiamua kuwafungia mipaka au vikwazo vya biashara, mtatupigia magoti
1)Karatasi
2)Coal
3)Pamba
4)Clinca kwa ajili ya viwanda vya cement
5)Transfoma za UMEME
6)Chakula
7)Gesi ya kupikia
8) Gesi ya Carbon dioxide

The list is endless....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa kama hatunywi tatizo nn? mbona huongelei matunda tunayo-export kwenu kila siku? Kama hatunywi maziwa tunakula matunda!
Mada ni kuhusu maziwa, tatizo ni kwamba mnajifanya kwamba mna authority ya kujadili na wakenya kuhusu maziwa. Wakati hamzalishi kama Kenya, hamnywi wala Lato Milk sio maziwa kutoka Tz. Kuhusu matunda tupe takwimu, maanake hata wakenya tunakula matunda pia na tunakuza! Kenya inaongoza hapa Afrika kwenye uzalishaji wa maparachichi na exports pia. Labda kama ulimaanisha lile tunda lingine.
 
Kenya inazalisha maziwa ya kutosha lita 5.6billion kila mwaka alafu tunatumia lita 5.17billion. Haya maziwa ya Uganda yanakubaliwa kuingia Kenya kwasababu ya protocol ya EAC common market sio kwasababu hamna maziwa. Kuna surplus ya lita 481million(5.6b-5.17b) kutoka kwa wakuliwa wa Kenya. Tz hamzalishi nusu ya maziwa ambayo yanazalishwa nchini Kenya. Alafu hata maziwa yenyewe hamnywi.
Sasa mbona bei yenu ipo juu ukilinganisha na maziwa toka Uganda?, muhimu sio kuzalisha, la muhimu ni vile mnavyozalisha viweze kuwa na bei ndogo ukilinganisha na za nchi jirani.

Uganda inazalisha maziwa na sukari kwa bei ndogo ndio sababu mnakataa visiingie Kenya, hamna uwezo wa kupambana katika hizo bidhaa.

Ninyi mpo na roho mbaya sana, Uganda wananunua bidhaa nyingi sana toka Kenya, kamwe hawalalamiki, lakini kwa zile bidhaa ambazo wanazalisha kwa gharama nafuu ukilinganisha na Kenya, nazo hamtaki kununua mnaanza kuweka vikwazo. Only Magufuli can deal better with You.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili tatizo la uwezo wenu mdogo wa akili mtalitatua vipi?, kibachosemwa hapa ni huu ujinga wenu wa kuanzisha matatizo na majirani zenu pale mbapohisi kuzidiwa kwa biashara, vipi mbaanzisha chokochoko na Uganda ambaye ndiye mteja mkubwa wa bidhaa zenu na bandari yenu?.

Jambo moja unapaswa kujua kwamba, bila Tanzania uchumi wenu utayumba sana, bidhaa muhimu za kuendesha uchumi wenu/ Mali ghafi yote inatoka Tanzania, tukiamua kuwafungia mipaka au vikwazo vya biashara, mtatupigia magoti
1)Karatasi
2)Coal
3)Pamba
4)Clinca kwa ajili ya viwanda vya cement
5)Transfoma za UMEME
6)Chakula
7)Gesi ya kupikia
8) Gesi ya Carbon dioxide The list is endless....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wakati boda ya Kenya na Tz ilifungwa kwa miaka 7! Kwa hiyo miaka saba hamna 'crisis' yeyote ambayo ilitokea Kenya. Isipokuwa tuliwachapa gap la kiuchumi ambalo hadi sasa hivi hamjarecover, FACT.
 
Tunakunywa bia
Kenya inazalisha maziwa ya kutosha lita 5.6billion kila mwaka alafu tunatumia lita 5.17billion. Haya maziwa ya Uganda yanakubaliwa kuingia Kenya kwasababu ya protocol ya EAC common market sio kwasababu hamna maziwa. Kuna surplus ya lita 481million(5.6b-5.17b) kutoka kwa wakuliwa wa Kenya. Tz hamzalishi nusu ya maziwa ambayo yanazalishwa nchini Kenya. Alafu hata maziwa yenyewe hamnywi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mbona bei yenu ipo juu ukilinganisha na maziwa toka Uganda?, muhimu sio kuzalisha, la muhimu ni vile mnavyozalisha viweze kuwa na bei ndogo ukilinganisha na za nchi jirani.
Uganda inazalisha maziwa na sukari kwa bei ndogo ndio sababu mnakataa visiingie Kenya, hamna uwezo wa kupambana katika hizo bidhaa.
Ninyi mpo na roho mbaya sana, Uganda wananunua bidhaa nyingi sana toka Kenya, kamwe hawalalamiki, lakini kwa zile bidhaa ambazo wanazalisha kwa gharama nafuu ukilinganisha na Kenya, nazo hamtaki kununua mnaanza kuweka vikwazo. Only Magufuli can deal better with You.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha mihemko ya kiboya kwenye masuala ambayo yahakuhusu. Tulia, soma taarifa ya kamati ya bunge la Kenya ambayo ilifika hadi Uganda hivi majuzi. Ukiweza tafuta ripoti yenyewewe.
 
Kuna wakati boda ya Kenya na Tz ilifungwa kwa miaka 7! Kwa hiyo miaka saba hamna 'crisis' yeyote ambayo ilitokea Kenya. Isipokuwa tuliwachapa gap la kiuchumi ambalo hadi sasa hivi hamjarecover, FACT.
Wewe ni mtoto mdogo huna unalojua tulipofungiana mipaka. Miaka ile ndio kipindi cha "cold war", Kenya ilikua mikononi mwa nchi za Magharibi, viwanda vya Kenya 90% vilikuwa vinamilikiwa na waingereza hivyo walipata Mali ghafi toka nchi za mbali.

Baada ya kumalizika kwa " Cold war" Kenya ilipoteza hiyo fursa ya "special treatment" toka "Western countries" ndipo Kenya ilipoanza kuzigeukia nchi za kijamaa ikiwemo China na Tanzania katika biashara, sasa hivi Kenya inaweza kuishi bila nchi za wazungu, lakini Kenya haiwezi kuishi bila China na Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha mihemko ya kiboya kwenye masuala ambayo yahakuhusu. Tulia, soma taarifa ya kamati ya bunge la Kenya ambayo ilifika hadi Uganda hivi majuzi. Ukiweza tafuta ripoti yenyewewe.
Huu ujinga wenu ndio unaowafanya hamuelewani karibu na nchi zote zinazowazunguka, sema ukweli, ni nchi gani inayowazunguka ambayo hamkwaruzani nayo?, acheni ujinga wenu na roho mbaya yenu.

The only way to stay peaceful and comfortable is to make sure you are at peace with your neighbours, stop your stupidity now and start new life.

Kila nchi lazima mnaanzisha mzozo, kama sio wa biashara, basi ni mzozo wa mipaka, mkishauriwa mnajifanya wajuaji, wajinga wakubwa ninyi. Tanzania tumepakana na nchi nane, umeshasikia tukizozana na nchi yoyote ktk biashara zaidi ya Kenya?. SADC kuna nchi zaidi ya 16, ulishasikia mizozo ya kibiashara baina ya Msumbiji, Zambia, Malawi, Angola, Botswana, Namibia au DRC, au unadhani hatufanyi biashara?. Acheni upumbavu wenu huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mtoto mdogo huna unalojua tulipofungiana mipaka. Miaka ile ndio kipindi cha "cold war", Kenya ilikua mikononi mwa nchi za Magharibi, viwanda vya Kenya 90% vilikuwa vinamilikiwa na waingereza hivyo walipata Mali ghafi toka nchi za mbali.
Baada ya kumalizika kwa " Cold war" Kenya ilipoteza hiyo fursa ya "special treatment" toka "Western countries" ndipo Kenya ilipoanza kuzigeukia nchi za kijamaa ikiwemo China na Tanzania katika biashara, sasa hivi Kenya inaweza kuishi bila nchi za wazungu, lakini Kenya haiwezi kuishi bila China na Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leta evidence ya madai yako, sio unachapia tu hadithi za kipumba ambazo mlikuwa mnapigiwa mkiota moto kwenye vijiji vyenu vya ujamaa.
 
Huu ujinga wenu ndio unaowafanya hamuelewani karibu na nchi zote zinazowazunguka, sema ukweli, ni nchi gani inayowazunguka ambayo hamkwaruzani nayo?, acheni ujinga wenu na roho mbaya yenu.
The only way to stay peaceful and comfortable is to make sure you are at peace with your neighbours, stop your stupidity now and start new life.
Kila nchi lazima mnaanzisha mzozo, kama sio wa biashara, basi ni mzozo wa mipaka, mkishauriwa mnajifanya wajuaji, wajinga wakubwa ninyi. Tanzania tumepakana na nchi nane. SADC kuna nchi zaidi ya 16, ulishasikia mizozo ya kibiashara baina ya Msumbiji, Zambia, Malawi, Angola, Botswana.
Kenya inakuuma sana ila ukweli ni kwamba sio Kenya ndio imewakwaza kwenye azma yenu ya Tz ya viwanda. Endeleeni kuingiza mafeelings kwenye biashara na kuhesabu vyerehani na salon zenu. Kenya ni Kenya na Tz ni Tz. Sisi na ubishi wetu wote bado tutaendelea kuwasomesha namba. :D
 
Kenya inakuuma sana ila ukweli ni kwamba sio Kenya ndio imewakwaza kwenye azma yenu ya Tz ya viwanda. Endeleeni kuingiza mafeelings kwenye biashara na kuhesabu vyerehani na salon zenu. Kenya ni Kenya na Tz ni Tz. Sisi na ubishi wetu wote bado tutaendelea kuwasomesha namba. :D
Kusomesha namba katika kukwaruzana na majirani wote?, Alshabaab hawafanyi makosa wakiwashikisha adabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
China inaongoza kuwa mkopeshaji mkubwa kwa Kenya, Tanzania inaongoza kwa kuwauzia chakula Kenya na "raw materials", Wapi nchi za Kibepari? Sent using Jamii Forums mobile app
...na Kenya inawauzia bidhaa processed kutoka kwa viwanda, k.m. madawa na sabuni, ndio mbaki fresh. Sasa hii comment yako ndio takwimu na info za kueleweka kuhusu historia ya mlipofunga border na Kenya ikaendelea kunawiri kiuchumi? Nigga move on to the next sh#t!
 
Zamani nilikuwa napenda ushindani uliopo kati ya Tz, Ke na Ug. Siku zinavyozidi kwenda msimamo wangu unaanza kubadilika sababu hamna nchi inayoshinda kiuchumi pale inapokandamiza nyingine.
 
W
Sasa mbona bei yenu ipo juu ukilinganisha na maziwa toka Uganda?, muhimu sio kuzalisha, la muhimu ni vile mnavyozalisha viweze kuwa na bei ndogo ukilinganisha na za nchi jirani.

Uganda inazalisha maziwa na sukari kwa bei ndogo ndio sababu mnakataa visiingie Kenya, hamna uwezo wa kupambana katika hizo bidhaa.

Ninyi mpo na roho mbaya sana, Uganda wananunua bidhaa nyingi sana toka Kenya, kamwe hawalalamiki, lakini kwa zile bidhaa ambazo wanazalisha kwa gharama nafuu ukilinganisha na Kenya, nazo hamtaki kununua mnaanza kuweka vikwazo. Only Magufuli can deal better with You.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha tukae juu ya kichwa cha Uganda. Si wewe ndiye uliyesema kuwa Uganda wanaweza kupambana na Kenya? Sasa mbona unalialia tunapozaba Uganda makofi?
 
Back
Top Bottom