Wanahitajika mechanical Engineer watatu kwa kazi ya miezi miwili , kazi ni mbeya, kwa wanao tokea mbali watarudishiwa nauli yao namalazi ya siku 14 then watajitafutia makazi. Mshahara laki 8 lunch free,usafiri kwenda na kurudi kazini na matibabu kipindi chote utakachokuwa huko, elimu advanced...
Napenda kutoa shukrani kwa Jamiiforums na member wote katika jukwaa hili, muda mrefu nilikuwa na wazo lakufungua blog ila sijui hata pakuanzia , nashukuru nilipitia thread mbalimbali kuhusu namna ya kuanzisha blog na jinsi ya kupata google adsence.
Baada ya kufungua tu blog nilifatilia tips...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.