Recent content by Ziada

  1. Ziada

    Wanahitajika Mechanical Engineer

    Wanahitajika mechanical Engineer watatu kwa kazi ya miezi miwili , kazi ni mbeya, kwa wanao tokea mbali watarudishiwa nauli yao namalazi ya siku 14 then watajitafutia makazi. Mshahara laki 8 lunch free,usafiri kwenda na kurudi kazini na matibabu kipindi chote utakachokuwa huko, elimu advanced...
  2. Ziada

    Zijue siri za mwanamme wa kweli

    Haya mambo hayana formula kwakweli ni pasua kichwa kila watu na mfumo wao wanaoujua
  3. Ziada

    Mke wangu ana tatizo kubwa msaada please

    Pole sana, ongeza upendo anapokosea jaribu kumrekebisha kwa upendo japo ni kazi .
  4. Ziada

    Hivi wanawake mna shida gani?

    Maisha, uzazi ukichanganya hakuna matunzo na njia za uzazi nazo zinachangia
  5. Ziada

    Leo nimebaguliwa na Wahindi

    Pole kwa kubaguliwa ila siku nyingine uulize kwanza
  6. Ziada

    Asante Gadgets & Science Forum

    Hii hapa Chumbani Lounge
  7. Ziada

    Asante Gadgets & Science Forum

    Napenda kutoa shukrani kwa Jamiiforums na member wote katika jukwaa hili, muda mrefu nilikuwa na wazo lakufungua blog ila sijui hata pakuanzia , nashukuru nilipitia thread mbalimbali kuhusu namna ya kuanzisha blog na jinsi ya kupata google adsence. Baada ya kufungua tu blog nilifatilia tips...
  8. Ziada

    TANZIA Aisha Madinda afariki dunia

    Rest in peace Aisha
  9. Ziada

    Mke wangu analalamika sana kuhusu kazi yangu

    Ukiacha kazi mtakula nini dah!
  10. Ziada

    Taswira ya Mbagala

    Mbagala nayoishi mimi hatujui shida ya maji, chumba bei rahisi, vigodoro ni shughuli za kawaida tushazoea, chakula ni bei rahisi naipenda mbagala
  11. Ziada

    Diamond anyakua tuzo 3 zinazotolewa na Chomva 2014

    Wema anazingua sana
  12. Ziada

    Diamond anyakua tuzo 3 zinazotolewa na Chomva 2014

    Diamond ni kama maji wasipoyanywa , watayakoga tu hongera zako
  13. Ziada

    Natafuta wanaodesign blog

    Habarikama title inavojielezea hapo juu natafuta wanaodesign blogs pamoja nahitaji domain ya kulipia vyote kwa pamoja gharama ni kiasi gani ?Asanteni
Back
Top Bottom