Leo ni siku ya 3 huduma hii hapatikani, tatizo ni nini hasa?
Kuna muda usiku huduma ilirejeaaa asbh tena imekata naona kuna kitu kinawasumbua uko kwa system tuwe na subraLeo ni siku ya 3 huduma hii hapatikani, tatizo ni nini hasa?
HahahaahahaNashukuru hili tatizo la kiufundi limeniokoa na mizinga mingi, ikiwapendeza liendelee kwa siku kadhaa.
Yani IT wao kurejesha vifurushi vya awali yeye kaenda kuchokonoa tigopesa sasa kibubu chote nasikia kimehamishwa na wajanja
😂 😂 😂Yani IT wao kurejesha vifurushi vya awali yeye kaenda kuchokonoa tigopesa sasa kibubu chote nasikia kimehamishwa na wajanja.
Wabongo huwa hawana akili....Hiyo si rahisi hata kidogo sababu ya Back up plans. Halafu huduma nadhani zimerudi